Wanazaliana haooo......europe na US wakiendelea kucheka nao yatawakuta. Kuzaliana kwa wingi ni kati ya mbinu zao chafu za kutawala na zilianza kwa Ishmael na infact ni mbinu toka kwa shetani.Uzuri ni kwamba huwa wanaongezeka kwa haraka sana, ndani ya miaka 20 watakuwa wengi kuliko Watanzania halisi na hapo sasa watanzania halisi wataambiwa watoke wakatafute nchi yao.
Tanganyika waislam ndio waliowafanya wakiristo wajitawale. Wakati waislam wanapigania uhuru wakiristo wakishirikiana na Wajerumani kupinga wakidhani wanawakomoa waislam.sasa hivi wamo jf wakileta kashfa
usiogope wale hawapelekwi kokote watabaki pale mpk Dunia iishe au pengine ule mpango wa waisrael kupelekwa Uganda ndo umewadiaMambo ni inachenka sana.
Wasiwalete Tanzania hao viumbe wasije wakatulipukia. Ila ingefaa sana wabakishwe huko huko Arabia badala ya kuwaleta huku
Ukichunguza vizuri watu karibia wote walipo sio eneo lao la asili ni kupitia uhamaji makazi ndio walipofika na kuona eneo linafaa wakaamua kuishi.Ni upuuzi mkubwa kupigania ardhi ambayo wote mnakufa mnaiacha.
Kipindi nakua nilikuwa nikiamini mwanadamu ni kiumbe mmoja smart sana. Lakini nimeishia kubaini mambo ni opposite kabisa!
Sent using Jamii Forums mobile app
India inaizidi nini Saudia kimiundombinu na uchumi wa maisha kwa mtu mmoja mmoja, au Qatar, au UAE, mamb mengine ni imani za watu tu , ni kauli za kibaguzi,Wahindi husema more Muslims more problems. Wao kanuni yao ni kwamba muslims should not be more that 30% of the population otherwise you are fucked.
Hata kwenye miskiti ya humu nchini utasikia imam akisema 'ndugu zangu' lakini baada tu ya mawaidha wakushatoka nje, mwenye vx haongei na mwenye baiskeli.
Yaani waliondolewa Gaza kaskazini wakaambiwa waende kusini wakatii, sasa unawaambia waondoke kusini waende Misri?. Hiyo ni janja ya nyani ya kuwaondoa Gaza. Wakishsondoka tu, Israel kamwe haitoruhusu warudi Gaza!Hao raia nao wana matatizo, wakiambiwa njoo huku au nenda kule kwa ajili ya usalama wako wengine huwa wanakaidi, wakiangukiwa na kitu kizito makelele yanaongezeka.
Mfano leo kuna kiongozi mmoja wa kijeshi wa Israel amewaomba raia wema wa Palestina watoke Ghaza waende upande wa Egypt wapishe operation kimbunga walau kwa wiki moja tu, lakini mwitikio ni hafifu.
Basi hii dini ni ya ovyo aiseeeWahindi husema more Muslims more problems. Wao kanuni yao ni kwamba muslims should not be more that 30% of the population otherwise you are fucked.
Yani hayo mazungumzo yawe ya siri alafu wewe unaekaa mpiji magoe uyajue 😀😀 hizi porojo tu kama porojo zingine, six day war, Israel nchi yao ukipiga bomu linadunda, dunia nzima zayuni ndo ana jeshi bora, operesheni entebe nk. Huyo Netanyahu kashindwa kuokoa mateka wake gaza yenye kieneo kidogo mpaka anarudisha majeshi yake kwa mziki wa wanaume,, itakuwa Eti awahamishe wapalestina,, mnachekelea kabisa wenyewe waisrael wa mwakaleli na kupeana moyo😀Kuna mazungumzo “ya siri” kati ya Netanyahu na Congo DRC ili kuweza kuwahamishia raia wa Gaza huko pamoja na nchi nyingine za Africa.
Kaazi kweli kweli daah!
Israel in Secret Talks to ‘Resettle’ Palestinians in Congo: Report
Saudi Arabia has also reportedly been floated as an option.www.thedailybeast.com
Bora wawe waislamu peke yao 100% kwa sababu uislamu is not compatible with other society. Mara nyingi lazima kuwe na mikwaruzano sana ya waislamu kutaka kupangia watu jinsi ya kuishi.India inaizidi nini Saudia kimiundombinu na uchumi wa maisha kwa mtu mmoja mmoja, au Qatar, au UAE, mamb mengine ni imani za watu tu , ni kauli za kibaguzi,
Haya madini yote ya watu weupe tuliletewa tu, haina haja kubagua mweusi mwenzako kisa haya madini, kikubwa ishi na majirani vyema licha ya kuwa ni muslim au christian unless awe mpumbavu.Bora wawe waislamu peke yao 100% kwa sababu uislamu is not compatible with other society. Mara nyingi lazima kuwe na mikwaruzano sana ya waislamu kutaka kupangia watu jinsi ya kuishi.
Mfano angalia hapa Tanzania, waislamu kung'ang'ania kuchinja, kulazimisha chakula flani kwa kua wao hawali basi kisiuzwe pamoja na vyakula vingine kisa tu wao hawali mfano bucha za nyama ya nguruwe.
So wahindi wako sahihi, waislamu ni watu ambao ni ngumu sana ku blend in na tamaduni nyingine kwa urahisi, mara nyingi hua lazima kuwe na migogoro.
Ulichoandika ni kweli kwa kiasi fulani Ila kina upande mwingine wenye utata.Nadhani shida kubwa ipo kwenye “preamble” ya Hamas. Fuatilia hata “article 13” inasema hawataki “peaceful solution” zaidi ya vita.
Wao siyo waumini wa “two states”, na wao wanachotaka na ambacho wamejiapiza, ni kuifutilia Israel mbali. Hilo linawashtua sana Israel…
Ndiyo maana waligombana na Fatah maana wale walikuwa wameshaanza kukubaliana na “a two states solution”
Congo kubwa sanaWakiletwa Congo baada ya Miaka kumi watasema Kongo ni yao na Machifu akina Manuel 111.
Afonso.
Lukeni Iua Nimi etc walikuwa waislam,bora wabaki uko uko.
Wana lengo la kuichukua Ghaza mazimaYaani waliondolewa Gaza kaskazini wakaambiwa waende kusini wakatii, sasa unawaambia waondoke kusini waende Misri?. Hiyo ni janja ya nyani ya kuwaondoa Gaza. Wakishsondoka tu, Israel kamwe haitoruhusu warudi Gaza!
Kwa nini wasiwaambie sasa warudi Gaza kaskazini ili wadili na kusini?
Yaani mnapeenda kuuchafua uislam kuzifurahisha nafsi zenuBora wawe waislamu peke yao 100% kwa sababu uislamu is not compatible with other society. Mara nyingi lazima kuwe na mikwaruzano sana ya waislamu kutaka kupangia watu jinsi ya kuishi.
Mfano angalia hapa Tanzania, waislamu kung'ang'ania kuchinja, kulazimisha chakula flani kwa kua wao hawali basi kisiuzwe pamoja na vyakula vingine kisa tu wao hawali mfano bucha za nyama ya nguruwe.
So wahindi wako sahihi, waislamu ni watu ambao ni ngumu sana ku blend in na tamaduni nyingine kwa urahisi, mara nyingi hua lazima kuwe na migogoro.
Wewe ndio umeuona ujinga huo ila mengine yanaongelea dini tu iliyowaingia kwa chukiWaafrica tuna ujinga sana, ivi Kiuhalisia Israel ingekubali kuwapokea Raia kutoka Congo ?