Netanyahu, kachanganyikiwa baada ya kuishindwa Serikali ya Iran, anawaomba raia wafanye mapinduzi Iran

Netanyahu, kachanganyikiwa baada ya kuishindwa Serikali ya Iran, anawaomba raia wafanye mapinduzi Iran

Usiropoke kijana.
Siku hizi huwezi ukawa brainwash watu kirahisi hivyo.
Kwani hao wairan hawajaona maafa yanayowatokea Walibya walipomsaliti Gaddafi!?

Unadhani hawajaona ya Syria na Iraq!?
Sio rahisi kama unavyodhani.
Kama ni rahisi huyu Netanyahu wako asingesusiwa kikao pale UNGA akiwa anahutubia.
Embu kijana mdogo Nenda kaifuatilie Iran kuanzia 1950s imetokea wapi na inaelekea wapi.
Sio rahisi hivyo kabisa kuipiga Iran sahau.
Ukiwa free poti,pitia hii kitu
Brainwashing | Cults, Indoctrination, Manipulation. It's worth reading poti
 
Wanaukumbi.

Benjamin Netanyahu anajaribu kuwashawishi Wairani kufanya mapinduzi nchini Iran:
=========================
🚨🇮🇷🇮🇱 Benjamin Netyanahu is trying to convince the Iranians to stage a COUP in Iran:

"The blow to Israel cost you $2.3 billion of your money..."


View: https://x.com/stairwayto3dom/status/1856410680200450550?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Netanyaho na Wanamgambo wake ni ma mbumbumbu tu wameshaanza mwaka wa pili wameshindwa kukomboa mateka au kujua walipo hapo gaza wataiweza Iran
 
Process ya political brainwashing inaanziaga mbali sana. Washajua ipo siku wanaenda kuipiga Iran. Na kweli itapigwa japo WAVAA bakuli kichwani watapinga. Israel anachokifanya NI kuwaandaa WAIRANI wajipange vizuri ili siku wakiingia wapokelewe. Regime change sio ya kukurupuka. Trust me,wapo wanajeshi,mawaziri,majaji,imam,n.k ambao NI MOSSAD. Wanamuelekeza Netanyahu cha kufanya
Nasikia hata Ayatollar ni MOSSAD…..
Mnawaona Israel ni miungu 😂😂😂😂
 
Process ya political brainwashing inaanziaga mbali sana. Washajua ipo siku wanaenda kuipiga Iran. Na kweli itapigwa japo WAVAA bakuli kichwani watapinga. Israel anachokifanya NI kuwaandaa WAIRANI wajipange vizuri ili siku wakiingia wapokelewe. Regime change sio ya kukurupuka. Trust me,wapo wanajeshi,mawaziri,majaji,imam,n.k ambao NI MOSSAD. Wanamuelekeza Netanyahu cha kufanya
Wewe lgbtq unajua ila wairan wenyewe hawajui hongera hata wewe itakua ni masud maana una mpaka habari za ndani kabisa za masud teh teh teh
 
Process ya political brainwashing inaanziaga mbali sana. Washajua ipo siku wanaenda kuipiga Iran. Na kweli itapigwa japo WAVAA bakuli kichwani watapinga. Israel anachokifanya NI kuwaandaa WAIRANI wajipange vizuri ili siku wakiingia wapokelewe. Regime change sio ya kukurupuka. Trust me,wapo wanajeshi,mawaziri,majaji,imam,n.k ambao NI MOSSAD. Wanamuelekeza Netanyahu cha kufanya
Unajifariji wairani siyo wajinga na hawana utawala wa mabavu juzi tu rais wao kafa angalia mfumo wao wa uchaguzi rais kapatikana kwa nyia ya kura tena ya wazi, kwa akili yako Netanyahu. Anaweza kuwashikia akili raia wa Iran? Nimecheka sana wewe upo Itigi unajua mambo ya Iran. Kuzidi wairan wenyewe hujui Marekani na Ulaya wameishapandikiza maandamano mara ngapi na yanafeli yanapuuzwa.
 
Cha kushangaza huyo Netanyau anayetaka wairan waandamane kuitoa serikali ,wananchi wake wanaandamana kila siku kumtaka aondoke lakini hataki.
Haa Netanyahu bana kama hapo Lebanon ameshindwa kuwaondoa hezbillAh kwenye serikal ya Lebanon huko Iran ni mbali sana serikal za kishia zipo very strong kuliko za kisuni ..Netanyahu atakuwa nje ya siasa Iran ikiwa super power ya medal east
 
Netanyaho na Wanamgambo wake ni ma mbumbumbu tu wameshaanza mwaka wa pili wameshindwa kukomboa mateka au kujua walipo hapo gaza wataiweza Iran
God is great, God is great, and to God be praise

The Israeli Ministry of Defense in the center of Tel Aviv is burning by the power of God at the hands of Hezbollah

And he reported the killing of Israeli officers and soldiers inside the Ministry of Defense.


View: https://x.com/sohil7720/status/1856719471257268613?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Mbali na khoromsher yenye balaa bom moja ndani yake yamo 80 yakipigwa 100 umepigwa 8000 Wairan wana mzigo huu..hio mpya imebidi Marekani waende maabara mambo ya chemistry hayo kama ulikimbia shule sio shida zetu we kazana na biblia tu ambayo inambariki mvaa diaper peke yake

Iran has developed chemical weapons based on synthetic opioids such as fentanyl, a U.S. expert warns. These are powerful substances that can incapacitate soldiers and civilians when added to grenades or artillery pieces

Now we should expect the ghost of Colin Powell with a test tube at the UN🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unajifariji wairani siyo wajinga na hawana utawala wa mabavu juzi tu rais wao kafa angalia mfumo wao wa uchaguzi rais kapatikana kwa nyia ya kura tena ya wazi, kwa akili yako Netanyahu. Anaweza kuwashikia akili raia wa Iran? Nimecheka sana wewe upo Itigi unajua mambo ya Iran. Kuzidi wairan wenyewe hujui Marekani na Ulaya wameishapandikiza maandamano mara ngapi na yanafeli yanapuuzwa.
Nimeishi Tehran tangu 2014,siwezi kubishana na wewe unaeishi Iran ya kwa Mpalange. Wenzangu,huwaga mnaijadili Iran kwenye baadhi ya mambo,mpaka tulioko huku tunashangaa. Baadhi ya mambo MNAKUZA MNO na mengine MNAIFIFISHA SANA. Jamii forum inasomwa na watanzania wengi Sana huku. Eti Itigi😂😂😂
 
Prince; nimeisilikiza hiyo video plus body language ya Netanyahu na sijaona tatizo lolote kaka; unless unambie labda kilicho furahisha Wa Iran hapo ni sentence ipi? Binafsi sipendi Iran na Israel wapigane kwasababu moja tu; bei ya mafuta itapanda tena duniani, halafu na huku kwetu Africa ndio itapanda zaidi kwasababu controllers wa bei za vitu nchi nyingi za Africa huaga sio serikali, vile vyombo huaga vipo pale kama picha tu but taiccons ndio wanaopanga everything, now kuwe na sababu ya shida mashariki ya kati? Mungu wangu, pishia mbali hi vita.
Haujaona shida pale mhalifu wa kivita aliyetumia 70b usd kuuwa watoto kumshauri nchi iliyojaribu kulinda hadhi na heshima ya nchi yake kutumia 30m usd na huku yeye akidai ni 2.3b usd
 
Haujaona shida pale mhalifu wa kivita aliyetumia 70b usd kuuwa watoto kumshauri nchi iliyojaribu kulinda hadhi na heshima ya nchi yake kutumia 30m usd na huku yeye akidai ni 2.3b usd
Tuna ijadiri hiyo video au tunajadiri mambo yote yanayo endelea mashariki ya kati?
 
Back
Top Bottom