Netanyahu in 2023: There will be no Ceasefire in Gaza Netanyahu in 2025: We are waiting for Hamas's response to the ceasefire proposal...

Netanyahu in 2023: There will be no Ceasefire in Gaza Netanyahu in 2025: We are waiting for Hamas's response to the ceasefire proposal...

Muda mfupi ujao tunatarajia Tangazo rasmi la kusitisha mapigano huko Palestina na Israel baada ya majadiliano ya muda mrefu waziri mkuu mkorofi wa Israel amekubali kukubaliana na matakwa ya Hamas na kusitisha vita, pamoja na kubasdilishana mateka.
Hatutaki aliyeua kwa upanga na auliwe kwa upanga vita vita mpaka mwisho wa dunia
 
Lakini Netanyahu alisema hataacha vita mpaka kuifuta Hamas huko Gaza. Lakini amesalimu amri inasemekana Trump katoa ultimatum kabla hajaingia Ikulu hataki kusikia habari za mateka Wala vita hapo middle east
Unamalizaje watu ambao vita iko damuni wanataka ardhi yao. Hua ni maneno ya vitani tu na kutunishiana misuli. Maana Gaza imechakaa lakini mateka hawajapatikana.
 
Muda mfupi ujao tunatarajia Tangazo rasmi la kusitisha mapigano huko Palestina na Israel baada ya majadiliano ya muda mrefu waziri mkuu mkorofi wa Israel amekubali kukubaliana na matakwa ya Hamas na kusitisha vita, pamoja na kubasdilishana mateka.
Hii kali kweli kweli. Nitanyahu anaonekana kachoka sana. Eti ndio alianzishe tena na Iran. Kapata fundisho kali.

Somo kubwa alilojifunza ni kuwa kumuondoa Sinwar, Haniya na Nazrallah ndio kama unawaamsha nyuki wakuvamie. Hakuna mapumziko aliyoyapata uwanjani zaidi ya kiki huko Afrika na zaidi ni kwa wazayuni wa Mbagala.
 
Ila Hamas watakua wamejifunza
Walichojifunza ni kuwa - STATE YA WAPALESTINA inakuja hivi karibuni baada ya zaidi ya miaka 70 ya kusubiri.
Ninachokiona ni kuwa PALESTINIAN STATE inakuja mwaka 2030 - Inshaallah!
 
Muda mfupi ujao tunatarajia Tangazo rasmi la kusitisha mapigano huko Palestina na Israel baada ya majadiliano ya muda mrefu waziri mkuu mkorofi wa Israel amekubali kukubaliana na matakwa ya Hamas na kusitisha vita, pamoja na kubasdilishana mateka.
Kinachomshangaza Netanyahu sio kuua,bali kutowapata mateka waliochukuliwa na Hamasi,hapa ndio changamoto alionayo,wamepiga sn Gaza wakajua wapo kile,wakapiga Syria lkn nako hawapo so hana budi kurejea mezani maana anaweza wamaliza wapalestina na asipate mateka.
Kingine nchini kwake wananchi wameanza kutomuamini mbinu Nazotumia so kisiasa anapotomoka,only US ndio wanaomuweka madarakani
 
Hii kali kweli kweli. Nitanyahu anaonekana kachoka sana. Eti ndio alianzishe tena na Iran. Kapata fundisho kali.

Somo kubwa alilojifunza ni kuwa kumuondoa Sinwar, Haniya na Nazrallah ndio kama unawaamsha nyuki wakuvamie. Hakuna mapumziko aliyoyapata uwanjani zaidi ya kiki huko Afrika na zaidi ni kwa wazayuni wa Mbagala.
Trump kamwambia sitaki vita .alikua anataka kuleta kile kiburi chake akaambiwa huu ni moto mwengine akaufya.
 
Back
Top Bottom