Netanyahu ni roho ya mfalme Daudi

Netanyahu ni roho ya mfalme Daudi

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Ujasiri na Uhodari wa Benjamin Netanyahu kwenye ulimwengu wa kivita ni copy and paste ya King David.
Mfalme David alikuwa hodari na jasiri Sana linapokuwa suala LA Vita. Utawala wa mfalme David ulijaa vita miaka 40.

Na ni nadra Sana David alipigwa.

Kutokana ni hilo kwenye bendera ya Israel kuna nyota na ile nyota Wameiita NYOTA YA DAUDI

Roho ileile, ujasiri uleule, Uhodari uleule wa mfalme David Umeoneka kwa Benjamin Netanyahu.

Netanyahu amepigana kwa mafanikio makubwa na maadui zake. Tumeona Wafilisti, Waamedi, Waajemi, Wamisri, Waashuru Wakianguka mbele ya Israel kutokana na Uhodari wa mfalme David mpya.

MUNGU IBARIKI ISRAEL🇮🇱
 
Ujasiri na Uhodari wa Benjamin Netanyahu kwenye ulimwengu wa kivita ni copy and paste ya King David.
Mfalme David alikuwa hodari na jasiri Sana linapokuwa suala LA Vita. Utawala wa mfalme David ulijaa vita miaka 40.

Na ni nadra Sana David alipigwa.

Kutokana ni hilo kwenye bendera ya Israel kuna nyota na ile nyota Wameiita NYOTA YA DAUDI

Roho ileile, ujasiri uleule, Uhodari uleule wa mfalme David Umeoneka kwa Benjamin Netanyahu.

Netanyahu amepigana kwa mafanikio makubwa na maadui zake. Tumeona Wafilisti, Waamedi, Waajemi, Wamisri, Waashuru Wakianguka mbele ya Israel kutokana na Uhodari wa mfalme David mpya.

MUNGU IBARIKI ISRAEL🇮🇱
Wewe kweli Mgalatia usiyekuwa na akili.
 
Huwa naona kichefu chefu navyoona jitu jeusi likiamini mazayuni kina-Netanyau ndio wana wa Israeli
... atakata bichwa la Ayatollah sawa sawa na Daudi alivyokata lile la Goliath! Tumwombee Mungu amlinde na kumtunza azma yake ikapate kutimia.
 
Wakristo mmekuwa watu wa ovyo mno kuelekea huu mgogoro wa mashariki ya kati mpaka kuonyesha kuwa wapinzani wenu kidini wapo sahihi kuelekea hili🤗
Mimi naweza kujustify baadhi ya mapigano ya Israel, ila siyo kwa mrengo wa kidini.

Mleta mada yuko sahihi kihistoria.

Daudi alikuwa ni mpigana vita tu.
Alikuwa akiuona mji tu, anamwambia mungu wake, ''Mungu niruhusu niuendee ule mji'' anauendea na kupigana vita.

Na ni kweli pia kuwa nyota, sio tu iliyopo kwny bendera ya Israel, bali hata zile nyota nyingi ngingi kwny bendera ya Marekani, inaitwa The Star of David.
 
... atakata bichwa la Ayatollah sawa sawa na Daudi alivyokata lile la Goliath! Tumwombee Mungu amlinde na kumtunza azma yake ikapate kutimia.
😄😄😄😅 we jamaa; kwamba tumwombee afanyaje?
 
Wakristo mmekuwa watu wa ovyo mno kuelekea huu mgogoro wa mashariki ya kati mpaka kuonyesha kuwa wapinzani wenu kidini wapo sahihi kuelekea hili🤗
Mimi sio shabiki wa vita lakini kwenye hili; Wayahudi specifically Netanyahu na IDF yake wanalaumiwa bure tu, wa kulaumiwa ni yule aliye anzisha hi vita. Israel na Wapalestina walikua wanaishi kwa amani kabisa, yule aliyeshambulia na kuua raia 1200+ I think ndio anaekiwa kulaaniwa kwa nguvu zote; Palestinians wamejaribu several times kuishambulia Israel, matokeo yake always ni kupigwa na kuzidi kunyang'anywa ardhi, sioni Gaza kurudi mikononi mwa Wapalestina tena, wameisha nyang'anywa kama ambavyo wamekua wakinyang'anywa maeneo mengine; next time don't try it again
 
Ujasiri na Uhodari wa Benjamin Netanyahu kwenye ulimwengu wa kivita ni copy and paste ya King David.
Mfalme David alikuwa hodari na jasiri Sana linapokuwa suala LA Vita. Utawala wa mfalme David ulijaa vita miaka 40.

Na ni nadra Sana David alipigwa.

Kutokana ni hilo kwenye bendera ya Israel kuna nyota na ile nyota Wameiita NYOTA YA DAUDI

Roho ileile, ujasiri uleule, Uhodari uleule wa mfalme David Umeoneka kwa Benjamin Netanyahu.

Netanyahu amepigana kwa mafanikio makubwa na maadui zake. Tumeona Wafilisti, Waamedi, Waajemi, Wamisri, Waashuru Wakianguka mbele ya Israel kutokana na Uhodari wa mfalme David mpya.

MUNGU IBARIKI ISRAEL🇮🇱
Netanyahu ni shetani mwenyewe.
 
Huwa naona kichefu chefu navyoona jitu jeusi likiamini mazayuni kina-Netanyau ndio wana wa Israeli
Mnavokuwa uchi mmejizungusha mashuka pale kwenye jiwe jeusi huwa mnaakili au matope?? Untantoa udhu usinisogelee pale mpaka mnalaliana huku mna nguo nyepesi ndio tujue kuwa dini yenu inapenda tendo la ngono kupita maelezo???
 
Mimi sio shabiki wa vita lakini kwenye hili; Wayahudi specially Netanyahu na IDF yake wanalaumiwq bure tu, wa kulaumiwa ni yule aliye anzisha hi vita. Israel na Wapalestina walikua wanaishi kwa amani kabisa, yule aliyeshambulia na kuua rais 1200+ I think ndio anatakiwa kulaaniwa kwa nguvu zote; Palestinians wamejaribu several times kuishambulia Israel, matokeo yake always ni kupigwa na kuzidi kunyang'anywa ardhi, sioni Gaza kurudi mikononi mwa Wapalestina, wameisha nyang'anywa kama ambavyo wamekua wakinyang'anywa maeneo mengine; next time don't try it again
Death to Israel! Death to America! Majinga kweli yale.
 
Huyu mwamba namkubali kWa kazi moja tu, kusafisha magaidi.
 

Attachments

  • IMG_5316.jpeg
    IMG_5316.jpeg
    267.6 KB · Views: 2
Back
Top Bottom