New ACSEE Syllabus

New ACSEE Syllabus

Kwa wanafunz wanaotumia muhtasari mpya wa 2009,mim nawashauri muwe mnaingia intaneti hakuna kinachokosekana,kama upo mjini au mahali unapo access intanet baaas nenda kaangalie kuna mambo meeeng,,,,,,hasa kwa paper 2,mim ni mwalimu wa HISTORY 1&2,huwa naandaa notes kwa msaada mkubwa wa notes za mtandanon,ni member wa many Online LIBRARIES,,,,,kuna resources nyingi sana na useful,kuna pictures ambazo zinaadd credibility,,,,,,, UTUMIEN UTANDAWAZ,jaribu kumuomba syllabus mwalim wako utoe copy,,,,,ile format ina xamination content tu
<br />
<br />
Ahsante nitafanya ivyo tena kwa haraka.
 
Mimi natafuta silabasi mpya ya lugha, English/Swahili. Kuna mada mpya za Translation and Interpretation simewekwa. Naomba kama yupo aliye na kopi anijulishe na namna ya kuipata nitashukuru sana.
 
Mimi natafuta silabasi mpya ya lugha, English/Swahili. Kuna mada mpya za Translation and Interpretation simewekwa. Naomba kama yupo aliye na kopi anijulishe na namna ya kuipata nitashukuru sana.
<br />
<br />
upo dar???pm me
 
syllabus inatusumbua zaidi sisi form 5 kwa sababu walimu inaonekana kuwashinda na ukiomba msaada kwa form 6 wanakufundisha vitu ambavyo havipo kwenye syllabus...
mimi natarajia kujiunga na FORM 5 mwezi ujao wpi naweza kupata syllabus ya PHYSIS CHEMISTRY NA BIOLOGY naomba msaada wenu
 
Someni HGL au HKL ili mje ela kiulaini wagogo zangu, acheni hayo mapcb yenu kwani 1 day mtajikuta mnaambulia ualimu tena ule wa local bkoz" in science there z so many books but so a little time" take care jaman koz mi nawapenda sana.
 
mimi natarajia kujiunga na FORM 5 mwezi ujao wpi naweza kupata syllabus ya PHYSIS CHEMISTRY NA BIOLOGY naomba msaada wenu

naam kijana ntakusaidia kupata izo syllabus na naweza nkaku2mia kupitia hapahapa jamii forum ila kijana unabidi ukaze uzi ile mbaya kwani nazijua tabu ya izo kombi kwan on my side nlisoma pcm..
 
madogo wala msi-panic, nyie pigeni past pepa afu mwisho wa siku pepa ndo izo zinavuja kila kata.. inji hii bhana!!
 
Hongera kwa kuwa na uelewa wa kutambua mahitaji yako ya kielimu. Nakushauri utafute syllabus za masomo yako yote mf.HGL, then ukiwa nazo ni rahisi kufuatilia mambo yanayofundishwa.Kama uko dar nitext kwa msaada zaid wa maelekezo jinsi ya kuzipata na jinsi ya kuzitumia(competence based syllabus & competence based learning) or text me at ezranaths@gmail.com
 
Hapa kuna kitu... Kuna wale wanafunzi waliotoka shule za seminaries,saints etc. Hawa walizoea mezeshwa huko O level.. Huku advnc wemekuta ndivyo sivyo..
Vijana miaka miwili michache sana jitume kama mtumwa.. NECTA ni kama kioo.. Ukiichekea inacheka na wewe..
 
Me naona nyie form 5 afadhari coz advantage yenu ni kwamba mtafaidi kuona sura ya mtihani tutakaofanya sisi ila sisi ndo shuguri ipo coz hata sura ya paper itakavyokua hatujui.
Kweli mdogo wangu nyie hapo ndio mbuzi wa kafara mnaotangulizwa na hao form five wenu ili wawaone mtakavyoweweseka wakati wa kuchinjwa, wao wajifunze kukikabili kisu kistaarabu.
 
Sylabus! Syllabus! Fikeni shule kwanza mwl atakupa outline ya kozi za kusoma...Wewe mwl gani asiyeiweza syllabus mpya? Basi nendeni tuition mkafe kibudu....Mbona mnadharau sana walimu?.....si hama tu hiyo shule?tupeni heshima walimu.
 
Back
Top Bottom