let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Chuki ya mwarabu na mzungu inakuzwa na wajinga.Wazungu wana chuki sana na waarabu hakuna kingine..ni wivu tu na udini!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuki ya mwarabu na mzungu inakuzwa na wajinga.Wazungu wana chuki sana na waarabu hakuna kingine..ni wivu tu na udini!
La msingi pesa we bilion 41 kwa mwezi si mchezo na ndiye atakuwa mwanamichezo mwenye kulipwa pesa ndefuKauli za Wakongwe hao wa Soka zinakuja muda mfupi baada ya #CristianoRonaldo kujiunga na Klabu ya #AlNassr kwa mkataba wa miaka miwili na nusu wenye thamani ya Tsh. Bilioni 493.7 kwa mwaka, sawa na Tsh. Bilioni 41.1 kwa mwezi.![]()
#GaryNeville ambaye amewahi kuchezea #ManUnited amesema "Nilihisi alitakiwa kubaki Ulaya, nina huzuni kwa mwisho huu wa Ronaldo kutoka kiwango cha juu pale Old Trafford, ni kama anamalizia soka lake nchini Saudia."
Kwa upande Wake #JamieCarragher aliyewahi kuchezea Liverpool amesema ni mwisho wa kusikitisha na kuongeza kuwa nyota huyo ameumaliza ubora wake kwa mahojiano aliyofanya na #PiersMorgan huku hasimu wake #Messi akishinda #KombelaDunia.
=====================
Jamie Carragher and Gary Neville have both expressed relative sadness about Cristiano Ronaldo's move to Saudi Arabia club Al-Nassr.![]()
Ronaldo confirmed his move to the Saudi Arabian side on a sensational £175million-a-year contract following his tumultuous exit from Manchester United in November.
Ronaldo, 37, had been a free agent after leaving United in the wake of his damning and controversial interview with Piers Morgan, with fans now flocking to social media to claim he is 'so done' after moving to the Middle East.
And Al-Nassr have now confirmed Ronaldo has put pen to paper, with reports in Saudi Arabia stating he has signed on a two-year deal.
Despite having been a target of Ronaldo's diatribe to Morgan over a month ago, Neville was able to take a step back and said that he was ultimately sad because of the way it ended with United.
'I felt as though he would want to stay in Europe, it tells me that the offers are staggering and the clubs didn't come in for him,' he said.
'There's an element of sadness for me - (the) last of Ronaldo at the top level. That had to come to an end at Old Trafford - it looks like Cristiano is finishing his career in Saudi.'
Neville's sadness was likely tinged with a feeling of nostalgia - given he was more than half-way through his career with United when Ronaldo first pitched up at Old Trafford.
Carragher, who admitted recently on a podcast that he was no fan of the Portuguese - though he did admit he admired his commitment and work ethic - made a quip about Ronaldo finishing his career sat across an interview with Piers Morgan while Lionel Messi lifted the prize they both coveted the most.
It's a sad end for him isn't it,' he said. 'Ronaldo has finished his career with an interview with Piers Morgan and Messi has won the World Cup.'
The Saudi Pro League club announced his arrival in a tweet saying: 'The world's greatest athlete officially signed for Al-Nassr', with Ronaldo also taking up an ambassadorial role.
Part of his role as an ambassador will be to help Saudi Arabia's joint bid with Egypt and Greece to host the 2030 World Cup, it has been claimed.
He joins arch rival Lionel Messi in taking up a promotional position with the gulf nation, which has faced criticism for its human rights record, as well as crackdowns on women's rights activists, LGBTQ+ people and those who speak out against the rule of Crown Prince Mohammed bin Salman.
DAILY MAILY
Saudi Arabia ndo pa kuvuna pesaYaani mtu anaenda kupokea 41B kwa mwezi tena kwenye Soka ambalo halina stress, mnasema anaenda kupotea?
Kwa umri alionao hawezi ku perfom tena soka la Ushindani mkali la Ulaya na akafanya maajabu, wacha akapumzike sasa.
Hizo bongo angekatwa Kodi mpaka ashangaeLa msingi pesa we bilion 41 kwa mwezi si mchezo na ndiye atakuwa mwanamichezo mwenye kulipwa pesa ndefu
Mkuu nchi za ulaya zina kodi kubwa balaa, spain wanakata 24%Hizo bongo angekatwa Kodi mpaka ashangae
Ronaldo anajiandaa kustaafu hata mimi nilisha mtabiria kustaafia Uarabuni au China akikosa hizo mbili angeenda Marekani kwani huko ndio kutampa hela ya kutoshaKauli za Wakongwe hao wa Soka zinakuja muda mfupi baada ya #CristianoRonaldo kujiunga na Klabu ya #AlNassr kwa mkataba wa miaka miwili na nusu wenye thamani ya Tsh. Bilioni 493.7 kwa mwaka, sawa na Tsh. Bilioni 41.1 kwa mwezi.![]()
#GaryNeville ambaye amewahi kuchezea #ManUnited amesema "Nilihisi alitakiwa kubaki Ulaya, nina huzuni kwa mwisho huu wa Ronaldo kutoka kiwango cha juu pale Old Trafford, ni kama anamalizia soka lake nchini Saudia."
Kwa upande Wake #JamieCarragher aliyewahi kuchezea Liverpool amesema ni mwisho wa kusikitisha na kuongeza kuwa nyota huyo ameumaliza ubora wake kwa mahojiano aliyofanya na #PiersMorgan huku hasimu wake #Messi akishinda #KombelaDunia.
=====================
Jamie Carragher and Gary Neville have both expressed relative sadness about Cristiano Ronaldo's move to Saudi Arabia club Al-Nassr.![]()
Ronaldo confirmed his move to the Saudi Arabian side on a sensational £175million-a-year contract following his tumultuous exit from Manchester United in November.
Ronaldo, 37, had been a free agent after leaving United in the wake of his damning and controversial interview with Piers Morgan, with fans now flocking to social media to claim he is 'so done' after moving to the Middle East.
And Al-Nassr have now confirmed Ronaldo has put pen to paper, with reports in Saudi Arabia stating he has signed on a two-year deal.
Despite having been a target of Ronaldo's diatribe to Morgan over a month ago, Neville was able to take a step back and said that he was ultimately sad because of the way it ended with United.
'I felt as though he would want to stay in Europe, it tells me that the offers are staggering and the clubs didn't come in for him,' he said.
'There's an element of sadness for me - (the) last of Ronaldo at the top level. That had to come to an end at Old Trafford - it looks like Cristiano is finishing his career in Saudi.'
Neville's sadness was likely tinged with a feeling of nostalgia - given he was more than half-way through his career with United when Ronaldo first pitched up at Old Trafford.
Carragher, who admitted recently on a podcast that he was no fan of the Portuguese - though he did admit he admired his commitment and work ethic - made a quip about Ronaldo finishing his career sat across an interview with Piers Morgan while Lionel Messi lifted the prize they both coveted the most.
It's a sad end for him isn't it,' he said. 'Ronaldo has finished his career with an interview with Piers Morgan and Messi has won the World Cup.'
The Saudi Pro League club announced his arrival in a tweet saying: 'The world's greatest athlete officially signed for Al-Nassr', with Ronaldo also taking up an ambassadorial role.
Part of his role as an ambassador will be to help Saudi Arabia's joint bid with Egypt and Greece to host the 2030 World Cup, it has been claimed.
He joins arch rival Lionel Messi in taking up a promotional position with the gulf nation, which has faced criticism for its human rights record, as well as crackdowns on women's rights activists, LGBTQ+ people and those who speak out against the rule of Crown Prince Mohammed bin Salman.
DAILY MAILY
Lakini manufaa wananchi wanayaona. Huko bara Kodi kubwa 18% halafu anafaidi kibajajMkuu nchi za ulaya zina kodi kubwa balaa, spain wanakata 24%
Kabisa mguu sisi tunapgwa 18% halafu tunapigwa tozo halafu maendeleo 0 na yaliyopo ni ya mikopoLakini manufaa wananchi wanayaona. Huko bara Kodi kubwa 18% halafu anafaidi kibajaj
hahahahahaKiume Pesa kudinda Ugonjwa[emoji38][emoji38]
Bora angekuja Zanzibar Kikwajuni FCTumewaachia maligi yenu haya tuone sasa😃😃
mumpe maurojo, 😃😃Bora angekuja Zanzibar Kikwajuni FC
Na Uzanzibari ukaazimumpe maurojo, 😃😃