Jana wakati naenda home nikapita ile barabara ya JJ nikakutana na yule eliza wa pale akawa analalamika kuwa tumehamishia kikao sehemu nyingine nini mbona watu hatuonekani nikasema mamaaa weeee
Hivi hii siku ilihusisha kuandama kwa mwezi au watani wetu wameamua kutushtukiza?
Hivi hii siku ilihusisha kuandama kwa mwezi au watani wetu wameamua kutushtukiza?
Sintoshangaa akiwa nayo Mama Big
hahahaha! Mama KUBWA akikamata pasiwedi ya babu, mimba inaweza tokea kwenye PM.
Babu sasa hivi nakuangalia kwa jicho la pili
:doh::doh::doh::doh::doh:....poor me....i thought a smile is never visible....my apology...
una visa wewe.... may God forgive u one day when u realize that u cudnt put ur thoughts right...
una visa wewe.... may God forgive u one day when u realize that u cudnt put ur thoughts right...
sory kamanda, actually when you never know, ibada is the best and the constant companion... BACK TO THE TOPICYaani na we Acid umeingia kundini?...............naichemsha jikoni dawa yenu
Waone vile
Halafuuuu......hii thread ilikuwa juu ya never knew how comes mmiigeuza nyumba ya ibada??:A S angry::A S angry::A S angry:
Kamanda nimecheki Location yako hapo nimeona Tanganyika Masagati....nimekumbuka mbaali sana....kweli Tz kubwa!!sory kamanda, actually when you never know, ibada is the best and the constant companion... BACK TO THE TOPIC
How do you feel today? did you see those stars?
... as you lay down counting you blessings?
was the shepherd there for you when you closed you eyes?
what a nice dram you had... can you share?
Never knew.... surely never knew
That I know....i just know....u forgiven a st.?.....unajua kesho sikukuu, sitaki nile nyama ya ngamia nikiwa na dhambi..
sory kamanda, actually when you never know, ibada is the best and the constant companion... BACK TO THE TOPIC
How do you feel today? did you see those stars?
... as you lay down counting you blessings?
was the shepherd there for you when you closed you eyes?
what a nice dram you had... can you share?
Never knew.... surely never knew
Rule # 3 haihusiki hapo?
oh u are well forgiven... its the least i could do to a saint as dear as u are... dah babu hapa hasomi miwani ameacha dom...eti eeh?
hahahaaaa. mkuu usiombe... sasa kasheshe utumwe kwenda kitulo kupitia hiyo njia, lazima ukae kwanza na kuanza kusaliKamanda nimecheki Location yako hapo nimeona Tanganyika Masagati....nimekumbuka mbaali sana....kweli Tz kubwa!!
Would I be ungrateful, if I curse today
would I be a fool, to wish that I could die
Would I be more wishful, to wish I be with you where you are today?
Never knew, surely never knew, I would be such a fool
Mi hua napaita kule ni "forgotten Land" kuna lile Daraja moja Mwinyi alikuja lifungua kweny 94 ivi....c unajua tena wakajenga Choo karibkaribu ili kiranja kama atahitaji atumie...choo kizuri hicho....juzi juzi hapa nimepita nikakuta kile choo kimekua ofisi ya kijiji acha tu hiyo ndo Tanganyika Masagati.hahahaaaa. mkuu usiombe... sasa kasheshe utumwe kwenda kitulo kupitia hiyo njia, lazima ukae kwanza na kuanza kusali
hahahaaaaaaaaaaaaaa..... hahaaaa... ofisi ya kijiji ******Mi hua napaita kule ni "forgotten Land" kuna lile Daraja moja Mwinyi alikuja lifungua kweny 94 ivi....c unajua tena wakajenga Choo karibkaribu ili kiranja kama atahitaji atumie...choo kizuri hicho....juzi juzi hapa nimepita nikakuta kile choo kimekua ofisi ya kijiji acha tu hiyo ndo Tanganyika Masagati.
hahahaaaaaaaaaaaaaa..... hahaaaa... ofisi ya kijiji ******
I miss those days wakati tunaenda field aisee!!! tulikua tunanunua kuku vijijini na kupika kwa mama ntilie, kwweli you have made my day
Ngoja nitafute sababu ya kupita tena huko sijui kumekuaje aisee... hivi wale wamishenari bado wanasaidia sana (mobile clinics) au nao wamechoka?