Netanyahu sasa imetosha, uwafanyie wepesi ndugu zetu wa Palestina, naamini wameshajifunza na hivyo hawatorudia tena kufanya makosa

Netanyahu sasa imetosha, uwafanyie wepesi ndugu zetu wa Palestina, naamini wameshajifunza na hivyo hawatorudia tena kufanya makosa

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Naomba sote kwa nguvu moja bila kujali itikadi zetu mniunge mkono ninapoa. WITO kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyau awaonee huruma ndugu zetu wa Mashariki ya kati na hivyo asitishe vita.

Netanyau hao ndugu zetu ni wanyonge kwako na hakuna namna wanaweza kushindana nawe. Netanyau ukiendelea hivi utafuta kizazi chao chote na ikitokea hivyo mwenyezi Mungu hatokusamehe.

Netanyau watu hao hata uwapige vipi watakuja tu kwani wanaamini kwenye itikadi zao.

Netanyau binafsi jamii hiyo siikubali kabisa hata hivyo huruma ya kibinadamu imenijia nikuombe uwafanyie wepesi

Wale wote wanaokubaliana nami kwenye comment tafadhali weka alama ya NDIYO kuashiria msimamo wako

Naamini tukipaza sauti zetu zitasikika hadi huko Yerusalemu.

Aksanteni sana na Mungu awabariki.
 
Wapalestine wakiinua mikono juu ntawadharau sana, ni either wapambane wafe wote au wapatiwe taifa lao liwe huru wajiamualie mambo yao. Tofaut na hivyo hawatokuja kupata taifa lao Tena milele. Waendelee kupambana kama wamekufa 45000 niwachache sana kwenye idadi ya watu mil 2. Waendelee kupambana mpaka tone la mwisho.
 
Wapalestine wakiinua mikono juu ntawadharau sana, ni either wapambane wafe wote au wapatiwe taifa lao liwe huru wajiamualie mambo yao. Tofaut na hivyo hawatokuja kupata taifa lao Tena milele. Waendelee kupambana kama wamekufa 45000 niwachache sana kwenye idadi ya watu mil 2. Waendelee kupambana mpaka tone la mwisho.
Imeshapitishwa hio hili goma tunalo tumeanza kuhesabu round ya pili sasa inshaallah
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naomba sote kwa nguvu moja bila kujali itikadi zetu mniunge mkono ninapoa WITO kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyau awaonee huruma ndugu zetu wa Mashariki ya kati na hivyo asitishe vita

Mheshimiwa Netanyau hao ndugu zetu ni wanyonge kwako na hakuna namna wanaweza kushindana nawe

Mheshimiwa Netanyau ukiendelea hivi utafuta kizazi chao chote na ikitokea hivyo mwenyezi Mungu hatokusamehe

Mheshimiwa Netanyau watu hao hata uwapige vipi watakuja tu kwani wanaamini kwenye itikadi zao

Mheshimiwa Netanyau binafsi jamii hiyo siikubali kabisa hata hivyo huruma ya kibinadamu imenijia nikuombe uwafanyie wepesi

Wale wote wanaokubaliana nami kwenye comment tafadhali weka alama ya NDIYO kuashiria msimamo wako

Naamini tukipaza sauti zetu zitasikika hadi huko Yerusalemu

Aksanteni sana na Mungu awabariki
Unaijua kauli ya " ukinipiga unanionea,ukiniacha unaniogopa?
 
Nimekusikia na NMEKUELEWA nitapeleka swala lako kwenye balaza la vita. Ila kwa sharti la kuwarudisha mateka wote mliowateka tarehe 7/10 sehemu mlipowatekea....na kuwafufua marehemu wote 1200 mliowauwa kwa masaa tu siku hiyo
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naomba sote kwa nguvu moja bila kujali itikadi zetu mniunge mkono ninapoa WITO kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyau awaonee huruma ndugu zetu wa Mashariki ya kati na hivyo asitishe vita

Mheshimiwa Netanyau hao ndugu zetu ni wanyonge kwako na hakuna namna wanaweza kushindana nawe

Mheshimiwa Netanyau ukiendelea hivi utafuta kizazi chao chote na ikitokea hivyo mwenyezi Mungu hatokusamehe

Mheshimiwa Netanyau watu hao hata uwapige vipi watakuja tu kwani wanaamini kwenye itikadi zao

Mheshimiwa Netanyau binafsi jamii hiyo siikubali kabisa hata hivyo huruma ya kibinadamu imenijia nikuombe uwafanyie wepesi

Wale wote wanaokubaliana nami kwenye comment tafadhali weka alama ya NDIYO kuashiria msimamo wako

Naamini tukipaza sauti zetu zitasikika hadi huko Yerusalemu

Aksanteni sana na Mungu awabariki
Keshaliweka wazi kuwa hana shida na wananchi wa Palestina, shida yake kuifuta Hamasi na itikadi zake Gaza, ili sakata kama hili lisije kujitokeza tena kwa siku za usoni, hataki 'sizi faya' mpaka atakapomalizana kabisa na Hamas.

Kasema raia wanyonge wanakufa bure kwa sababu ya kuisapoti Hamas na kukubali kuwekwa kama ngao ya mashambulizi na tabu wanazozipata haziwastahili, si zao ni za Hamas yarabi.

Nadhani anarudisha mambo ya miaka ya 1980, kuwapiga Hamas na kuikalia kimabavu Gaza hadi hapo atakapowaundia utawala rafiki anaoutaka yeye.
 
Waziri wao wa ulinzi jana katukana alitegemea kifo cha sinwar wanyooshe mikono leo kaambiwa asubiri dodo kwenye mpilipili jangwani
Kwanamna yoyote ile Palestine haiwezi kujiamulia mambo yake chini ya Israel, yaani iruhusu kuwa na vikundi vya wapiganaji vinavyotishia uwepo wa Israel alafu Israel iangalie tuu? Haijalishi watakufa wanajeshi wengi kiasi gani, pesa kiasi gani, au chochote kile, kilichopo mezani ni kupambana nawale wanaotishia uwepo wa Israel mashariki ya kati
 
Kwanamna yoyote ile Palestine haiwezi kujiamulia mambo yake chini ya Israel, yaani iruhusu kuwa na vikundi vya wapiganaji vinavyotishia uwepo wa Israel alafu Israel iangalie tuu? Haijalishi watakufa wanajeshi wengi kiasi gani, pesa kiasi gani, au chochote kile, kilichopo mezani ni kupambana nawale wanaotishia uwepo wa Israel mashariki ya kati
Kinyume chake ni sahihi/kweli
 
Wadau hamjamboni nyote?

Naomba sote kwa nguvu moja bila kujali itikadi zetu mniunge mkono ninapoa WITO kwa Waziri Mkuu Benjamin Netanyau awaonee huruma ndugu zetu wa Mashariki ya kati na hivyo asitishe vita.

Netanyau hao ndugu zetu ni wanyonge kwako na hakuna namna wanaweza kushindana nawe. Netanyau ukiendelea hivi utafuta kizazi chao chote na ikitokea hivyo mwenyezi Mungu hatokusamehe.

Netanyau watu hao hata uwapige vipi watakuja tu kwani wanaamini kwenye itikadi zao.

Netanyau binafsi jamii hiyo siikubali kabisa hata hivyo huruma ya kibinadamu imenijia nikuombe uwafanyie wepesi

Wale wote wanaokubaliana nami kwenye comment tafadhali weka alama ya NDIYO kuashiria msimamo wako

Naamini tukipaza sauti zetu zitasikika hadi huko Yerusalemu.

Aksanteni sana na Mungu awabariki.

Naona Gaza imekuwa magofu mpaka Sinwar akashindwa kujificha
 
Wapalestine wakiinua mikono juu ntawadharau sana, ni either wapambane wafe wote au wapatiwe taifa lao liwe huru wajiamualie mambo yao. Tofaut na hivyo hawatokuja kupata taifa lao Tena milele. Waendelee kupambana kama wamekufa 45000 niwachache sana kwenye idadi ya watu mil 2. Waendelee kupambana mpaka tone la mwisho.

Wafyekwe wote.
 
Ndugu Neta🐈 kawapiga vya kutosha, awaache sasa maana maisha ya binadamu wenzetu kuke wanazidi kupoteza maisha
 
Back
Top Bottom