New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

OUR CONSIDERED PROJECTION is the young turks in this fictitious cabinet are behind this risible cabin lineup hoping to push for their names in a front seat. (Details of our analysis will be shared very soon.)


Baraza la Rais Samia Suluhu

Makamu wa Rais- Philip Mpango

Waziri Mkuu- Kasim Majaliwa

Waziri Mambo za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa- Januari Makamba

Waziri wa ARDHi- William Lukuvi

Waziri wa Tamisemi- Suleiman Jaffo

Waziri wa Sheria - Profesa Kabudi

Waziri wa Fedha - Charles Kimei

Waziri wa Madini- Dotto Bitteko

Waziri wa Nishati- Medadi Kalemani

Waziri wa Maji - Nape Nnauye

Waziri ofisi ya Waziri Mkuu-Jenister Mhagama

Waziri wa Mali Asili. Na Utalii - Damas Ndumbaro.

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa -Makame Mbarawa

Waziri wa Mambo ya Ndani- John Simbachawene.

Waziri wa MIFUGO na Uvuvi- Mashimbo Ndaki

Waziri wa ELIMU - Joyce Ndalichako

Waziri Mawasiliano na Technolojia- Faustie Ndungulile

Waziri wa Habari na Michezo- Inocent Bashungwa.

Waziri wa Afya - Doroth Gwajima

Waziri wa Muungano na Mazingira- Juma Aweso

Waziri wa
Utumishi- George Mkuchika

Waziri wa Viwanda- Umi Mwalimu

Waziri wa Uwekezaji- Humphrey Polepole

Katibu Mkuu KIONGOZI - Mussa Assad
Hii imeshindikana Congo. Ondoa PM wa Magufuli. Ondoa Dotto Biteko, Ondoa Medard Kalemani. Afu leta wapya ktk Profession zao bobezi.
 
Bare plots for sale located at Iyumbu area, Dodoma city. We will sale through public auction on behalf of TIB Development bank ltd.

Lot 1- Plot no. 14-16, Block 'E' total plots 3, square meters 43,270> 10.7 acres,price 350mil

Lot 2- Plot no. 11&12, Block 'E' total plots 2, square meters 29,580> 7.3 acres,price 240mil

Lot 3 -Plot no. 8-12, Block 'F' total plots 5, 65280 square meters > 16.1 acres, price 525mil

TOTAL SUMMARY
Total plots =10, square meters 138,130> 34.13 acres
Price 1.11b, Negotiable
IMG-20210331-WA0005.jpg
 
Huna matatizio ya akili kweli?
Mbona unatoka Nnje ya mada post zako nyingi kwenye nyuzi za Rutashubanyuma ni nonsense.
Wewe ndio una matatizo ya akili, maana hauwezi hata kuelewa hiyo nyimbo.

Hivi shuleni ulienda kusomea ujinga?

Hii ni post yangu ya pili kwenye huu uzi! Posts nyingine ziko wapi?

Tulia dawa ikuingie! Kama umeshindwa lugha ya kiingereza sema wakusaidie.

Ndio maana maisha yamekupita kushoto!
 
Wewe ndio una matatizo ya akili, maana hauwezi hata kuelewa hiyo nyimbo.

Hivi shuleni ulienda kusomea ujinga?

Hii ni post yangu ya pili kwenye huu uzi! Posts nyingine ziko wapi?

Tulia dawa ikuingie! Kama umeshindwa lugha ya kiingereza sema wakusaidie.
Wewe uliandika kingereza?

Wewe umeandika kiluguru ee!!!

Niliandika "Nyuzi" sio uzi kuna ule uzi mwingine pia ulikua unapost nonsense pia.

Nachotaka kukuambia Changia sawa na matakwa ya uzi, usitie vitu ambavyo ni trivial especially here.

Anzisha thread post lyrics ya izo nyimbo.
 
 
Wewe uliandika kingereza?

Wewe umeandika kiluguru ee!!!

Niliandika "Nyuzi" sio uzi kuna ule uzi mwingine pia ulikua unapost nonsense pia.

Nachotaka kukuambia Changia sawa na matakwa ya uzi, usitie vitu ambavyo ni trivial especially here.

Anzisha thread post lyrics ya izo nyimbo.
Thank you. Just fed up with his nonsensical posts but chose to ignore them.

Kama hana la maana aanzishe uzi wake aendelee na hayo magurumashi. Vinginevyo asomee tu
 
Back
Top Bottom