Samedi Amba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2018
- 227
- 178
Habari wanajamvi,
Kwa sisi wa maisha ya kawaida, fursa hupatikana pale mtu anapohama au kuuza vitu kwa bei ndogo kwa ajili ya kutaka kununua kingine.
Especially wakipatikana wale wageni ambao kwa namna moja au nyingine wanauza vitu vyao kabla tu ya kuhamia nchi nyingine.
Kuna baadhi ya mitandao nimepata lakini haziko updated.
Endapo unafahamu mitandao kama hii, tujuzane!
Kwa sisi wa maisha ya kawaida, fursa hupatikana pale mtu anapohama au kuuza vitu kwa bei ndogo kwa ajili ya kutaka kununua kingine.
Especially wakipatikana wale wageni ambao kwa namna moja au nyingine wanauza vitu vyao kabla tu ya kuhamia nchi nyingine.
Kuna baadhi ya mitandao nimepata lakini haziko updated.
Endapo unafahamu mitandao kama hii, tujuzane!