Netflix na Sony wasitisha utoaji wa Movies za Will Smith

Netflix na Sony wasitisha utoaji wa Movies za Will Smith

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Mitandao mbalimbali ya Marekani imeripoti kwamba Netflix imesitisha kuonesha filamu mpya ya Will Smith (53) iitwayo ‘Fast and Loose’ kutokana na tukio lililotokea kwenye tuzo za Oscars kwa Smith kumpiga kibao Mchekeshaji Chris Rock kwenye stage.

Kampuni ya Sony nayo imeripotiwa kusitisha utayarishaji wa muendelezo wa movie ya 'Bad Boys 4' ya Will Smith ambayo ilikua kwenye mipango ya hivi karibuni na tayari Smith alikua amekabidhiwa script ya kurasa zaidi ya 40 saa chache kabla ya Tuzo za Oscar.
 
Mitandao mbalimbali ya Marekani imeripoti kwamba Netflix imesitisha kuonesha filamu mpya ya Will Smith (53) iitwayo ‘Fast and Loose’ kutokana na tukio lililotokea kwenye tuzo za Oscars kwa Smith kumpiga kibao Mchekeshaji Chris Rock kwenye stage.

Kampuni ya Sony nayo imeripotiwa kusitisha utayarishaji wa muendelezo wa movie ya 'Bad Boys 4' ya Will Smith ambayo ilikua kwenye mipango ya hivi karibuni na tayari Smith alikua amekabidhiwa script ya kurasa zaidi ya 40 saa chache kabla ya Tuzo za Oscar.
One mistake a thousand goals
 
Tatizo this was So Un-Will Smith.... (That was out of his Character)

Anyway aongee na mshikaji Chris Rock na waseme kwamba ilikuwa scripted yaani walipanga tu ni utani

He himself is a Comedian he should have taken the Rough with the Smooth...
 
Awakomeshe mabeberu kwa kuingilia mambo ya kifamilia kwa kwenda kuectia hiyo mivi yake India hukooooo Bollywood U Naija Norywood
 
kuna kitu ukute ndan yake
Hakuna kitu zaidi ya ujinga na kutokuwa na second thought...wakishapata pesa wanajufanyaga wana busara kumbe hayajawakuta...wamfungie every where awe normal citizen ajufunze
 
Hakuna kitu zaidi ya ujinga na kutokuwa na second thought...wakishapata pesa wanajufanyaga wana busara kumbe hayajawakuta...wamfungie every where awe normal citizen ajufunze
Hizi comments mzitoage na kwenye mada za kupiga wake zenu.
 
Awakomeshe mabeberu kwa kuingilia mambo ya kifamilia kwa kwenda kuectia hiyo mivi yake India hukooooo Bollywood U Naija Norywood
Nollywood mnaipamba nyie ila hata budget zao za kawaida. Hivi unajua movie za usd 10 mpaka hata 30 million kwa hollywood zinaitwa low budget movie?
Sidhani kama hata hao Nollywood wana movie ambayo budget yake inafika hiyo usd 10 million
 
Dah!..imekuwa ishu kubwa hivi.... wazungu bhana....
 
Kisa kibao...watetezi walisema family first
Atakutana na majambazi wastaarabu wa kwenye movie wanaovua viatu wakienda kuiba kabla kuingia ndani, wafungua mageti wote mitambo na majini yanayoangalia kulia na kushoto kabla kuvuka barabara. Bila kusahau part 1 ya movie inaonyesha muhusika akipanda gari na kuendesha mpaka movie inaisha huku kina dada wakiwa na wigi hilo hilo moja hata movie ikiandikwa miaka 20 baadae........
 
Back
Top Bottom