<br />Kwa wanafunz wanaotumia muhtasari mpya wa 2009,mim nawashauri muwe mnaingia intaneti hakuna kinachokosekana,kama upo mjini au mahali unapo access intanet baaas nenda kaangalie kuna mambo meeeng,,,,,,hasa kwa paper 2,mim ni mwalimu wa HISTORY 1&2,huwa naandaa notes kwa msaada mkubwa wa notes za mtandanon,ni member wa many Online LIBRARIES,,,,,kuna resources nyingi sana na useful,kuna pictures ambazo zinaadd credibility,,,,,,, UTUMIEN UTANDAWAZ,jaribu kumuomba syllabus mwalim wako utoe copy,,,,,ile format ina xamination content tu
<br />Mimi natafuta silabasi mpya ya lugha, English/Swahili. Kuna mada mpya za Translation and Interpretation simewekwa. Naomba kama yupo aliye na kopi anijulishe na namna ya kuipata nitashukuru sana.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Ahsante nitafanya ivyo tena kwa haraka.
mimi natarajia kujiunga na FORM 5 mwezi ujao wpi naweza kupata syllabus ya PHYSIS CHEMISTRY NA BIOLOGY naomba msaada wenusyllabus inatusumbua zaidi sisi form 5 kwa sababu walimu inaonekana kuwashinda na ukiomba msaada kwa form 6 wanakufundisha vitu ambavyo havipo kwenye syllabus...
mimi natarajia kujiunga na FORM 5 mwezi ujao wpi naweza kupata syllabus ya PHYSIS CHEMISTRY NA BIOLOGY naomba msaada wenu
Kweli mdogo wangu nyie hapo ndio mbuzi wa kafara mnaotangulizwa na hao form five wenu ili wawaone mtakavyoweweseka wakati wa kuchinjwa, wao wajifunze kukikabili kisu kistaarabu.Me naona nyie form 5 afadhari coz advantage yenu ni kwamba mtafaidi kuona sura ya mtihani tutakaofanya sisi ila sisi ndo shuguri ipo coz hata sura ya paper itakavyokua hatujui.