Neville na Carragher wasema Ronaldo amejimaliza Kisoka kwenda Saudi Arabia

Neville na Carragher wasema Ronaldo amejimaliza Kisoka kwenda Saudi Arabia

Kinachowauma malegend wengi ni kwamba wamepigwa pesa mbali na watu 2
Walitegemea Cr akaombe kazi ya uchambuzi
 
66062225-11587053-image-a-87_1672444367739.jpg
Kauli za Wakongwe hao wa Soka zinakuja muda mfupi baada ya #CristianoRonaldo kujiunga na Klabu ya #AlNassr kwa mkataba wa miaka miwili na nusu wenye thamani ya Tsh. Bilioni 493.7 kwa mwaka, sawa na Tsh. Bilioni 41.1 kwa mwezi.

#GaryNeville ambaye amewahi kuchezea #ManUnited amesema "Nilihisi alitakiwa kubaki Ulaya, nina huzuni kwa mwisho huu wa Ronaldo kutoka kiwango cha juu pale Old Trafford, ni kama anamalizia soka lake nchini Saudia."

Kwa upande Wake #JamieCarragher aliyewahi kuchezea Liverpool amesema ni mwisho wa kusikitisha na kuongeza kuwa nyota huyo ameumaliza ubora wake kwa mahojiano aliyofanya na #PiersMorgan huku hasimu wake #Messi akishinda #KombelaDunia.

=====================

66064401-0-image-a-46_1672449402239.jpg
Jamie Carragher and Gary Neville have both expressed relative sadness about Cristiano Ronaldo's move to Saudi Arabia club Al-Nassr.

Ronaldo confirmed his move to the Saudi Arabian side on a sensational £175million-a-year contract following his tumultuous exit from Manchester United in November.

Ronaldo, 37, had been a free agent after leaving United in the wake of his damning and controversial interview with Piers Morgan, with fans now flocking to social media to claim he is 'so done' after moving to the Middle East.

And Al-Nassr have now confirmed Ronaldo has put pen to paper, with reports in Saudi Arabia stating he has signed on a two-year deal.

Despite having been a target of Ronaldo's diatribe to Morgan over a month ago, Neville was able to take a step back and said that he was ultimately sad because of the way it ended with United.

'I felt as though he would want to stay in Europe, it tells me that the offers are staggering and the clubs didn't come in for him,' he said.

'There's an element of sadness for me - (the) last of Ronaldo at the top level. That had to come to an end at Old Trafford - it looks like Cristiano is finishing his career in Saudi.'

Neville's sadness was likely tinged with a feeling of nostalgia - given he was more than half-way through his career with United when Ronaldo first pitched up at Old Trafford.

Carragher, who admitted recently on a podcast that he was no fan of the Portuguese - though he did admit he admired his commitment and work ethic - made a quip about Ronaldo finishing his career sat across an interview with Piers Morgan while Lionel Messi lifted the prize they both coveted the most.

It's a sad end for him isn't it,' he said. 'Ronaldo has finished his career with an interview with Piers Morgan and Messi has won the World Cup.'

The Saudi Pro League club announced his arrival in a tweet saying: 'The world's greatest athlete officially signed for Al-Nassr', with Ronaldo also taking up an ambassadorial role.

Part of his role as an ambassador will be to help Saudi Arabia's joint bid with Egypt and Greece to host the 2030 World Cup, it has been claimed.

He joins arch rival Lionel Messi in taking up a promotional position with the gulf nation, which has faced criticism for its human rights record, as well as crackdowns on women's rights activists, LGBTQ+ people and those who speak out against the rule of Crown Prince Mohammed bin Salman.

DAILY MAILY
La msingi pesa we bilion 41 kwa mwezi si mchezo na ndiye atakuwa mwanamichezo mwenye kulipwa pesa ndefu
 
Yaani mtu anaenda kupokea 41B kwa mwezi tena kwenye Soka ambalo halina stress, mnasema anaenda kupotea?

Kwa umri alionao hawezi ku perfom tena soka la Ushindani mkali la Ulaya na akafanya maajabu, wacha akapumzike sasa.
Saudi Arabia ndo pa kuvuna pesa
 
66062225-11587053-image-a-87_1672444367739.jpg
Kauli za Wakongwe hao wa Soka zinakuja muda mfupi baada ya #CristianoRonaldo kujiunga na Klabu ya #AlNassr kwa mkataba wa miaka miwili na nusu wenye thamani ya Tsh. Bilioni 493.7 kwa mwaka, sawa na Tsh. Bilioni 41.1 kwa mwezi.

#GaryNeville ambaye amewahi kuchezea #ManUnited amesema "Nilihisi alitakiwa kubaki Ulaya, nina huzuni kwa mwisho huu wa Ronaldo kutoka kiwango cha juu pale Old Trafford, ni kama anamalizia soka lake nchini Saudia."

Kwa upande Wake #JamieCarragher aliyewahi kuchezea Liverpool amesema ni mwisho wa kusikitisha na kuongeza kuwa nyota huyo ameumaliza ubora wake kwa mahojiano aliyofanya na #PiersMorgan huku hasimu wake #Messi akishinda #KombelaDunia.

=====================

66064401-0-image-a-46_1672449402239.jpg
Jamie Carragher and Gary Neville have both expressed relative sadness about Cristiano Ronaldo's move to Saudi Arabia club Al-Nassr.

Ronaldo confirmed his move to the Saudi Arabian side on a sensational £175million-a-year contract following his tumultuous exit from Manchester United in November.

Ronaldo, 37, had been a free agent after leaving United in the wake of his damning and controversial interview with Piers Morgan, with fans now flocking to social media to claim he is 'so done' after moving to the Middle East.

And Al-Nassr have now confirmed Ronaldo has put pen to paper, with reports in Saudi Arabia stating he has signed on a two-year deal.

Despite having been a target of Ronaldo's diatribe to Morgan over a month ago, Neville was able to take a step back and said that he was ultimately sad because of the way it ended with United.

'I felt as though he would want to stay in Europe, it tells me that the offers are staggering and the clubs didn't come in for him,' he said.

'There's an element of sadness for me - (the) last of Ronaldo at the top level. That had to come to an end at Old Trafford - it looks like Cristiano is finishing his career in Saudi.'

Neville's sadness was likely tinged with a feeling of nostalgia - given he was more than half-way through his career with United when Ronaldo first pitched up at Old Trafford.

Carragher, who admitted recently on a podcast that he was no fan of the Portuguese - though he did admit he admired his commitment and work ethic - made a quip about Ronaldo finishing his career sat across an interview with Piers Morgan while Lionel Messi lifted the prize they both coveted the most.

It's a sad end for him isn't it,' he said. 'Ronaldo has finished his career with an interview with Piers Morgan and Messi has won the World Cup.'

The Saudi Pro League club announced his arrival in a tweet saying: 'The world's greatest athlete officially signed for Al-Nassr', with Ronaldo also taking up an ambassadorial role.

Part of his role as an ambassador will be to help Saudi Arabia's joint bid with Egypt and Greece to host the 2030 World Cup, it has been claimed.

He joins arch rival Lionel Messi in taking up a promotional position with the gulf nation, which has faced criticism for its human rights record, as well as crackdowns on women's rights activists, LGBTQ+ people and those who speak out against the rule of Crown Prince Mohammed bin Salman.

DAILY MAILY
Ronaldo anajiandaa kustaafu hata mimi nilisha mtabiria kustaafia Uarabuni au China akikosa hizo mbili angeenda Marekani kwani huko ndio kutampa hela ya kutosha
Hao wengine wanaongelea kutafuta sifa ambazo anazo tayri; wakati mwenzao anawazia kustaafu na kuekeza kwenye Biashara nyingine hivyo mshiko ndio kila kitu
 
😂😂😂 hio mibaba ni miropokaji mno, hawajawai msema kwa zuri lolote, yaani ukifatilia mahojiano yao juu ya ronaldo waga ni kumponda tu.


Hata angeenda Astonvilla wangemsema tu

Money is what matter , wana wivu hao wababa
 
Wachezaji wote ikianza kufika jioni wana-cash in the last squeeze, hao Neville na Carragher walicheza mpaka wakiwa na miaka mingapi ?

Vunja mifupa wakati meno bado ipo........, ni kwamba angeweza kwenda USA ila Big money zipo huko, Angebakia United anakaa mkeka kwa pesa ndogo si bora aende anakocheza mara zote na pesa nyingi huenda na Sponsorship deals zikaendelea ukizingatia Asia ni soko kubwa....

Hata Pele alikwenda USA kutangaza Soka na ku-cash in..., whats next aanze kuangalia either managerial career au punditry
 
Back
Top Bottom