New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

Chaguzi zijazo ni haramu kama zilizotangulia tangu mwaka 1995 hadi pale ibara za muundo wa uteuzi wa tume ya uchaguzi zitakapobadilishwa na kuhakikisha wawakilishi wa vyama vya upinzani pia wanakuwa ni sehemu ya Tume ya uchaguzi
 
Chaguzi zijazo ni haramu hadi pale kanuni za tume ya uchaguzi zitafuta fomu za wagombea na kazi hiyo kufanywa na makatibu wakuu wa kitaifa wa vyama vya siasa.

Vyama vimesajiliwa na vipo kihalali sasa yawaje wagombea waliodhaminiwa na vyama vya siasa vilivyosajiliwa nao wawekewe masharti ya kujaza fomu ili iwe nini?

Makatibu wakuu wa kitaifa wa vyama vya siasa iwe kazi yao kuwakilisha kwenye tume ya uchaguzi orodha ya majina ya wagombea wanaowadhamini pamoja na wasifu wao moja kwa moja kwenye tume ya uchaguzi
 
Tusikubali dosari za ujazaji wa fomu au vyombo vya dola au uhalifu wa aina yoyote ile utuchagulie viongozi
 
Kwa wale mliokuwa mnashinikiza rasimu ya warioba iwe katiba yetu baada ya uchambuzi huu tunaamini sasa mnajua ya kuwa mlidhani mnajua kumbe ni matutusa tu.

Rasimu ya Warioba ulikuwa ni utapeli usiyo na kifani.
 
Mapungufu yote tuliyoyainisha hapa wao hawakuona ni kasoro bali walipendekeza uozo wa kupitilizia
 
Mfano walipendekeza wateule wa Rais ndiyo waunde kamati ya uteuzi wa Tume ya uchaguzi
 
Kama lengo ni kumkwepa Rais kwenye teuzi za makamishina wa tume sasa wateule wake wanatoka wapi kwenye hili?
 
Rasimu ya Warioba ilipendekeza Maspika na manaibu wao wawe sehemu ya kamati ya uteuzi wa makamishina wa Tume ya uchaguzi
 
Kupitia nafasi yake ya Mwenyekiti wa CCM Rais huwateua maspika na manaibu wao
 
Tatizo lipo palepale majaji wakuu na maspika tangia lini wamekuwa sehemu ya utendaji wa serikalini?
 
Mapendekezo haya ya Warioba yalituletea migongano ya mihimili ya dola mambo ambayo hata katiba tuliyonayo inakataza
 
Hivi ikitokea kesi ya kupinga maamuzi ya kamati ya uteuzi jaji mkuu atateua majaji wa kusikiliza kesi ambayo yeye ni mshtakiwa?
 
Au itabidi asimamishwe na kuundiwa Tume ya kumchunguza kama alishinikizwa au kushawishiwa kuteua makamishina ambao wanajulikana ni makada wa CCM?
 
Evening Reflection (QT)

Introduction.

James 5 issues a warning to the rich and calls attention to workers who are mistreated. He encourages his readers to be patient until the Lord returns and to pray in all circumstances.

Reflection

James is not warning against riches themselves but against those whose love of riches causes them to turn away from God and act in ways that are not pleasing to God (see 1 Timothy 6:10).

Does his warning have any implications for today? What does James say about how we are to act while waiting for the Lord to return?

What does he say about prayer? In what ways have you experienced the power of prayer? Reread verses 19-20. Why is it important to bring back someone who has wandered away from the truth?

Pray.

God of wholeness and healing, help me to pray in all circumstances and to pray in accord with your will. Restore to your loving fold all who may have wandered away from your truth so that they once again may know and experience your steadfast love and grace.

In Jesus' name, we pray. Amen.

- Sent from BitBible English App
 
MONDAY, OCTOBER 2ND 2023

TWENTY SIXTH WEEK IN ORDINARY TIME YEAR A

MEMORIAL OF THE GUARDIAN ANGELS

FIRST READING
“I will save my people from the east country and from the west country.”
ZECHARIAH 8: 1 - 8

The word of the Lord of hosts came to me, saying, “Thus says the Lord of hosts: I am jealous for Zion with great jealousy, and I am jealous for her with great wrath. Thus says the Lord: I will return to Zion, and will dwell in the midst of Jerusalem, and Jerusalem shall be called the faithful city, and the mountain of the Lord of hosts, the holy mountain. Thus says the Lord of hosts: Old men and old women shall again sit in the streets of Jerusalem, each with staff in hand for very age. And the streets of the city shall be full of boys and girls playing in its streets. Thus says the Lord of hosts: If it is marvelous in the sight of the remnant of this people in these days, should it also be marvelous in my sight, says the Lord of hosts? Thus says the Lord of hosts: Behold, I will save my people from the east country and from the west country; and I will bring them to dwell in the midst of Jerusalem; and they shall be my people and I will be their God, in faithfulness and in righteousness.”

The Word of the Lord.


RESPONSORIAL PSALM
Psalm 102: 16 - 18, 19 - 21, 29 and 22 - 23 (R.) 17.

R/. The Lord shall build up Sion, he will appear in all his glory.

The nations shall fear the name of the Lord,
and all the earth’s kings your glory.
When the Lord shall build up Sion,
he will appear in all his glory.
Then he will turn to the prayers of the helpless;
he will not despise their prayers. R/.

Let this be written for ages to come,
that a people yet unborn may praise the Lord;
the Lord looked down from his holy place on high,
looked down from heaven to the earth,
to hear the groans of the prisoners,
and free those condemned to die. R/.

The children of your servants shall dwell untroubled,
and their descendants established before you.
May the name of the Lord be proclaimed in Sion,
and his praise in Jerusalem,
when peoples and kingdoms are gathered as one
to offer their worship to the Lord. R/.


GOSPEL ACCLAMATION
Mark 10: 45

Alleluia
The Son of man came not to be served but to serve and to give His life as a ransom to many
Alleluia


GOSPEL
“In heaven their angels always behold the face of my Father who is in heaven"
MATTHEW 18: 1 - 5, 10

At that the disciples came to Jesus, saying, “Who is the greatest in the kingdom of heaven?” And calling to him a child, he put in the midst of them, and said, “Truly, I say to you, unless you turn and become like children, you will never enter the kingdom of heaven. Whoever humbles himself like this child, he is the greatest in the kingdom of heaven. “Whoever receives one such child in my name receives me. “See that you do not despise one of these little ones; for I tell you that in heaven their angels always behold the face of my Father who is in heaven.”

The Gospel of the Lord.
 
After Ukrainian army has been defeated by Russia, the UK is now mulling over sending her own soldiers to fight the mighty Russian army in Donbhas.

The Third World War is slowly but surely looming and few are even aware of it!
 
Back
Top Bottom