Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 875
- 633
Tatizo lako umefakamia UHARO wa waarabu na wewe umeshu kuwa Mwarabu-koko!! Toka lini mabomu yakachagua watoto pekee yaani bomu lipigwe liue watoto tu watu wazima linawaacha. Ama sivyo Hamas wanawafanya hao watoto kuwa Human-Shield kwa kuwafanya watoto kuwa chambo wafe ili wao wakazane kubwabwaja kwa kulisi Gizie Israel inaugurację watoto wakati wao wenyewe wanawafanya kuwa chambo. Huo ni ujinga wa Hali ya juu sana. Utakuta mtu sasa naye anashabikia UHARO huu naye anaanza kubwabwaja “Israel inaua watoto”
Wewe punguani kweli acha unafiki Netenyahu anavyouwa watoto Gaza mbona atukuoni humu kulaani huo ushetati wakiuliwa mabasha zako ndiyo unajifanya una uchun