Netanyahu: Hakujawahi kuwa na rafiki mkubwa wa Israel kutoka ikulu ya Marekani wa kumzidi Donald Trump

Netanyahu: Hakujawahi kuwa na rafiki mkubwa wa Israel kutoka ikulu ya Marekani wa kumzidi Donald Trump

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760


Na kweli ukiangalia kipindi chake Iran ilifulia vibaya mno, walibanwa kisawa sawa kwenye uchumi, Ni kipindi ambacho Iran na vikundi vyake walikuwa wanajifikiria mara nne nne kuishambulia Israel.

Kwa upande mwengine, Biden alikuwa kinyuma pengine kuzidi marais wote, Kawalegezea vikwazo Iran wametajirika mno, Hakuudhuria mkutano bungeni ulioongozwa na Netanyahu, Mara kwa Mara hadi sasa anawawekea vikwazo Israel kwenye silaha, Kuvujisha mipango ya Israel kwa Iran, Kuwalizimisha Israel kusimisha vita, Kuwadekeza waandamaji wa Hamas na Hezbollah wanaofunga barabara na vyuo, n.k
 
View attachment 3164709

Na kweli ukiangalia kipindi chake Iran ilifulia vibaya mno, walibanwa kisawa sawa kwenye uchumi, Ni kipindi ambacho Iran na vikundi vyake walikuwa wanajifikiria mara nne nne kuishambulia Israel.

Kwa upande mwengine, Biden alikuwa kinyuma pengine kuzidi marais wote, Kawalegezea vikwazo Iran wametajirika mno, Hakuudhuria mkutano bungeni ulioongozwa na Netanyahu, Mara kwa Mara hadi sasa anawawekea vikwazo Israel kwenye silaha, Kuvujisha mipango ya Israel kwa Iran, Kuwalizimisha Israel kusimisha vita, Kuwadekeza waandamaji wa Hamas na Hezbollah wanaofunga barabara na vyuo, n.k
Netanyau ahache kukariri, mambo yamebadilika sana. Ile silaha waliyokuwa wanaitegemea ya kwekea baadhi ya nchi sanctions imeshajifia kifo cha mende
 
Make America Great Again (MAGA)

Hakuna sera nzuri km hii kwa marekani kwa miaka ya sasa! MAGA ndiyo itakayomfanya muisrael asimame tena akiwa strong zaidi.

Kwanini? Ipo hv, marekani wanawategemea sana waisrael katika teknolojia. Hii inawapa jukumu la moja kwa moja marekani kuwalinda waisrael kwa nguvu zote.

Sera ya MAGA kwa kiasi kikubwa itafanywa upande wa teknolojia ambako huko wapo waisraeli. Kwahyo bwana Netanyau anaona mshirika wake wa kweli anayemlinda in exchange of technology kaingia madarakani, lazima afurahi.
 
View attachment 3164709

Na kweli ukiangalia kipindi chake Iran ilifulia vibaya mno, walibanwa kisawa sawa kwenye uchumi, Ni kipindi ambacho Iran na vikundi vyake walikuwa wanajifikiria mara nne nne kuishambulia Israel.

Kwa upande mwengine, Biden alikuwa kinyuma pengine kuzidi marais wote, Kawalegezea vikwazo Iran wametajirika mno, Hakuudhuria mkutano bungeni ulioongozwa na Netanyahu, Mara kwa Mara hadi sasa anawawekea vikwazo Israel kwenye silaha, Kuvujisha mipango ya Israel kwa Iran, Kuwalizimisha Israel kusimisha vita, Kuwadekeza waandamaji wa Hamas na Hezbollah wanaofunga barabara na vyuo, n.k
Trump ndo atakaye harakisha usa kuanguka dunia kwa sasa ipo katika hali tete kuliko wakati wowote kwa hiyo akilete siasa za kishamba kama kipindi kile ajiandae kuangusha usa .kwa sasa kuna brics vikwazo atakavyoleta usa kwa sasa vimeshaaoitwa na wakati
 
Make America Great Again (MAGA)

Hakuna sera nzuri km hii kwa marekani kwa miaka ya sasa! MAGA ndiyo itakayomfanya muisrael asimame tena akiwa strong zaidi.

Kwanini? Ipo hv, marekani wanawategemea sana waisrael katika teknolojia. Hii inawapa jukumu la moja kwa moja marekani kuwalinda waisrael kwa nguvu zote.

Sera ya MAGA kwa kiasi kikubwa itafanywa upande wa teknolojia ambako huko wapo waisraeli. Kwahyo bwana Netanyau anaona mshirika wake wa kweli anayemlinda in exchange of technology kaingia madarakani, lazima afurahi.
Mambo ya zamani hayo yameshapitwa na wakati. kwenye technology marekani kaishawashiwa indicator na mchina
 
Make America Great Again (MAGA)

Hakuna sera nzuri km hii kwa marekani kwa miaka ya sasa! MAGA ndiyo itakayomfanya muisrael asimame tena akiwa strong zaidi.

Kwanini? Ipo hv, marekani wanawategemea sana waisrael katika teknolojia. Hii inawapa jukumu la moja kwa moja marekani kuwalinda waisrael kwa nguvu zote.

Sera ya MAGA kwa kiasi kikubwa itafanywa upande wa teknolojia ambako huko wapo waisraeli. Kwahyo bwana Netanyau anaona mshirika wake wa kweli anayemlinda in exchange of technology kaingia madarakani, lazima afurahi.
Unaweza ukafafanua vizuri kama Israel ina teknolojia kubwa kwanini wao kama wao sasa wasijidhatiti kuwa superpower in all aspects including militarily,n.k..?

Hebu fafanua hapo aisee ..unajua kusema kila siku kuwa Israel ana teknolojia kubwa kuzidi marekani at the same time ananufaisha wengine haijakaa vizuri...huku tena akiwategemea wamsaidie hao hao anaowatengenezea siraha..inakuja kweli hii..??

Hebu mjaribu kuwa realistic
 
Tampo mtu wa watu ngoja aingie vita zote zinaisha.na shit hole countries zijipange zitapigwa vikwazo mpaka basi.trumple anataka dunia iliyo salama.nashangaa wayahudi wa kumamoto buza kwa mpalange mnajifanya much know kuliko wa telaviv
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Yaani hata tuwaweke trumpet na bush kwa pamoja ikulu basi hawata badili jambo sasa tupo zama mpya hakuna badiliko ataleta trumpet kama huamini ngojea uone
 
Make America Great Again (MAGA)

Hakuna sera nzuri km hii kwa marekani kwa miaka ya sasa! MAGA ndiyo itakayomfanya muisrael asimame tena akiwa strong zaidi.

Kwanini? Ipo hv, marekani wanawategemea sana waisrael katika teknolojia. Hii inawapa jukumu la moja kwa moja marekani kuwalinda waisrael kwa nguvu zote.

Sera ya MAGA kwa kiasi kikubwa itafanywa upande wa teknolojia ambako huko wapo waisraeli. Kwahyo bwana Netanyau anaona mshirika wake wa kweli anayemlinda in exchange of technology kaingia madarakani, lazima afurahi.
Tazama hili jinga
 
Tampo mtu wa watu ngoja aingie vita zote zinaisha.na shit hole countries zijipange zitapigwa vikwazo mpaka basi.trumple anataka dunia iliyo salama.nashangaa wayahudi wa kumamoto buza kwa mpalange mnajifanya much know kuliko wa telaviv
Israel hawezi simama mwenyewe siyo
 
Viongozi wa marekani wamekuwa ni puppets wa israel. Kiongozi wa marekani ataweka maslahi ya israel mbele akiyaacha nyuma maslahi ya taifa lake. Wanahongwa sana hawa viongozi wa marekani ndo mana hawachomoi kwa muisrael
 
Viongozi wa marekani wamekuwa ni puppets wa israel. Kiongozi wa marekani ataweka maslahi ya israel mbele akiyaacha nyuma maslahi ya taifa lake. Wanahongwa sana hawa viongozi wa marekani ndo mana hawachomoi kwa muisrael
Kuna muizrael anaweza kumnunua DT..?
 
Back
Top Bottom