New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

Waraka wa wazi kwa serikali ya visiwani.


Ardhi kama una hata hatimiliki lazima uiendeleze ndani ya miaka 3 tangia uipate hiyo hatimiliki.

Huwezi kukaa miaka mingi bila kuendeleza kiwanja chako na baada ya miaka 12 ukazuka tu kutoka kusikojulikana ukadai wewe ndiye mmiliki halali.

Umiliki wako ulikoma baada ya miaka 3 uliyoshindwa kuendeleza kiwanja chako


Wavimizi waliokiendeleza wanayo haki ya kwenda mahakamani na kuomba watambuliwe wao ndiyo wamiliki halali

Hii huitwa "hostile acquisition" lengo lake ni kuhimiza uendelezaji wa viwanja siyo kuvihodhi tu na kuwa mchuuzi ambayo huenda kinyume na hatimiliki
 
Of course, they have a basic argument to be heard so that they are not left out.
There are many forums in Kiswahili. It is ip to them to take advantage of them


Here we focus on England contributors but occasionally kiswahili is laced here and there

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
There are many forums in Kiswahili. It is ip to them to take advantage of them


Here we focus on England contributors but occasionally kiswahili is laced here and there

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
We are together, it would be more appropriate for a topic like this to be posted twice, in Kiswahili and English so that those who do not know the Queen's language are not ignored.
 
You breaking taboos by writing Kiswahili.
 
Kiswahili is not allowed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…