Cybergates
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 697
- 1,474
Hasa kwa complex project
Mda sasa nimekua nikitumia python kama primary PL
Moja ya sida kubwa sana ni speed, aise python ni tabu sana
Leo nimeanza kufanya project ambayo natumia python na cpp backend.
Python natumia ku fanya API endpoints wakati c++ natumia kufanya business logic na optimization
Kama unapenda kitu flan complex, pasua kichwa, unaweza kujaribu hii Backend
Mda sasa nimekua nikitumia python kama primary PL
Moja ya sida kubwa sana ni speed, aise python ni tabu sana
Leo nimeanza kufanya project ambayo natumia python na cpp backend.
Python natumia ku fanya API endpoints wakati c++ natumia kufanya business logic na optimization
Kama unapenda kitu flan complex, pasua kichwa, unaweza kujaribu hii Backend