Motoekoppela te
JF-Expert Member
- Oct 13, 2014
- 319
- 485
Ukiwa free poti,pitia hii kituUsiropoke kijana.
Siku hizi huwezi ukawa brainwash watu kirahisi hivyo.
Kwani hao wairan hawajaona maafa yanayowatokea Walibya walipomsaliti Gaddafi!?
Unadhani hawajaona ya Syria na Iraq!?
Sio rahisi kama unavyodhani.
Kama ni rahisi huyu Netanyahu wako asingesusiwa kikao pale UNGA akiwa anahutubia.
Embu kijana mdogo Nenda kaifuatilie Iran kuanzia 1950s imetokea wapi na inaelekea wapi.
Sio rahisi hivyo kabisa kuipiga Iran sahau.
Netanyaho na Wanamgambo wake ni ma mbumbumbu tu wameshaanza mwaka wa pili wameshindwa kukomboa mateka au kujua walipo hapo gaza wataiweza IranWanaukumbi.
Benjamin Netanyahu anajaribu kuwashawishi Wairani kufanya mapinduzi nchini Iran:
=========================
🚨🇮🇷🇮🇱 Benjamin Netyanahu is trying to convince the Iranians to stage a COUP in Iran:
"The blow to Israel cost you $2.3 billion of your money..."
View: https://x.com/stairwayto3dom/status/1856410680200450550?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
You are urging me to read what I know.Ukiwa free poti,pitia hii kitu
Brainwashing | Cults, Indoctrination, Manipulation. It's worth reading poti
Nasikia hata Ayatollar ni MOSSAD…..Process ya political brainwashing inaanziaga mbali sana. Washajua ipo siku wanaenda kuipiga Iran. Na kweli itapigwa japo WAVAA bakuli kichwani watapinga. Israel anachokifanya NI kuwaandaa WAIRANI wajipange vizuri ili siku wakiingia wapokelewe. Regime change sio ya kukurupuka. Trust me,wapo wanajeshi,mawaziri,majaji,imam,n.k ambao NI MOSSAD. Wanamuelekeza Netanyahu cha kufanya
Wewe lgbtq unajua ila wairan wenyewe hawajui hongera hata wewe itakua ni masud maana una mpaka habari za ndani kabisa za masud teh teh tehProcess ya political brainwashing inaanziaga mbali sana. Washajua ipo siku wanaenda kuipiga Iran. Na kweli itapigwa japo WAVAA bakuli kichwani watapinga. Israel anachokifanya NI kuwaandaa WAIRANI wajipange vizuri ili siku wakiingia wapokelewe. Regime change sio ya kukurupuka. Trust me,wapo wanajeshi,mawaziri,majaji,imam,n.k ambao NI MOSSAD. Wanamuelekeza Netanyahu cha kufanya
Na china nayo maana ndio wanaongoza kwa kunyongana hapa huna hojaIrani ni nchi ya ajabu, inamgawanyiko makubwa sana wa ndani,
Serikali inatumia nguvu kubwa ndiyo maana wananyonga sana raia wke
Unajifariji wairani siyo wajinga na hawana utawala wa mabavu juzi tu rais wao kafa angalia mfumo wao wa uchaguzi rais kapatikana kwa nyia ya kura tena ya wazi, kwa akili yako Netanyahu. Anaweza kuwashikia akili raia wa Iran? Nimecheka sana wewe upo Itigi unajua mambo ya Iran. Kuzidi wairan wenyewe hujui Marekani na Ulaya wameishapandikiza maandamano mara ngapi na yanafeli yanapuuzwa.Process ya political brainwashing inaanziaga mbali sana. Washajua ipo siku wanaenda kuipiga Iran. Na kweli itapigwa japo WAVAA bakuli kichwani watapinga. Israel anachokifanya NI kuwaandaa WAIRANI wajipange vizuri ili siku wakiingia wapokelewe. Regime change sio ya kukurupuka. Trust me,wapo wanajeshi,mawaziri,majaji,imam,n.k ambao NI MOSSAD. Wanamuelekeza Netanyahu cha kufanya
Hizi nguruwe zimefikia tisa ijapokua wanaficha zimezidi tisa
Haa Netanyahu bana kama hapo Lebanon ameshindwa kuwaondoa hezbillAh kwenye serikal ya Lebanon huko Iran ni mbali sana serikal za kishia zipo very strong kuliko za kisuni ..Netanyahu atakuwa nje ya siasa Iran ikiwa super power ya medal eastCha kushangaza huyo Netanyau anayetaka wairan waandamane kuitoa serikali ,wananchi wake wanaandamana kila siku kumtaka aondoke lakini hataki.
Hebu fikiria mtu ametumia karibai 70b usd kuua watoto hapo gaza halafu mtu aametumia 2.3b usd "kulingana na Netanyahu" kjjilinda na kulinda heshima ya nchi yake halafu Netanyahu anadai eti hela hiyo angeipeleka kwenye maji na barabaraKwa kweli hayo maneno ya Bibi ni ya kukata tamaa!
Uajabu hapo uko wapi au ww ndo wa jaabuIrani ni nchi ya ajabu, inamgawanyiko makubwa sana wa ndani,
Serikali inatumia nguvu kubwa ndiyo maana wananyonga sana raia wke
God is great, God is great, and to God be praiseNetanyaho na Wanamgambo wake ni ma mbumbumbu tu wameshaanza mwaka wa pili wameshindwa kukomboa mateka au kujua walipo hapo gaza wataiweza Iran
Nimeishi Tehran tangu 2014,siwezi kubishana na wewe unaeishi Iran ya kwa Mpalange. Wenzangu,huwaga mnaijadili Iran kwenye baadhi ya mambo,mpaka tulioko huku tunashangaa. Baadhi ya mambo MNAKUZA MNO na mengine MNAIFIFISHA SANA. Jamii forum inasomwa na watanzania wengi Sana huku. Eti Itigi😂😂😂Unajifariji wairani siyo wajinga na hawana utawala wa mabavu juzi tu rais wao kafa angalia mfumo wao wa uchaguzi rais kapatikana kwa nyia ya kura tena ya wazi, kwa akili yako Netanyahu. Anaweza kuwashikia akili raia wa Iran? Nimecheka sana wewe upo Itigi unajua mambo ya Iran. Kuzidi wairan wenyewe hujui Marekani na Ulaya wameishapandikiza maandamano mara ngapi na yanafeli yanapuuzwa.
Eti masud,hili shirika la🌈lishakufaidi.Wewe lgbtq unajua ila wairan wenyewe hawajui hongera hata wewe itakua ni masud maana una mpaka habari za ndani kabisa za masud teh teh teh
Wazayuni wa jf mnapenda masud waifyeke Iran ila uwezo wao mdogo wangeifyeka kwanza hamas na hizbullahEti masud,hili shirika la🌈lishakufaidi.
Haujaona shida pale mhalifu wa kivita aliyetumia 70b usd kuuwa watoto kumshauri nchi iliyojaribu kulinda hadhi na heshima ya nchi yake kutumia 30m usd na huku yeye akidai ni 2.3b usdPrince; nimeisilikiza hiyo video plus body language ya Netanyahu na sijaona tatizo lolote kaka; unless unambie labda kilicho furahisha Wa Iran hapo ni sentence ipi? Binafsi sipendi Iran na Israel wapigane kwasababu moja tu; bei ya mafuta itapanda tena duniani, halafu na huku kwetu Africa ndio itapanda zaidi kwasababu controllers wa bei za vitu nchi nyingi za Africa huaga sio serikali, vile vyombo huaga vipo pale kama picha tu but taiccons ndio wanaopanga everything, now kuwe na sababu ya shida mashariki ya kati? Mungu wangu, pishia mbali hi vita.
Tuna ijadiri hiyo video au tunajadiri mambo yote yanayo endelea mashariki ya kati?Haujaona shida pale mhalifu wa kivita aliyetumia 70b usd kuuwa watoto kumshauri nchi iliyojaribu kulinda hadhi na heshima ya nchi yake kutumia 30m usd na huku yeye akidai ni 2.3b usd