Netanyahu Kiboko yaani ananichakazia Watu huko Lebanon na Gaza, halafu leo kapanda Gari akawa anapiga Mluzi na Kucheka Kijeuri

Netanyahu Kiboko yaani ananichakazia Watu huko Lebanon na Gaza, halafu leo kapanda Gari akawa anapiga Mluzi na Kucheka Kijeuri

Kuna lMandunduka Yakaanza mshangilia mnyanzimungu wao

Hapo nikajua humu JF ndo kuna makubwa ya mandunduka ambayo hayapatikani mahari popote isipokuwa Buza, Tandika kaburi 1 Tandale kwa tumbo, kigogo luhanga bonyokwa, matosa
 
Ukiona hadi GENTAMYCINE nampenda Mtu jua nimeshamtathmini kwa Vigezo vyangu vyote na kugundua kuwa ana Akili, Mbabe, Jeuri halafu ni Mpenzi wa Visasi vya Kuwanyoosha Wajinga (Madunduka) na Wapumbavu (Mapopoma) hasa wa huko Mashariki ya Kati pamoja na wale Wapuuzi wanaowasapoti.

Duniani cheza na Watu wote ila siyo Benjamin BIBI Netanyahu kwani huyu akisema anapiga jua anapiga kweli hatanii.
Usicheze na nabii Netanyahu
 
Wakiristo wa jf mtapata tabu sana dhidi ya uislam na waislam
Ukiona hadi GENTAMYCINE nampenda Mtu jua nimeshamtathmini kwa Vigezo vyangu vyote na kugundua kuwa ana Akili, Mbabe, Jeuri halafu ni Mpenzi wa Visasi vya Kuwanyoosha Wajinga (Madunduka) na Wapumbavu (Mapopoma) hasa wa huko Mashariki ya Kati pamoja na wale Wapuuzi wanaowasapoti.

Duniani cheza na Watu wote ila siyo Benjamin BIBI Netanyahu kwani huyu akisema anapiga jua anapiga kweli hatanii.
 
"Wala Mayahudi hawatoridhika nawe, wala Manasara (Wakristo), mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uongozi wa Mwenyezi Mungu ndio uongozi wa haki. Na ikiwa utawafuata matamanio yao baada ya yale yaliyokufikia katika elimu, hutapata mlinzi wala msaidizi kutoka kwa Mwenyezi Mungu." (Surah Al-Baqarah, 2:120).
 
Egypt, Turkey, na nchi nyingine nyingi tu za kiislamu zimejiweka pembeni kwenye hiyo migogoro.

Wanajua ni ujuha kuanza kuharibu uchumi wa nchi yako ili kuwapigania hayo mfuasi ya allah
Aya ya mwisho ina Mihemko na hisia kali za kiimani 😁
 
"Wala Mayahudi hawatoridhika nawe, wala Manasara (Wakristo), mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uongozi wa Mwenyezi Mungu ndio uongozi wa haki. Na ikiwa utawafuata matamanio yao baada ya yale yaliyokufikia katika elimu, hutapata mlinzi wala msaidizi kutoka kwa Mwenyezi Mungu." (Surah Al-Baqarah, 2:120).
Hebu weka ule mstari wa bikira na pombe mjomba kuna jamaa haamini kama Allah anapika pombe.
 
Huyo aliyenyoosha kidole huko kwao wanamuita ATEBA😝
Screenshot_20240929-063638_Gallery.jpg
 
Ukiona hadi GENTAMYCINE nampenda Mtu jua nimeshamtathmini kwa Vigezo vyangu vyote na kugundua kuwa ana Akili, Mbabe, Jeuri halafu ni Mpenzi wa Visasi vya Kuwanyoosha Wajinga (Madunduka) na Wapumbavu (Mapopoma) hasa wa huko Mashariki ya Kati pamoja na wale Wapuuzi wanaowasapoti.

Duniani cheza na Watu wote ila siyo Benjamin BIBI Netanyahu kwani huyu akisema anapiga jua anapiga kweli hatanii.
Bado hajamfikia Fraun alikuwa zaidi yake na watu wakimshangilia kushinda unavofanya wewe,mfano mdogo Magufuli alimchakaza Lisu nayeye alikuwa akishangiliwa na kuitwa mwamba, au umesahau,
 
Ukiona hadi GENTAMYCINE nampenda Mtu jua nimeshamtathmini kwa Vigezo vyangu vyote na kugundua kuwa ana Akili, Mbabe, Jeuri halafu ni Mpenzi wa Visasi vya Kuwanyoosha Wajinga (Madunduka) na Wapumbavu (Mapopoma) hasa wa huko Mashariki ya Kati pamoja na wale Wapuuzi wanaowasapoti.

Duniani cheza na Watu wote ila siyo Benjamin BIBI Netanyahu kwani huyu akisema anapiga jua anapiga kweli hatanii.
Uzi bila pichaa na ushaidi usio na mashaka ni uzushuu
 
Ukiona hadi GENTAMYCINE nampenda Mtu jua nimeshamtathmini kwa Vigezo vyangu vyote na kugundua kuwa ana Akili, Mbabe, Jeuri halafu ni Mpenzi wa Visasi vya Kuwanyoosha Wajinga (Madunduka) na Wapumbavu (Mapopoma) hasa wa huko Mashariki ya Kati pamoja na wale Wapuuzi wanaowasapoti.

Duniani cheza na Watu wote ila siyo Benjamin BIBI Netanyahu kwani huyu akisema anapiga jua anapiga kweli hatanii.
huyo BIBI yako anapewa jeuri na Marekani tu, bila msaada wa Marekani pamoja na vibaraka wake ni mchumba tu kama wewe. kama yeye ni mbabe kwa NINI kashindwa kukomboa mateka kutoka kwa wanamgambo (sio wanajeshi) wa HAMAS
 
Kakake Yonitan 'Yoni' netanyahu alikuwa Kamanda wa Kikosi
maalumu kilichotumwa kwenda Entebbe Airport Uganda kuwakomboa Waisrael waliotekwa na magaidi wa Kiparestina kwenye ndege. Hakuuwawa na magaidi, aliuwawa na askali wa jeshi la Uganda (UDF) wakati huo chini ya utawala wa Idd Amin July 4 1976. Walifanikiwa kuwaokoa mateka wengi pia Walifanikiwa kuondoa na mwili wa Yoni.
Waparestina❌
Wapalestina☑️
Askali❌
Askari☑️
 
Ukiona hadi GENTAMYCINE nampenda Mtu jua nimeshamtathmini kwa Vigezo vyangu vyote na kugundua kuwa ana Akili, Mbabe, Jeuri halafu ni Mpenzi wa Visasi vya Kuwanyoosha Wajinga (Madunduka) na Wapumbavu (Mapopoma) hasa wa huko Mashariki ya Kati pamoja na wale Wapuuzi wanaowasapoti.

Duniani cheza na Watu wote ila siyo Benjamin BIBI Netanyahu kwani huyu akisema anapiga jua anapiga kweli hatanii.
Kwani ni natanyahu au marekan na ulaya yote
 
huyo BIBI yako anapewa jeuri na Marekani tu, bila msaada wa Marekani pamoja na vibaraka wake ni mchumba tu kama wewe. kama yeye ni mbabe kwa NINI kashindwa kukomboa mateka kutoka kwa wanamgambo (sio wanajeshi) wa HAMAS
Amewaacha mkae nao ili aendelee kuwanyoosha!

Maana anhewakomboa mapema angekosa sababu ya kuwatokomeza magaidi
 
Back
Top Bottom