Network ya tigo iko down

Network ya tigo iko down

Yani sasa hivi demu wangu ananitafuta alafu eti sijui nini imekuaje?eti tiGO sijui eti not reachable.Kesho nahamia airtel sasa.
 
Actually leo tigo wameniboa cos mpaka na tg pesa imezingua maana
nlikua na miad na mtasha mpya na mid akinipigia cm 2 ndo ishu mpango, sasa watatulipa nn unadhan hawa​
 
Dah.. Mwenyewe leo imenikosesha pesa hii... Ila kuna baadhi ya namba ziko fresh tu
 
karìbu siku nzima leo mtandao wa tigo ulikuwa haupatikani, watu wameibiwa pesa zao nami nikiwa mmojawapo,biashara leo zimedoda kwa wenzetu karibu kila mahali ambapo kulikuwa na wateja wa tigö kulijaa malalamiko ya hapa na pale. Cha ajabu ni kwamba hawakutoa taarifa yeyote kuhusu dharura ya leo. Ukitaka kujua nini wateja wanachosema kuhusu tigo ingia kwenye page yao ya facebook.
 
Usinunue kifurush cha tgo kitaisha huja tumia cust6er care wenyewe hawapatikani kifupi NI HOVYO KABISA YAMEKUWA MATAMBAZI HAYA MAJAMAA.
 
halafu inanekana ni sehemu nyingi tu hali hiyo imetokea kwa hata mm hadi navyopost ujumbe huu mtandao haujarudi,nipo moro natumia airtel
 
Kwa heshima na taadhima natangaza kukupenda daima kwa kuniepushia simu za usumbufu jana/leo hasa kwa wanao nidai. No network ndio kauli mbiu yetu, karibuni wageni.
 
wameniudhi sana leo hawa majamaa,,,,mmxxxiiuuu,,,,,kweli nyie ni TIGO
 
Kwa heshima na taadhima natangaza kukupenda daima kwa kuniepushia simu za usumbufu hasa kwa wanao nidai. No network ndio kauli mbiu yetu, karibuni wageni

Tigo hii ya kileo au ile ya Express Your Self?
 
anatangaza tigo naona kapewa rights za matangazo
 
Tigo hii ya kileo au ile ya Express Your Self?

Nashukuru madame B kwa kuwa wa kwanza ktk wageni wangu. Nadhani nawe umevutiwa na huduma ya jana ambayo bado inaendelea.. Kitu haina reflesh, wala reload mwendo mdundo full majoka. I love u tigo
 
Mh.................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!????????????????????????? TiGO........................!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!?????????????????????
 
Mi mzima paka, sasa sijui wewe ni paka dume ama jike.. anyway, endelea kufurahia huduma zetu. Tupo katika majaribio ya kutumia mfumo wa simu ya kamanda mwema


Mh..!! Leo ni siku yangu ya kushangaa,hivi pamoja na mahangaiko yangu yote ya kutongoza pamoja na kufumaniwa na ruttashobolwa katika harakati hizo hujabahatika bado tuu kuijua jinsia yangu..??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom