New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

Wewe uliandika kingereza?
Sasa ulitaka nikujibuje kama wewe uliandika kwa kiswahili?
Wewe umeandika kiluguru ee!!!
Utajijua mwenyewe! Kama umepata hasira jibamize ukutani.
Niliandika "Nyuzi" sio uzi kuna ule uzi mwingine pia ulikua unapost nonsense pia.
Uzi gani wewe uliandika? Au wewe ndio Rutashubanyuma ? Tazama hiyo video ndio utaielewa, sio kila kitu lazima utafuniwe!
Nachotaka kukuambia Changia sawa na matakwa ya uzi, usitie vitu ambavyo ni trivial especially here.
Wewe ni mwendawazimu! Kipi ambacho huelewi hapo?
Anzisha thread post lyrics ya izo nyimbo.
Sitaki kuanzisha! Na wewe kama una muda tafuta mistari ya hizo nyimbo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…