Network mtandao wa Tigo unasumbua maeneo ya Kimara a hakuna kitu mnafanya

Network mtandao wa Tigo unasumbua maeneo ya Kimara a hakuna kitu mnafanya

stineriga

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2012
Posts
2,172
Reaction score
887
Yaani nikiwapigia watu simu inakata

Napigiwa na watu simu inakata

Nilijiunga na bando ka Home internet gb 40 nimeshindwa kabisa kufanya chochote

Yaani ningekuwa naweza ningewashitaki huu mtandao😡
 
Back
Top Bottom