Jana wakati naenda home nikapita ile barabara ya JJ nikakutana na yule eliza wa pale akawa analalamika kuwa tumehamishia kikao sehemu nyingine nini mbona watu hatuonekani nikasema mamaaa weeee
Tatizo wewe hundokagi....:thinking::thinking::thinking:
Hivi hii siku ilihusisha kuandama kwa mwezi au watani wetu wameamua kutushtukiza?
Huna koneksheni kwa hawa washikaji ili waipeleke hii kitu ijumaa???