Akitoka location anakaribishwa kwenye Cook with Wema Sepetu.Tollywood si bado ipo???
Aje Tz apige kazi na kina Jb.
Inaweza ikawa low budget lakini idea na characters wakaua mbaya na movie ikavutia mnoNollywood mnaipamba nyie ila hata budget zao za kawaida. Hivi unajua movie za usd 10 mpaka hata 30 million kwa hollywood zinaitwa low budget movie?
Sidhani kama hata hao Nollywood wana movie ambayo budget yake inafika hiyo usd 10 million
Willy Smith unajua analipwa pesa ndefu sana kuigiza, ndefu sana Nollywood hawawezi kuafford. Na filamu za Nollywood bado bado kutoboa soko la huko mbele muda mwingine hata uwa sioni tofauti ya filamu zao na za mwetu labda lugha na majumba makubwa.Inaweza ikawa low budget lakini idea na characters wakaua mbaya na movie ikavutia mno
Kuna Wazungu walikwenda kuwekeza Nollywood, walikwenda na scripts zao scene za nje. Filam zilidoda. Wenyewe w aliwaambia sisi tunajua, scene zetu nyingi tunafanyia ndani ya nyumba.Awakomeshe mabeberu kwa kuingilia mambo ya kifamilia kwa kwenda kuectia hiyo mivi yake India hukooooo Bollywood U Naija Norywood
Amelikoroga, hana budi kulinywaWatamsakama mpaka akome
Kweli aisee,mi huwa wananboa sana hata kwenye mitamthilia yaoKuna Wazungu walikwenda kuwekeza Nollywood, walikwenda na scripts zao scene za nje. Filam zilidoda. Wenyewe w aliwaambia sisi tunajua, scene zetu nyingi tunafanyia ndani ya nyumba.
Ukiangalia movie za Nollywood nyingi zinachezwa ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akitoka location anakaribishwa kwenye Cook with Wema Sepetu.
Ingekuwa Kamzaba kibao mzungu, shuhuri yake ingekuwa nzito!! Saa hizi lazima angekuwa lupango!Dah!..imekuwa ishu kubwa hivi.... wazungu bhana....
Tollywood si bado ipo???
Aje Tz apige kazi na kina Jb.