Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Wanakumbi.
Benjamin Netanyahu aliidhinisha mazungumzo ya Israel, ikiwa ni pamoja na Mossad na maafisa wa kijeshi, kuendelea na mazungumzo nchini Qatar na Hamas ili kupata makubaliano ya kuachiliwa kwa mateka walioko Gaza.
Baada ya kushindwa kuwapata mateka amebidi akubaliane na Hamas, katema bungo mwenyewe mwanzo alisema mateka wote watarudi sana hamna makubaliano yeyote ambayo tutafanya na Hamas, kiko wapi? Hamas wamesema Israel hata wafanyaje hawezi kuwatoa mateka wanadhani wakiendelea kuuwa rais wasokuwa na hatia Hamas watarudi nyuma
===============
Benjamin Netanyahu authorized Israeli negotiators, including Mossad and military officials, to continue talks in Qatar with Hamas to secure a deal for the release of captives held in Gaza.
View: https://x.com/presstv/status/1875138727653310860?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Benjamin Netanyahu aliidhinisha mazungumzo ya Israel, ikiwa ni pamoja na Mossad na maafisa wa kijeshi, kuendelea na mazungumzo nchini Qatar na Hamas ili kupata makubaliano ya kuachiliwa kwa mateka walioko Gaza.
Baada ya kushindwa kuwapata mateka amebidi akubaliane na Hamas, katema bungo mwenyewe mwanzo alisema mateka wote watarudi sana hamna makubaliano yeyote ambayo tutafanya na Hamas, kiko wapi? Hamas wamesema Israel hata wafanyaje hawezi kuwatoa mateka wanadhani wakiendelea kuuwa rais wasokuwa na hatia Hamas watarudi nyuma
===============
Benjamin Netanyahu authorized Israeli negotiators, including Mossad and military officials, to continue talks in Qatar with Hamas to secure a deal for the release of captives held in Gaza.
View: https://x.com/presstv/status/1875138727653310860?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw