NETWORKING: Msaada Wireless router inamaliza bundle haraka

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
10,576
Reaction score
16,644
Kwa wale wataalamu wa masuala ya computer networking. Swala langu liko hivi, natumia wireless router inayotumia line ya simu kuunganisha na simu yangu kwa ajili ya kupata mtandao lakini kitu kinachonisikitisha bundle linaisha haraka kuliko nikitumia njia ya kawaida ya kuweka line kwenye simu.

Inaonekana data zinaenda hata kama haubrowse kitu. Imagine kuna siku nimenunua bundle ya data ya 1.2GB nimeshinda tu Jamii Forums kuangalia post mara bundle limeisha. Swali langu ni je kuna setting pengine nikifanya ninaweza kudhibiti hiki kitu?
 
Hiyo router umenitumia kwa muda gani? Na hilo tatizo la bundle kuisha haraka umeligundua lini?
 
Hiyo router umenitumia kwa muda gani? Na hilo tatizo la bundle kuisha haraka umeligundua lini?
Ni muda mrefu ila nilikuwa naitumia kwenye PC nimeanza kuitumia tu juzi na simu
 
Ukitumia wifi Simu automatic inajua ni unlimited inaji update, kama Kuna apps playstore zipo outdated miaka kadhaa zote zitaji update.

Sema ikimaliza ku update itakuwa kawaida tu.
Update si mpaka useti zinaweza tu kuanza kujiupdate bila kuziruhusu
 
Update si mpaka useti zinaweza tu kuanza kujiupdate bila kuziruhusu
Ndio ukiconect na wifi ni Automatic ila ukiwa na mobile data ndio mpaka uruhusu.

India playstore click picha yako kwa juu nenda my apps utaona kama kuna pendings update ama activity yoyote.

Sema unaweza Zima update mazima hata na wifi is update.
 
Hopo kama unaweza kuaccess data usage ya iyo router unaweza jua ni app gan au system inayotumia bando kubwa
 
Ndio ukiconect na wifi ni Automatic ila ukiwa na mobile data ndio mpaka uruhusu.

India playstore click picha yako kwa juu nenda my apps utaona kama kuna pendings update ama activity yoyote.

Sema unaweza Zima update mazima hata na wifi is update.
Mfano hapa hiki kipengele nimekizima ina maana unataka kuniambia update inaweza kufanyika kwenye wireless hata kama hiki kipengele nimekizima.hiki kipengele ni cha ku-update android na si Apps
 
Ndio ukiconect na wifi ni Automatic ila ukiwa na mobile data ndio mpaka uruhusu.

India playstore click picha yako kwa juu nenda my apps utaona kama kuna pendings update ama activity yoyote.

Sema unaweza Zima update mazima hata na wifi is update.
Hiyo ya kuzima unafanyaje
 
Ndio ukiconect na wifi ni Automatic ila ukiwa na mobile data ndio mpaka uruhusu.

India playstore click picha yako kwa juu nenda my apps utaona kama kuna pendings update ama activity yoyote.

Sema unaweza Zima update mazima hata na wifi is update.
Hiyo ya kuzima unafanyaje
 
Mfano hapa hiki kipengele nimekizima ina maana unataka kuniambia update inaweza kufanyika kwenye wireless hata kama hiki kipengele nimekizima.hiki kipengele ni cha ku-update android na si Apps
View attachment 1863809
Hii sasa ni update ya simu.

Then kuna updates za playstore

Ingia playstore Kisha click picha yako juu kulia Kisha setting Kisha network utaona preference zake hapo.
 
Zima system/os update kwenye simu yako,
Zima auto update kwenye playstore kule kwenye update over WiFi,

Napia chek data usage settings kwa kila app utakayo tumia maana app nyingi mfano WhatsApp/insta /YouTube ukiconnect WiFi huwa zina tumia Data zaidi so kwa kila app nenda kwenye kipengele cha Data usage/setting kuondoa auto downloads au slect data saver/ mfano YouTube inaweza kustart video katika 1080p hii itakula bado sana tofauti na ukishusha quality chini kama 480p hapo utasave data etc.
 
Tatizo hili linatokana na baadhi ya apps ku update on wifi only na mara nyingi huwa defaults setup ni hiyo kwa apps nyingi, yaana updates zinafanyika kukiwa na wifi tu na mara nying hata system update pia hutegemea wifi connection lakini zikisha upadate zote mambo yatakaa sawa
 
in many cases tatizo sio router ila simu yako imefanyiwa setup kufanya update kupitia WiFI auto tofauti na kupitia simu direct inafanya update kwa kuinitiate manually
 
Download na uinstall data tracker app kama hii hapa, mfano mimi ninayo kwenye simu na PC kwa ajili ya kutrack matumizi ya data per app, per time...

Kuna wakati data ilikuwa inakimbia sana kwenye simu, like kuna siku simu yenyewe ilikomba karibia 2.5GB kwa muda wa masaa 2 hivi...

Nilipokuja kuweka hii kitu ikanionesha ni whatsapp sijui ilikuwa inafanya 'upumbavu' gani, ni kama ilikuwa ina upload kitu kwenye server kiasi cha kufikia 1.8GB...

Before and after, kabla ya Jul 2 hivi ndio nilikuwa napigwa na whatsapp hatari, lakini nilipogundua janja yake, nimeilimit whatsapp isifanye downloading au uploading yoyote bila mimi kuipa ruksa



 
wandugu ningeshauri muhamie zuku fiber kwa ajili ya internet ya uhakika..(unlimited,vifaa na ufundi bure,no data cap,shared,high speed ) mcheki huyu 0785657273 anaitwa B....only kwa dar es salaam
 
Hahaha whatsup is wasteful and stupid
 
Hiki kipengele cha data usage settings kinapatikana wapi
 
Nimefanya kila namna kama wadau walivyoshauri lakini naona usenge uleule tu.hapa 300Mb imeisha ndani ya dk 20 tu kwa kuperuzi JF tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…