Netanyahu: Hakujawahi kuwa na rafiki mkubwa wa Israel kutoka ikulu ya Marekani wa kumzidi Donald Trump

🤣🤣🤣 Muda utatoa majibu
Kwa hiyo unaona umeandika kitu cha maana sana hivi unajua kila nchi inatumi Google kama search engine. Halafu coach cola nacho ni kitu cha kujivunia. Kule kijijin kwako bibi anatumia facebook
 
BRICKS haina chochote cha maana. Maskini mkijikusanya wengi mnaongeza matatizo. Matajiri wakijikusanya wengi, wanaongeza nguvu.
Matajiri hutegemea watu na recilimali natura resources kama mafuta aliyekuambia brick ni maskin ni nani
 
Tanzania kuna wajinga wengi sana

Trump kama ataendeleza ujinga ndio ataua kabisa empire ya USA maana nchi nyingi zitakimbilia bricks. Sasahivi kuna options sio kama zamani😀😀
Brics ipi ? Soon Bricks itabomoka maana China ananufaika zaid kwenye huo umoja
 
Hivi hii propaganda aliwalisha nani nyie Wadanganyika,,,,,,nchi ambaye kila siku kiongozi wao anachoma mafuta kwenda U.S.A anarandaranda kwenye korido za ikulu ikiomba misaada yaani naifananisha na burundi kwa anavyokujaga hapa afganistan kuombaomba nabo mtu hata kutumia zile za changanya na za kwako za Jk bado unashindwa kuona mwanga. Hivi ni lini mtaanza kutumia mbongo zenu??!!!
 
Tanzania kuna wajinga wengi sana

Trump kama ataendeleza ujinga ndio ataua kabisa empire ya USA maana nchi nyingi zitakimbilia bricks. Sasahivi kuna options sio kama zamani😀😀
Bricks ni matofali au?
 
Acha utoto dogo hiyo technologia kwanini asiitumie nchini mwake aache kusubiri misaada ya USA?
 
Israel ilianzisha na mwiingereza na marekani ili kulinda maslahi yao middle east kabla ya Israel puppet USA alikuwa Iran kiufupi Israel inatumika kama kambi ya jeshi ya USA pale middle east
 
Putini akili kubwa, west na umoja wao wanambwilambwila tu hawajui la kufanya. Naombea tupate wakina putin kama kumi hivi. Hapa duniani tungeeshimiana sana
Yaani dunia itawaliwe na madikteta halafu wewe kigulumwembe kanyelamumo uheshimiwe?

Hivi unaujua udikteta au unaandika tu kushabikia usichokijua?
 

Yeye pekee ndiye aliyempa Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel.
 
Yaani dunia itawaliwe na madikteta halafu wewe kigulumwembe kanyelamumo uheshimiwe?

Hivi unaujua udikteta au unaandika tu kushabikia usichokijua?
Unajua maana ya udikiteta? Au mnadakia tu kwasababu marekani amewatangazia kwamba huyu ni dikiteta, huyu ni gaidi nk. nk
 
Unajua maana ya udikiteta? Au mnadakia tu kwasababu marekani amewatangazia kwamba huyu ni dikiteta, huyu ni gaidi nk. nk
Una uhakika kwamba kila anachotangaza Marekani ni kibaya au unampinga Marekani kwa kuwa tu Iran kakuambia kwamba ni kafiri?
 
Ivi tusaidiane mawazo uyu Netanyahu na Mwijaku wanatofauti gani lipokuja suala la kujipendekeza kwa Boss mpya.!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…