Netanyahu, mfano wa mfalme Daudi, ametoka kabila la Yusufu

Netanyahu, mfano wa mfalme Daudi, ametoka kabila la Yusufu

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Israel ni ileile ya Isaka, Yakobo na Ibrahim. Hawa watu ni wapiganaji na ni wapenda Vita tangu hapo mwanzo. Sina haja ya kueleza hayo

Ila nataka kueleza mfanano wa Benjamin Netanyahu na Mfalme Daudi wa Israel. Jamaa ni mtu wa kabila LA Yusufu.

Daudi akiwa kijana mdogo ujasiri wa Mambo ya Vita ulionekana. Wengi tunajuwa aliua wanyama wakali kama Simba akiwa mchungaji wa kondoo

Sio hapo tu, Daudi alimuua Giant Goliath kwa ujasiri mkubwa Sana.
Goliath pamoja na tambo zote, Daudi alimuangamiza.

Sasa Netanyahu Benjamin Ana roho ileile ya Daudi. Na yeye akiwa kijana mdogo miaka ya sabini yeye na wenzie walifanya operation kubwa nchini Uganda ya kuwaokoa mateka wa ki Israeli.

Operation ile ikifanyika dk 90 tu watu wakafanya yao. Wa Israel walijaribu kubadilisha na kumtoa Netanyahu, wanajikuta wanamrudisha tena.

Netanyahu ni Mpambanaji, jasiri, mwenye malengo, mwenye IQ kubwa, msomi.

Roho ileile ya Mfalme Daudi, IPO kwa Netanyahu
 
Hao uliowataja wala hawakuwa wapenda vita kama unavyodai. Walikuwa ndio kwanza wanajitafuta; walikuwa wachache sana.

Walilianzisha baada ya kutoka utumwani. Wakiongozwa na Gen. Joshua kuingia Kanaani tangu hapo hadi leo hawajawahi kupoa! Vita wanavijua na wanavipenda!
 
Israel ni ileile ya Isaka, Yakobo na Ibrahim. Hawa watu ni wapiganaji na ni wapenda Vita tangu hapo mwanzo. Sina haja ya kueleza hayo

Ila nataka kueleza mfanano wa Benjamin Netanyahu na Mfalme Daudi wa Israel. Jamaa ni mtu wa kabila LA Yusufu.

Daudi akiwa kijana mdogo ujasiri wa Mambo ya Vita ulionekana. Wengi tunajuwa aliua wanyama wakali kama Simba akiwa mchungaji wa kondoo

Sio hapo tu, Daudi alimuua Giant Goliath kwa ujasiri mkubwa Sana.
Goliath pamoja na tambo zote, Daudi alimuangamiza.

Sasa Netanyahu Benjamin Ana roho ileile ya Daudi. Na yeye akiwa kijana mdogo miaka ya sabini yeye na wenzie walifanya operation kubwa nchini Uganda ya kuwaokoa mateka wa ki Israeli.

Operation ile ikifanyika dk 90 tu watu wakafanya yao. Wa Israel walijaribu kubadilisha na kumtoa Netanyahu, wanajikuta wanamrudisha tena.

Netanyahu ni Mpambanaji, jasiri, mwenye malengo, mwenye IQ kubwa, msomi.

Roho ileile ya Mfalme Daudi, IPO kwa Netanyahu
Hata awe damu moja na musa au yesu haizuiii wao kutwangwa na .mungu haezi tetea taifa la mashoga lile
 
Israel ni ileile ya Isaka, Yakobo na Ibrahim. Hawa watu ni wapiganaji na ni wapenda Vita tangu hapo mwanzo. Sina haja ya kueleza hayo

Ila nataka kueleza mfanano wa Benjamin Netanyahu na Mfalme Daudi wa Israel. Jamaa ni mtu wa kabila LA Yusufu.

Daudi akiwa kijana mdogo ujasiri wa Mambo ya Vita ulionekana. Wengi tunajuwa aliua wanyama wakali kama Simba akiwa mchungaji wa kondoo

Sio hapo tu, Daudi alimuua Giant Goliath kwa ujasiri mkubwa Sana.
Goliath pamoja na tambo zote, Daudi alimuangamiza.

Sasa Netanyahu Benjamin Ana roho ileile ya Daudi. Na yeye akiwa kijana mdogo miaka ya sabini yeye na wenzie walifanya operation kubwa nchini Uganda ya kuwaokoa mateka wa ki Israeli.

Operation ile ikifanyika dk 90 tu watu wakafanya yao. Wa Israel walijaribu kubadilisha na kumtoa Netanyahu, wanajikuta wanamrudisha tena.

Netanyahu ni Mpambanaji, jasiri, mwenye malengo, mwenye IQ kubwa, msomi.

Roho ileile ya Mfalme Daudi, IPO kwa Netanyahu
Baba yake netanyahu ni bwana benzion mileikowsky,mzaliwa wa Poland 1910,vuguvugu la uzayuni lilipoanza akahamia Palestine na kujipa jina la netanyahu na kuachana na jina lake la kipoland,ni mzungu,Hana uhusiano wowote na hiyo nchi Wala ukoo wa Yusuf
 
Israel ni ileile ya Isaka, Yakobo na Ibrahim. Hawa watu ni wapiganaji na ni wapenda Vita tangu hapo mwanzo. Sina haja ya kueleza hayo

Ila nataka kueleza mfanano wa Benjamin Netanyahu na Mfalme Daudi wa Israel. Jamaa ni mtu wa kabila LA Yusufu.

Daudi akiwa kijana mdogo ujasiri wa Mambo ya Vita ulionekana. Wengi tunajuwa aliua wanyama wakali kama Simba akiwa mchungaji wa kondoo

Sio hapo tu, Daudi alimuua Giant Goliath kwa ujasiri mkubwa Sana.
Goliath pamoja na tambo zote, Daudi alimuangamiza.

Sasa Netanyahu Benjamin Ana roho ileile ya Daudi. Na yeye akiwa kijana mdogo miaka ya sabini yeye na wenzie walifanya operation kubwa nchini Uganda ya kuwaokoa mateka wa ki Israeli.

Operation ile ikifanyika dk 90 tu watu wakafanya yao. Wa Israel walijaribu kubadilisha na kumtoa Netanyahu, wanajikuta wanamrudisha tena.

Netanyahu ni Mpambanaji, jasiri, mwenye malengo, mwenye IQ kubwa, msomi.

Roho ileile ya Mfalme Daudi, IPO kwa Netanyahu
Daudi kutoka kwenye ukoo wa mwanamke ambaye siyo Myahudi. Mama yao alikuwa Ruth kutoka Moabu.

Ruth marries Boaz

Obed
: Ruth and Boaz have a son named Obed (Kwa Arabic anaitwa Abed ) Maana yake both Hebrew and Arabic servant

Obed(Abed) is the father of Jesse


Abednego = Abed Nego (Nego being a reference to the Babylonian god Nebo or Nabu)

Servat of god.

Simple
 
Israel ni ileile ya Isaka, Yakobo na Ibrahim. Hawa watu ni wapiganaji na ni wapenda Vita tangu hapo mwanzo. Sina haja ya kueleza hayo

Ila nataka kueleza mfanano wa Benjamin Netanyahu na Mfalme Daudi wa Israel. Jamaa ni mtu wa kabila LA Yusufu.

Daudi akiwa kijana mdogo ujasiri wa Mambo ya Vita ulionekana. Wengi tunajuwa aliua wanyama wakali kama Simba akiwa mchungaji wa kondoo

Sio hapo tu, Daudi alimuua Giant Goliath kwa ujasiri mkubwa Sana.
Goliath pamoja na tambo zote, Daudi alimuangamiza.

Sasa Netanyahu Benjamin Ana roho ileile ya Daudi. Na yeye akiwa kijana mdogo miaka ya sabini yeye na wenzie walifanya operation kubwa nchini Uganda ya kuwaokoa mateka wa ki Israeli.

Operation ile ikifanyika dk 90 tu watu wakafanya yao. Wa Israel walijaribu kubadilisha na kumtoa Netanyahu, wanajikuta wanamrudisha tena.

Netanyahu ni Mpambanaji, jasiri, mwenye malengo, mwenye IQ kubwa, msomi.

Roho ileile ya Mfalme Daudi, IPO kwa Netanyahu
Mkuu huyu Netanyau wa sasa ni mdogo wake yule wa Operation Entebe! Jamaa allifia pale na ni askari pekee kufa kwenye hiyo OP.
Sasa sielewi ukanda wa Gaza wamefelije kuwaokoa mateka
 
Israel ni ileile ya Isaka, Yakobo na Ibrahim. Hawa watu ni wapiganaji na ni wapenda Vita tangu hapo mwanzo. Sina haja ya kueleza hayo

Ila nataka kueleza mfanano wa Benjamin Netanyahu na Mfalme Daudi wa Israel. Jamaa ni mtu wa kabila LA Yusufu.

Daudi akiwa kijana mdogo ujasiri wa Mambo ya Vita ulionekana. Wengi tunajuwa aliua wanyama wakali kama Simba akiwa mchungaji wa kondoo

Sio hapo tu, Daudi alimuua Giant Goliath kwa ujasiri mkubwa Sana.
Goliath pamoja na tambo zote, Daudi alimuangamiza.

Sasa Netanyahu Benjamin Ana roho ileile ya Daudi. Na yeye akiwa kijana mdogo miaka ya sabini yeye na wenzie walifanya operation kubwa nchini Uganda ya kuwaokoa mateka wa ki Israeli.

Operation ile ikifanyika dk 90 tu watu wakafanya yao. Wa Israel walijaribu kubadilisha na kumtoa Netanyahu, wanajikuta wanamrudisha tena.

Netanyahu ni Mpambanaji, jasiri, mwenye malengo, mwenye IQ kubwa, msomi.

Roho ileile ya Mfalme Daudi, IPO kwa Netanyahu
Hilo kabila la yusufu linatuhusu hadi sisi wamang'ati?
 
Acha ujuha
Daudi mwana wa yes
Alikua mtu kutoka kabila la Yuda
Na hakuna kabila la Yusuf Bali makabila mawili yaliyotokana na Yusuf ambayo ni MANASE NA EFRAHIM
NAKAZIA DAUDI NI MWANA WA YESE MTU WA BETHLEHEM YA YUDA

DAUDI ANATOKEA KABILA LA YUDA

HUYU BENJAMIN NETANYAHU LABDA UNGESEMA ANATOKA KABILA LA BENJAMINI YULE MTOTO WA MWISHO WA YAKOBO AMBAE NI MDOGO WA KUZALIWA TUMBO MOJA NA YUSUFU

SEMA MTOA POST HUJAKOSEA SANA MAANA YUSUFU NA BENJAMIN NI MTU NA MDOGO WAKE TENA MAMA MMOJA AITWAE RAHELI.

ILA KWA DAUDI UMEKOSEA DAUDI ANATOKEA KABILA LA YUDA.
 
NAKAZIA DAUDI NI MWANA WA YESE MTU WA BETHLEHEM YA YUDA

DAUDI ANATOKEA KABILA LA YUDA

HUYU BENJAMIN NETANYAHU LABDA UNGESEMA ANATOKA KABILA LA BENJAMINI YULE MTOTO WA MWISHO WA YAKOBO AMBAE NI MDOGO WA KUZALIWA TUMBO MOJA NA YUSUFU

SEMA MTOA POST HUJAKOSEA SANA MAANA YUSUFU NA BENJAMIN NI MTU NA MDOGO WAKE TENA MAMA MMOJA

ILA KWA DAUDI UMEKOSEA DAUDI ANATOKEA KABILA LA YUDA.
DAUDI ni kutoka kwa mwanamke wa Moabu. Hana asili ya 100% ya ukoo wa Yuda.
 
Baba yake netanyahu ni bwana benzion mileikowsky,mzaliwa wa Poland 1910,vuguvugu la uzayuni lilipoanza akahamia Palestine na kujipa jina la netanyahu na kuachana na jina lake la kipoland,ni mzungu,Hana uhusiano wowote na hiyo nchi Wala ukoo wa Yusuf
Akili za madrasa hizi vituko tupu,poleni magaidi gaza na west bank ndio vinaondoka kwenu magaidi.
 
Hata Yesu alitokea kwenye ukoo wa Suleiman mama yake ni Bathsheba aliyekuwa mke wa Uria. Kabila lake ni Mhiti. Na wahiti walikuwa wakiishi eneo la sasa linaitwa Uturuki Kwahiyo mke wa Uria Bathsheba is Turkic from Mongolia
 
Asili ya Waisrael siyo Ibrahimu ni Mjukuu wake Jacob. So hakuna uhusiano wa Kabila la Yuda na wamoab. Wamoab ni waarabu kutoka Jordan
Labda tuambie kuwa Netanyahu asili ya ndugu zake ni Waarabu wa Jordan.
 
Israel ni ileile ya Isaka, Yakobo na Ibrahim. Hawa watu ni wapiganaji na ni wapenda Vita tangu hapo mwanzo. Sina haja ya kueleza hayo

Ila nataka kueleza mfanano wa Benjamin Netanyahu na Mfalme Daudi wa Israel. Jamaa ni mtu wa kabila LA Yusufu.

Daudi akiwa kijana mdogo ujasiri wa Mambo ya Vita ulionekana. Wengi tunajuwa aliua wanyama wakali kama Simba akiwa mchungaji wa kondoo

Sio hapo tu, Daudi alimuua Giant Goliath kwa ujasiri mkubwa Sana.
Goliath pamoja na tambo zote, Daudi alimuangamiza.

Sasa Netanyahu Benjamin Ana roho ileile ya Daudi. Na yeye akiwa kijana mdogo miaka ya sabini yeye na wenzie walifanya operation kubwa nchini Uganda ya kuwaokoa mateka wa ki Israeli.

Operation ile ikifanyika dk 90 tu watu wakafanya yao. Wa Israel walijaribu kubadilisha na kumtoa Netanyahu, wanajikuta wanamrudisha tena.

Netanyahu ni Mpambanaji, jasiri, mwenye malengo, mwenye IQ kubwa, msomi.

Roho ileile ya Mfalme Daudi, IPO kwa Netanyahu
Hao uliyo wataja hawakua machoko
Ila hawa Akina bibi wanafumuliwa marinda
 
Back
Top Bottom