Bado hujajibu swali.Bado unajiuliza na kujijibu mwenyewe, nasubiri ueleze hiyo logic
Vyema sana mkuu, knowledge safi kabisa hii.Tree perspective- ni mtazamo wa kumchukilia binadamu Kama mti
Binadamu anayebidi kuwa karibu na wewe anabidi kuwa na sifa za mti
Mti Una sifa zatu kubwa
@ Oksijeni
@ kivuli
@ matunda
Oxygen -pumzi ya binadamu hupatikana zaidi anapokuwa na MTU anayemtia moyo na kumpa matuamaini hii ndo oxygen wewe unampelekea huyo kabondaksaidi (matatizo) Ila yeye anakupa oxygen kukutia moyo.
@ Kivuli- hii ni sehemu ya kupumzika hasa baada ya kuwa umechomwa na jua - hivyo binadamu anabidi kuwa ni MTU ambaye kwake waweza kwenda kupumzika huyo ndo yule MTU anakusikiliza without any judgemental haijalishi umefanya nini na kukupa insight how you can get ahead.
@ Matunda - huyo ndo yule MTU atakuunganisha kazi somewhere ,atakuinua ili ufike juu , huyu ni MTU ambaye hutoa support ili usimame. Na kuendelea kusonga mbele.
Hivyo binadamu anapokosa sifa mojawapo hapo juu huyo anakuwa anaishi Ila Hana presence na Kama hauna presence huwezi kuwa na magnetic power yoyote
Tree perspective ukiitumia vizuri utajua kuwa katika huu mti nisipopata matunda ntapata kivuli na nisipopata kivuli ntapata oxygen Ila huo mti ukikosa mambo yeti matatu basi huyo MTU mtasumbuana sana
Hapo kwenye magnetic power napo kuna jambo la msingi sana kujifunzaTree perspective- ni mtazamo wa kumchukilia binadamu Kama mti
Binadamu anayebidi kuwa karibu na wewe anabidi kuwa na sifa za mti
Mti Una sifa zatu kubwa
@ Oksijeni
@ kivuli
@ matunda
Oxygen -pumzi ya binadamu hupatikana zaidi anapokuwa na MTU anayemtia moyo na kumpa matuamaini hii ndo oxygen wewe unampelekea huyo kabondaksaidi (matatizo) Ila yeye anakupa oxygen kukutia moyo.
@ Kivuli- hii ni sehemu ya kupumzika hasa baada ya kuwa umechomwa na jua - hivyo binadamu anabidi kuwa ni MTU ambaye kwake waweza kwenda kupumzika huyo ndo yule MTU anakusikiliza without any judgemental haijalishi umefanya nini na kukupa insight how you can get ahead.
@ Matunda - huyo ndo yule MTU atakuunganisha kazi somewhere ,atakuinua ili ufike juu , huyu ni MTU ambaye hutoa support ili usimame. Na kuendelea kusonga mbele.
Hivyo binadamu anapokosa sifa mojawapo hapo juu huyo anakuwa anaishi Ila Hana presence na Kama hauna presence huwezi kuwa na magnetic power yoyote
Tree perspective ukiitumia vizuri utajua kuwa katika huu mti nisipopata matunda ntapata kivuli na nisipopata kivuli ntapata oxygen Ila huo mti ukikosa mambo yeti matatu basi huyo MTU mtasumbuana sana
Sio mysterious ways, but when God say 'Be' and it will be.Bado hujajibu swali.
Hata hiyo logic unaiheshimu? Ukipewa logical explanation kwa nini Mungu hayupo, utakubali Mungu hayupo?
Au utasema "The Lord works in mysterious ways, logic cannot contain him" ?
Mifano ya maneno hayo ni:
• Do whatever you want
• Follow your heart
•You be you
• Believe in yourself
• Manifest your dreams
• My life my rules
• Do what feels right for yo
Unakubaliana na mtoa mada ?
Sasa unapingana na mistari ya Biblia?Sio mysterious ways, but when God say 'Be' and it will be.
Bado nasubiri hiyo logic, eleza
Sipo judgmental, Bali nafikisha ujumbe kwa vijana wenzangu wanao potea njia kwani ni vyema kukumbushana yanayo mpendeza MunguMtoa anabidi asiwe too judgmental
Nitakataa kwa kutetea imani yangu.Sasa unapingana na mistari ya Biblia?
Ukioneshwa kwa logic Mungu hayupo, utakubali Mungu hayupo au utakataa kwa kutetea imani yako tu?
Sipo judgmental, Bali nafikisha ujumbe kwa vijana wenzangu wanao potea njia kwani ni vyema kukumbushana yanayo mpendeza Mungu
Yeah na tusipangweAnd that's the true meaning of self freedom
Unejuaje wanapotea ? Na wewe upo kwenye njia sahihi thibitisha.Sipo judgmental, Bali nafikisha ujumbe kwa vijana wenzangu wanao potea njia kwani ni vyema kukumbushana yanayo mpendeza Mungu
Am not perfect, and nobody is perfect. Lakni Imani yangu ipo perfect na nikikosea ni mimi na sio imani yangu juu ya Mungu.Unejuaje wanapotea ? Na wewe upo kwenye njia sahihi thibitisha.
Je ameokoka kimwili au kirohoUnejuaje wanapotea ? Na wewe upo kwenye njia sahihi thibitisha.
Kumbe ni imani , kila jamiii ina imani zao tena tofauti kabisa na yako , umejuaje imani yako ni sahihi zaidi mpaka isahihishe imani za wengne?Am not perfect, and nobody is perfect. Lakni Imani yangu ipo perfect na nikikosea ni mimi na sio imani yangu juu ya Mungu.
Motoni na peponi why lakini😁Je ameokoka kimwili au kiroho
Na hili ujue umeokoka ni pale utakappkufa ndo utajua kama umeenda peponi au motoni.
Huwa nashangaa kumsikia MTU anasema ameokoka while he /she still Alive.
Je wewe Una bealife au Una faith ?Am not perfect, and nobody is perfect. Lakni Imani yangu ipo perfect na nikikosea ni mimi na sio imani yangu juu ya Mungu.
Kweli imani zipo tofauti, kwa ambao hawaamini katika Mungu basi bila shaka hao wamepotea hata wakijifariji na kutetea imani zao ambazo hazina uhakika.Kumbe ni imani , kila jamiii ina imani zao tena tofauti kabisa na yako , umejuaje imani yako ni sahihi zaidi mpaka isahihishe imani za wengne?
Unaelewa maana ya neno imani lakini ?Haiwezi kuwa kweli kama sio maneno yatokanayo na imani
Mtu anasema ameokoka unamwelewaje ? Ili uokoke simpaka ufe like Jesus!!Motoni na peponi why lakini😁
Imani yako ina uhakika upi?Kweli imani zipo tofauti, kwa ambao hawaamini katika Mungu basi bila shaka hao wamepotea hata wakijifariji na kutetea imani zao ambazo hazina uhakika.