BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 776
- Thread starter
-
- #41
Kanga,
Hizo hisa za Precision nina mashaka sana...
1st June 2012 20:48Hivi mbona watu mko in a negative side??? Shirika limerudi angani, ndege mpya, nauli bei safi, huduma nzuri sasa mimi sijui kelele yenu ni ya nini? Mlitaka lisirudi? Ili m comment nini sasa? Kukodi ndege ni kitu cha kawaida kabisa katika airline industry!!!!! Halooooooooo.
Nachukua nafasi hii kuipongeza Management ya ATCL na Serikali kwa ujumla kufufua Shirika letu la Ndege ATCL.
Mimi ni frequent customer wa Precission but I have never got satisfied with their service. Jana nimepanda ATCL kwa kweli nimekuwa satisfied.
1. Bei ni nzuri sana inatofautiana na PW kwa almost 150% - I know those are introductory rates but I am sure they will shoot to 100%
2. Chakula safi - Huwezi linganisha na yale ma sandwich ya precission wanayotoa mwaka wa tano sasa
3. Aina ya ndege - Ni ndege mpya aina Boeng na siyo ATR wala Caravan
4. Service - Crews are matured and not these dotcoms stuff
Big ATCL big up Government but we need consistence