New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

Ushauri kwa wanasheria / wanaharakati


Chagua moja usiwe kila kitu

Kama una kesi mahakamani jikite nayo.


Kama huna endelea na vuguvugu la kuhamasisha jamii kuelewa haki zao usiwe mambo yote.


UJUMBE WA LEO

Mshika mawili moja humponyoka.

Maandamano hayana utatuzi ila huwapa watawala nafasi ya kuwadhibiti.
 


Maswali ya kumuuliza Gerson Msigwa


1) Kwanini serikali ilikopa dola milioni 420 benki ya dunia kama haina imani na Uongozi mzima wa TPA?

2) Matatizo yote aliyoyainisha ya TPA ikiwemo wizi, ubadhirifu, kukwepa kulipa kodi na kukosekana kwa mifumo ya kudhibiti Matatizo tajwa kwanini haiwezekani kuyarekebisha ndani ya TPA?

Viongozi wote wa uchukuzi ikiwemo TPA na TRA na TCRA wamo ndani ya uwezo wenu mnakwama wapi kupanga safu za kutatua hizi kero kila mahali?



3) Mapungufu uliyoyainisha TPA hayako kwenye maeneo mengine ya umma?

Serikali kuu na serikali za mitaa hakuna wizi, ubadhirifu, upotevu wa kodi na uzembe? Kwa hiyo, penye kero majawabu ni kuwatimua raia na kuwaleta askari wa mamluki?


4) Lini mtaanza kuibinafsisha Ikulu, serikali za mitaa, mashirika yote ya umma, JWTZ, Polisi, TISS maana ulaji umeshamiri kila mahali?

Au huko waendelee kuiba kwa maana ndiko uhalali wenu wa kutawala ndiko unakotoka?


5) Huoni na mamlaka makubwa ya Rais aliyonayo ni dhahiri aliyeshindwa kuzisimamia bandari zetu ni yeye na anachofanya sasa ni kuwalaumu tu wasaidizi wake?

Kama kuna uwajibikaji si uanzie kwa Madam President halafu na wewe ufuate na wengineo na mkawapisha wenye uwezo wa kuzisimamia taasisi za umma kazi ambazo mmeshindwa?


6) Tunaomba utuonyeshe kwenye mkataba ni wapi hayo matrilioni yametajwa? Kwanini unapotosha umma na taarifa za uongo ambazo hazimo kwenye mkataba?



7) Hivi mliutumia mchakato upi kubaini DP WORLD tu ndiyo inalipa kuuziwa bandari zetu?

Wapi ushahidi wa uwazi, ushindani, ushirikishwaji na uwajibikaji wakati wa mchakato tajwa ili kukidhi mahitaji ya kisheria za nchi hii ambazo ziko kulinda mali za Watanzania?



8) Ni sheria zipi za Geneva Convention zinazoruhusu kampuni binafsi kuingia mkataba na nchi wa aina ya IGA kama huu wetu?

Au inakuwaje kwenye mkataba wa nchi na nchi kampuni binafsi iwe sehemu ya mkataba?


9) Kuna manufaa yapi kwenye mkataba kuipa kipaumbele kampuni ya umma kugeuka ni ya binafsi kama ilivyotendeka kwenye mkataba huu?

Sisi tutanufaika nini kama kampuni ya umma ya Dubai Ports imegeuzwa kuwa ya binafsi kwenye mkataba huu tu?


10) Je utatuhakikishiaje hasara walizozipata Djibouti na Somaliland hata kuwashurutisha kuvunja mikataba yao na DP WORLD haitajirudia kwetu? Wahanga hawa wote wawili wamelalamikia mizigo haikaguliwi, mitambo inazimwa ili kukwepa kodi, mapato yameshuka chini ya yale waliyokuwa wakiyapata kabla ya mwekezaji huyu kuanza kuwapora na uwekezaji waliowaahidi hawajatekeleza hata kiduchu pamoja na miaka mingi ya mkataba kupita?

Wamebaini umuhimu wa kuwatimua DP WORLD ni swala la usalama wa mataifa yao maana malengo yote ya kuwakabidhi bandari zao hakuna hata moja lina mwelekeo wa kutekelezwa?


11) ......tutaendelea na maswali mengine mengi baada ya kujibiwa
 
THURSDAY, JULY 13TH 2023

FOURTEENTH WEEK IN ORDINARY TIME YEAR A

FIRST READING
“God sent me before you to preserve life”
GENESIS 44: 18 - 21, 23b - 29; 45: 1 - 5

In those days: Judah went up to Joseph and said, “O my lord, let your servant, I beg you, speak a word in my lord’s ears, and let not your anger burn against your servant; for you are like Pharaoh himself. My lord asked his servants, saying, ‘Have you a father, or a brother?’ And we said to my lord, ‘We have a father, an old man, and a young brother, the child of his old age; and his brother is dead, and heal one is left of his mother’s children; and his father loves him.’ Then you said to your servants, ‘Bring him down to me, that I may set my eyes upon him. Unless your youngest brother comes down with you, you shall see my face no more.’ When we went back to your servant my father we told him the words of my lord. And when our father said, ‘Go again, buy us a little food,’ we said, ‘We cannot go down. If our youngest brother goes with us, then we will go down; for we cannot see the man’s face unless our youngest brother is with us.’ Then your servant my father said to us, ‘You know that my wife bore me two sons; one left me, and I said, Surely he has been torn to pieces; and I have never seen him since. If you take this one also from me, and harm befalls him, you will bring down my grey hairs in sorrow to Sheol.”’ Then Joseph could not control himself before all those who stood by him; and he cried, “Make every one go out from me.” So no one stayed with him when Joseph made himself known to his brothers. And he wept aloud, so that the Egyptians heard it, and the household of Pharaoh heard it. And Joseph said to his brothers, “I am Joseph; is my father still alive?” But his brothers could not answer him, for they were dismayed at his presence. So Joseph said to his brothers, “Come near to me, I beg you.” And they came near. And he said, “I am your brother, Joseph, whom you sold into Egypt. And now do not be distressed, or angry with yourselves, because you sold me here; for God sent me before you to preserve life.”

The Word of the Lord.


RESPONSORIAL PSALM
Psalm 105: 16 - 17, 18 - 19, 20 - 21 (R.) 5a

R/. Remember the wonders the Lord has done.
Or:
Alleluia.

But he called down a famine on the land;
he broke their staff of bread.
He had sent a man ahead of them,
Joseph, sold as a slave. R/.

His feet were weighed down in chains,
His neck was bound with iron,
Until what he said came to pass,
and the word of the Lord proved him true. R/.

Then the king sent orders and released him;
The ruler of the peoples set him free.
He made him master of his house
And ruler of all his possessions. R/.


GOSPEL ACCLAMATION
Mark 1: 15

Alleluia.
The kingdom of God is at hand; repent, and believe in the Gospel.
_
Alleluia.


GOSPEL
“You received without pay, give without pay.”
MATTHEW 10: 7 - 15

At that time: Jesus said to his apostles, “Preach as you go, saying, ‘The kingdom of heaven is at hand.’ Heal the sick, raise the dead, cleanse lepers, cast out demons. You received without pay, give without pay. Take no gold, nor silver, nor copper in your belts, no bag for your journey, nor two tunics, nor sandals, nor a staff; for the labourer deserves his food. And whatever town or village you enter, find out who is worthy in it, and stay with him until you depart. As you enter the house, salute it. And if the house is worthy, let your peace come upon it; but if it is not worthy, let your peace return to you. And if any one will not receive you or listen to your words, shake off the dust from your feet as you leave that house or town. Truly, I say to you, it shall be more tolerable on the day of judgement for the land of Sodom and Gomorrah than for that town.”

The Gospel of the Lord.
 
Ujue umelaaniwa ewe mtumishi wa umma ambaye huridhiki na neema kebekebe ambazo Mwenyezi Mungu amekusogezea.


Una laana ya ulafi na hutosheki na chochote labda mauti yako tu ndiyo itakutuliza.

Mishahara unaiita eti ni "small change".


Mafao ya kustaafu hadi ufe unayadharau na kusema hayatoshi.


Hebu jiulize umemfanyia nini hadi amekupendelea?


Hivi haya majivuno hujui unajijengea hoja ya kuteketezwa?


Jifunze unyenyekevu ma kuona hukupewa nafasi kwa vile unastahili zaidi ya wengine bali Mwenyezi Mungu humpa mamlaka yeyote yule.



 
Toshekeni na mishahara yenu. Asema BWANA wa Majeshi





 
Inashangaza sana sasa watetezi wa ukoloni mamboleo wanatutuhumu wanaopinga utumwa huo ya kuwa wana masilahi mazito.


Hivi ni dhambi kuwa na masilahi mazito?


Wao wanapoushabikia utumwa hawana masilahi mazito?


Kila upande una masilahi mazito kwa hiyo acheni uongo ya kuwa mnapigania mapato ya serikali kwani mmiliki wa serikali ni nani?


Mnafikiri na kujihadaa ni ninyi tu ndiyo wamiliki wa serikali?

Kuwa mtumishi serikalini ni dhamana tu na ndiyo maana kuna siku utakuwa haumo huko. Wangapi walikuwa huko na leo hata pumzi hawavuti achilia mbali hawako serikalini?

Hivi ni mtajifunza maana ya cheo ni dhamana na sitatumia cheo changu kwa masilahi binafsi.


Mapato ya serikali ni pamoja na ujira wa raia wake siyo kodi tu.
 
Katika mapungufu makubwa kwenye katiba na pengine muhimu kuliko yote ni kutengua mfumo mzima ambao unajengwa na dhana nzima ya NCHI HII NI YA DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI VYA SIASA

Tulichojifunza katika miaka takribani 30 ya mfumo wa vyama vingi ni kuwa viongozi wa vyama hivyo wanahodhi madaraka makubwa ambayo wamekuwa wakiyatumia vibaya
 
Wanaweza kufukuza uanachama wale wanaowaona ni tishio
na haya ni matumizi mabaya ya madaraka.


Ukiwakosoa kwa wizi ma ubadhirifu wewe huna chama cha siasa.


Ukigombea nafasi zao wewe una utovu wa nidhamu na hiyo ni sababu tosha ya kukutimua uanachama.



Sasa kama huna chama cha siasa huu mfumo wa DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI VYA SIASA una manufaa gani kwako.
 
Hii inamaanisha tunayoiita ni DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI VYA SIASA kumbe ni UTAWALA WA VIONGOZI WA KITAIFA WA VYAMA VYA SIASA!

Hakuna kitu kinaitwa DEMOKRASIA YA VYAMA VINGI VYA SIASA kwa sababu vyama vya siasa haviko hai hata kuhitaji demokrasia bali wananchi ndiyo tuliyo hai na hata kuhitaji hiyo demokrasia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…