New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

Waraka wa wazi kwa serikali ya visiwani.


Ardhi kama una hata hatimiliki lazima uiendeleze ndani ya miaka 3 tangia uipate hiyo hatimiliki.

Huwezi kukaa miaka mingi bila kuendeleza kiwanja chako na baada ya miaka 12 ukazuka tu kutoka kusikojulikana ukadai wewe ndiye mmiliki halali.

Umiliki wako ulikoma baada ya miaka 3 uliyoshindwa kuendeleza kiwanja chako


Wavimizi waliokiendeleza wanayo haki ya kwenda mahakamani na kuomba watambuliwe wao ndiyo wamiliki halali

Hii huitwa "hostile acquisition" lengo lake ni kuhimiza uendelezaji wa viwanja siyo kuvihodhi tu na kuwa mchuuzi ambayo huenda kinyume na hatimiliki
 
Even I support the agrument note everyone knows the English language.
Hapa ni umombo tu!
PSX_20230604_204745.jpg


Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Of course, they have a basic argument to be heard so that they are not left out.
There are many forums in Kiswahili. It is ip to them to take advantage of them


Here we focus on England contributors but occasionally kiswahili is laced here and there

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
There are many forums in Kiswahili. It is ip to them to take advantage of them


Here we focus on England contributors but occasionally kiswahili is laced here and there

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
We are together, it would be more appropriate for a topic like this to be posted twice, in Kiswahili and English so that those who do not know the Queen's language are not ignored.
 
Waraka wa wazi kwa serikali ya visiwani.


Ardhi kama una hata hatimiliki lazima uiendeleze ndani ya miaka 3 tangia uipate hiyo hatimiliki.

Huwezi kukaa miaka mingi bila kuendeleza kiwanja chako na baada ya miaka 12 ukazuka tu kutoka kusikojulikana ukadai wewe ndiye mmiliki halali.

Umiliki wako ulikoma baada ya miaka 3 uliyoshindwa kuendeleza kiwanja chako


Wavimizi waliokiendeleza wanayo haki ya kwenda mahakamani na kuomba watambuliwe wao ndiyo wamiliki halali

Hii huitwa "hostile acquisition" lengo lake ni kuhimiza uendelezaji wa viwanja siyo kuvihodhi tu na kuwa mchuuzi ambayo huenda kinyume na hatimiliki
You breaking taboos by writing Kiswahili.
 
Tatizo la majibu ya kisiasa yanajenga tabia ya kutoheshimu mikataba ya ajira.


Mchezaji ananunuliwa kwa dau kubwa kwa matarajio atamtumikia mwajiri wake kwa kipindi maalumu


Sasa akitokea mwenye dau kubwa zaidi basi anavunja mkataba kienyeji bila kumfidia mwajiri wake na kama mwajiri wake akidinda basi harakati za kisiasa zinaanzishwa na kudhoofisha silika ya kuheshimu mikataba.

Wanasiasa hutafuta majibu mepesi kwa maswali magumu na kujenga miundombinu mipya ya kudharau mikataba na baada ya muda mrefu vilabu ndiyo waathirika wakuu.

Hatuwezi kuendeleza michezo kwa kukiuka mikataba tena kwa gharama za vilabu.

Kama dogo anataka kwenda Azam hakuna shida bali aidha yeye au mwajiriwa wake mpya mtarajiwa aununue mkataba.

Siyo Yanga ibebeshwe jiwe la mwana mpotovu ambaye kabla ya kusajiliwa alichukua kitita sasa kwanini asikirudishe yaishe kwa salama?View attachment 2647280
Kiswahili is not allowed.
 
Back
Top Bottom