Never Say Never

Mbona sheli ni sehemu salama!!! Sasa wewe wasi wasi wako ulikuwa nn labda angepaki porini kidogo ndo ungeshtuka. Tena huyo alikuwa na roho nzuri inabidi ushukuru, maana wengine huwa wanayapaki porini na kunakuwa hakuna msaada
Alikuja kulala na Mimi kitandani akaanza kujifanya km vile kakosea mkono shenzi yule niliwazaaa nkasema huyu ngoja nkawa nimeuchunaa kimyaa hee naona akazidi nkatumia hekma naomba nkakojoe akaniruhusu kosa kubwa alifanyaa nkaenda kwa walinzi wa shell nkawaambia ndani joto wakaniruhusu nilale pale kwao saa alinunaaa mbwa yule nilivyorudi alfajir baada ya kushtuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo haujaliwa na story imeishia hapo sasa mm ninayepanda lori leo usiku unanishauri vipiii [emoji134][emoji134]
 
Very interesting!!! uliuchunia ule mkono kwa mda wa dakika ngapi mkuu???ila wewe mtu pouwa sana umenifurahisha apo tu ulivyosema ulimchunia kidogo""
 
Mpk nashuka kachukia alikua na utingo wake akichelewa may be kushuka mzani anamkaripia nkasema mwehu huyu anamaliza hasira zake usafiri wa Lori mi hapana kwa kweli sina hamu tena!waweza hata kufa angesimamisha porini ningeliwa siku ile hakika tena
Hakika naamini alinuna safari nzima!!! Lori si salama kwa watoto wa kike maana ukishapanda tu jamaa anahesabia nishapata chakula ya baadae. Siku ingine usithubutu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…