New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

Fgo6ORlXwAEIpa6.jpg


Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 



Huyu bado hajatumbuliwa tu?
Uhuru wa kujifaraghua mfukoni kisa tumewawezesha TRCA kuingilia uhuru.

TCRA wameshindwa kuthibiti uhalifu wa kimtandao lakini kufifilisha haki za raia wako juu!

Mbona.mnaposifiwa hamuwachukulii hatua ila mnapokosolewa?

Mna matatizo gani. Ukijikuza utakwezwa.


Uvumilivu ndiyo ucha Mungu.

Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Unafiki wa wapinzani ni huu hapa. Wanadai katiba mpya ya nchi huku kwenye vyama vyao wametengua katiba za vyama vyao walizoachiwa na waasisi wa vyama vyao na kujilimbikizia madaraka kinyume na yaliyomo ya katiba ya nchi. Wameondoa ukomo wa madaraka ili watawale milele kama Kamuzu Banda!


Waanze kuboresha katiba za vyama vyao kwanza ndipo tutawauliza hiyo katiba mpya iko duka lipi tukainunue



5c8d49b5f0d148c188bc7d3c6985b476_313913891_1509847876195948_6658417560130865602_n.jpg
 
The speech of Madam president today has given new hope of abiding to the rule of law and good governance which activists were clamouring for years.

We are beginning to see commitment to the rule of law and good governance after the rights of whistle blower will be restored. No more incitement to be used to clamp down freedom of speech and expression.

Without freedom of speech and expression the fight against official graft is lost even before it started because in opaque graft thrive unimpeded.

We are planning to follow closely the challenges and achievements of this new administration without biasness in the next four years or so.

As usual we will attempt to focus in the rule of law and good governance.
Mama 2025 hana haja ya kampeni, anakuja tu mikopo[toka China , hakuna serikali iliyofanikiwa kukopa kama yake, hiyo inatosha kumpa MITANO TENA.

#Viva Mwigulu-phD ya Mikopo.
 
Back
Top Bottom