Netanyahu kwenye mazungumzo ya siri kuwahamishia raia wa Gaza Congo!

Netanyahu kwenye mazungumzo ya siri kuwahamishia raia wa Gaza Congo!

Uzuri ni kwamba huwa wanaongezeka kwa haraka sana, ndani ya miaka 20 watakuwa wengi kuliko Watanzania halisi na hapo sasa watanzania halisi wataambiwa watoke wakatafute nchi yao.
Wanazaliana haooo......europe na US wakiendelea kucheka nao yatawakuta. Kuzaliana kwa wingi ni kati ya mbinu zao chafu za kutawala na zilianza kwa Ishmael na infact ni mbinu toka kwa shetani.
 
Tanganyika waislam ndio waliowafanya wakiristo wajitawale. Wakati waislam wanapigania uhuru wakiristo wakishirikiana na Wajerumani kupinga wakidhani wanawakomoa waislam.sasa hivi wamo jf wakileta kashfa
Hii ni historia ya Tanganyika ipi? Kumbe kuna Tanganyika nyingi hivi?
 
Wayahudi wako nchi mbali mbali katika dunia hii!
Huwezi kuamini hata Iran nchi hasimu na Israel ina wairan wenye asili ya Kiyahudi, Iraq, India, US, Ulaya, Russia, Ukraine,nk wapo na hatujasikia wakileta fujo!
Mgogoro wao ni ardhi waliyopewa Babu zao Ibrahim, Isaka na Israeli.
 
Ni upuuzi mkubwa kupigania ardhi ambayo wote mnakufa mnaiacha.

Kipindi nakua nilikuwa nikiamini mwanadamu ni kiumbe mmoja smart sana. Lakini nimeishia kubaini mambo ni opposite kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukichunguza vizuri watu karibia wote walipo sio eneo lao la asili ni kupitia uhamaji makazi ndio walipofika na kuona eneo linafaa wakaamua kuishi.
 
Huwa ninajiuliza, waislamu wote wanaitana ndugu ktk imani, iweje machafuko yanapotokea mataifa ya wala kitimoto na ndizi huwapa hifadhi huku wale wavaa kobazi wenzao wakiwatelekeza?


MK254 na Maghayo
Hata kwenye miskiti ya humu nchini utasikia imam akisema 'ndugu zangu' lakini baada tu ya mawaidha wakushatoka nje, mwenye vx haongei na mwenye baiskeli.
 
Hao raia nao wana matatizo, wakiambiwa njoo huku au nenda kule kwa ajili ya usalama wako wengine huwa wanakaidi, wakiangukiwa na kitu kizito makelele yanaongezeka.

Mfano leo kuna kiongozi mmoja wa kijeshi wa Israel amewaomba raia wema wa Palestina watoke Ghaza waende upande wa Egypt wapishe operation kimbunga walau kwa wiki moja tu, lakini mwitikio ni hafifu.
Yaani waliondolewa Gaza kaskazini wakaambiwa waende kusini wakatii, sasa unawaambia waondoke kusini waende Misri?. Hiyo ni janja ya nyani ya kuwaondoa Gaza. Wakishsondoka tu, Israel kamwe haitoruhusu warudi Gaza!

Kwa nini wasiwaambie sasa warudi Gaza kaskazini ili wadili na kusini?
 
Kuna mazungumzo “ya siri” kati ya Netanyahu na Congo DRC ili kuweza kuwahamishia raia wa Gaza huko pamoja na nchi nyingine za Africa.

Kaazi kweli kweli daah!

Yani hayo mazungumzo yawe ya siri alafu wewe unaekaa mpiji magoe uyajue 😀😀 hizi porojo tu kama porojo zingine, six day war, Israel nchi yao ukipiga bomu linadunda, dunia nzima zayuni ndo ana jeshi bora, operesheni entebe nk. Huyo Netanyahu kashindwa kuokoa mateka wake gaza yenye kieneo kidogo mpaka anarudisha majeshi yake kwa mziki wa wanaume,, itakuwa Eti awahamishe wapalestina,, mnachekelea kabisa wenyewe waisrael wa mwakaleli na kupeana moyo😀
 
India inaizidi nini Saudia kimiundombinu na uchumi wa maisha kwa mtu mmoja mmoja, au Qatar, au UAE, mamb mengine ni imani za watu tu , ni kauli za kibaguzi,
Bora wawe waislamu peke yao 100% kwa sababu uislamu is not compatible with other society. Mara nyingi lazima kuwe na mikwaruzano sana ya waislamu kutaka kupangia watu jinsi ya kuishi.

Mfano angalia hapa Tanzania, waislamu kung'ang'ania kuchinja, kulazimisha chakula flani kwa kua wao hawali basi kisiuzwe pamoja na vyakula vingine kisa tu wao hawali mfano bucha za nyama ya nguruwe.

So wahindi wako sahihi, waislamu ni watu ambao ni ngumu sana ku blend in na tamaduni nyingine kwa urahisi, mara nyingi hua lazima kuwe na migogoro.
 
Bora wawe waislamu peke yao 100% kwa sababu uislamu is not compatible with other society. Mara nyingi lazima kuwe na mikwaruzano sana ya waislamu kutaka kupangia watu jinsi ya kuishi.

Mfano angalia hapa Tanzania, waislamu kung'ang'ania kuchinja, kulazimisha chakula flani kwa kua wao hawali basi kisiuzwe pamoja na vyakula vingine kisa tu wao hawali mfano bucha za nyama ya nguruwe.

So wahindi wako sahihi, waislamu ni watu ambao ni ngumu sana ku blend in na tamaduni nyingine kwa urahisi, mara nyingi hua lazima kuwe na migogoro.
Haya madini yote ya watu weupe tuliletewa tu, haina haja kubagua mweusi mwenzako kisa haya madini, kikubwa ishi na majirani vyema licha ya kuwa ni muslim au christian unless awe mpumbavu.
Dini zilizoletwa na wakoloni zisipelekee hadi uadui baina yetu, wakati zililetwa na wafanya biashara wezi na walanguzi wa watumwa.
 
Nadhani shida kubwa ipo kwenye “preamble” ya Hamas. Fuatilia hata “article 13” inasema hawataki “peaceful solution” zaidi ya vita.

Wao siyo waumini wa “two states”, na wao wanachotaka na ambacho wamejiapiza, ni kuifutilia Israel mbali. Hilo linawashtua sana Israel…

Ndiyo maana waligombana na Fatah maana wale walikuwa wameshaanza kukubaliana na “a two states solution”
Ulichoandika ni kweli kwa kiasi fulani Ila kina upande mwingine wenye utata.

usisahau hiyo hiyo Israel huko nyuma iliitumia Hamas kudidimiza uhalali wa mamlaka ya Palestine (PA) ili kuua ndoto ya mataifa mawili.



 
Huwa ninajiuliza, waislamu wote wanaitana ndugu ktk imani, iweje machafuko yanapotokea mataifa ya wala kitimoto na ndizi huwapa hifadhi huku wale wavaa kobazi wenzao wakiwatelekeza?


MK254 na Maghayo
Swali zuri hili nasubili majibu kutoka bakwata
 
Yaani waliondolewa Gaza kaskazini wakaambiwa waende kusini wakatii, sasa unawaambia waondoke kusini waende Misri?. Hiyo ni janja ya nyani ya kuwaondoa Gaza. Wakishsondoka tu, Israel kamwe haitoruhusu warudi Gaza!

Kwa nini wasiwaambie sasa warudi Gaza kaskazini ili wadili na kusini?
Wana lengo la kuichukua Ghaza mazima
 
Bora wawe waislamu peke yao 100% kwa sababu uislamu is not compatible with other society. Mara nyingi lazima kuwe na mikwaruzano sana ya waislamu kutaka kupangia watu jinsi ya kuishi.

Mfano angalia hapa Tanzania, waislamu kung'ang'ania kuchinja, kulazimisha chakula flani kwa kua wao hawali basi kisiuzwe pamoja na vyakula vingine kisa tu wao hawali mfano bucha za nyama ya nguruwe.

So wahindi wako sahihi, waislamu ni watu ambao ni ngumu sana ku blend in na tamaduni nyingine kwa urahisi, mara nyingi hua lazima kuwe na migogoro.
Yaani mnapeenda kuuchafua uislam kuzifurahisha nafsi zenu

Waislam kwao (kwetu) ngurue haram wameeka wazi kue na sehem maalum za kuuza nyama ya ngurue ila isichanganywe sababu kwetu haram (unajua madhara ambayo yatapatikana ikiwa hilo lingepingwa)

Huko india mnapopaona watu wanaishi salama na wanajua kudeal na waislam kama mnavyodai jamii kubwa ya wahindi wanaabudu ng'ombe wanamuita eti ndio Mungu wao unajua ukichinja Mungu wao kinavyonuka haya hawa nao waislam mpaka wanakua hivi

Kila dini ni bora kwa muumini husika huu ndio ukweli unadhani wewe sijui dini yako ila kama unaamini dini yako sio bora kuliko ya mwengine mbona huiachi hio dini unayoiamini ukahamia budha au ukaabudia Ng'ombe

Uislam una mipaka na miiko yake hua unaongea kweupe hauna unafiq nyama inayochinjwa na kafiri au asiekua muislam hio haram mkipenda ndio ukweli hata mkichukia ndio ukweli mnataka waislam waishi mnavyotaka nyie poleni sana

Uislam munauchukia pamoja na na waislam tena sana ila mtajipa maradhi ya bure sababu uislam haujaanza kupigwa vita leo ila hamjiulizi kwanini tu upo na unaendelea kuepo

Chuki zenu dhidi ya waislam hazitafanya uislam na waislam wasiwepo ama wasiabudu

kitimoto haram nyama inayochinjwa na asie muislam haram vile vile yaani mtu achinje tu kuku kindezi ndezi unilishe poleni sana tuvumilieni hio ndio imani yetu haina unafiq
 
Back
Top Bottom