New Book on Islam Published

Ooh! Kumbe huko ndiko unakotaka kuelekea.

Yaani nitoe MCHANGO ILI NAMI NIWE MIONGONI WALIOCHANGIA KUWATUKANA WAISLAM, UISLAM NA MTUME WAKE?

Rafiki yangu X-Paster usitoe kisingizio cha kutotoa mchango wako kuisaidia JF kuwa utakuwa unachangia dini yako na mtume wako kutukanwa. Hivi sasa una zaidi ya post 2000 na tukiangalia nyingi zaidi ni za kutetea dini yako. Sasa je kwahilo hustahili kutoa mchangio wako? Mbali na hilo kuna mangapi umeyafahamu kupitia JF? Kuna watu wangapi wamefikiwa na ujumbe wako ulioutoa hapa? Kwani hayo hayahitaji mchango wako? Ukisema dini yako inatukanwa mbona hata wewe umetukana dini za wenzako? Wewe unaangalia upande mmoja tu! Acha visingizio wasiliana na Maxence utoe mchango wako ili JF iendelee kuwa hewani. Sawa rafiki yangu?
 
Kwanini yesu hakujua kama kuna dini itakuja ya kiislam yenyenguvu zaidi ulimwenguni katiika imani na munadai ameleza mambo yote yajayo?

Hamjioni kama ni waongo nyinyi?
 
Kwanini yesu hakujua kama kuna dini itakuja ya kiislam yenyenguvu zaidi ulimwenguni katiika imani na munadai ameleza mambo yote yajayo?

Hamjioni kama ni waongo nyinyi?


Nguvu gani mliyo nayo? Au ujangili wa kukata watu vichwa ndio nguvu?
 
Nashukuru sana kwa ujumbe wako ndugu rmashauri, Je katika hizo post zaidi ya 2000, ni post zipi ambazo zinaonyesha matusi na kuutukana ukristo au Nabii Yesu au wakristo au dini zingine ambazo wewe umeziita za wenzangu!?

Tutapokuwa wa kweli na kuweka heshima kwa wale ambao kwa njia moja ama nyingine tunawheshimu, hapo ndipo tutakopofikia muwafaka, na kuwa pamoja katika kila jambo la kuendeleza jamii yetu, kifikra, kiimani, na kiroho. Lakini tutakapokuwa na fikra za kiadui, na kuwaona wengine kama wadandiaji na hawana haki ya kutoa maoni yao hapo hatutafika.

Tuwache chuki dhidi ya wengine, ili JF ionekane kweli hipo kwa ajili ya jamii ya watu walio staharabika.
______________________________________
Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana.
Maana hujiumbua nyuso zao, ili waonekane na watu kuwa wanafunga.

Hayo ni kwa sababu Mwenyezi Mungu habadilishi kabisa neema alizo waneemesha watu, mpaka wao wabadilishe yaliyomo
ndani ya nafsi zao. Na hakika Mwwnyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.

 
Nguvu gani mliyo nayo? Au ujangili wa kukata watu vichwa ndio nguvu?
Nguvu ile ya kuuwa watoto, wanawake na wazee, kwenye nchi zao kule Iraq (up-to-date), Afghanstan (up-to-date), Cuba (1917-330), Panama, Pakistan nk, nk, nk

Mwanzo wa civilization na kuhalalisha kutembea uchi na makasino ya ngono...
 
Nguvu ile ya kuuwa watoto, wanawake na wazee, kwenye nchi zao kule Iraq (up-to-date), Afghanstan (up-to-date), Cuba (1917-330), Panama, Pakistan nk, nk, nk

Mwanzo wa civilization na kuhalalisha kutembea uchi na makasino ya ngono...


Bogus, hakuna kitu ulicho sema zaidi ya kuonyesha paranoia ya kufikiria na kusema ukweli. When you turn on the TV na kuangali middle east, utaona kuwa wanao jilipua na kuua watoto wasio na hatia ni hao wa dini yako. Afghanistani vile vile, ni hali hiyo hiyo ya kupigania mabikira 72. Cuba kamuuliza Castro na ndugu zake kuhusu imani yao ya kimashariki. Pakistan, ni hao hao jamaa zenu wa imani yenu ya kimujahidina. lol.

Kutembea uchi ni hiyari ya mtu ambayo ni tofauti na kwa ndugu zenu wanao vaa majoho kama maninja, huku mkioa wake wanne pamoja na vishtobe kibao, kama ilivyo utamaduni wa mashehe wenu. Sasa faida ipo wapi kuvisha watu majoho huku mkifanya ufuksa kwenye misikiti ya mwamedi, hayo majoho ni sawa na ngozi ya Kondoo huku ndani yenu mkiwa na tabia ya Fisi..
 

Pole kijana chuki zako jinsi zilivyokuwa nyingi kiasi ya kwamba zimeziba milango yako ya ufahamu. Na huna unalo lijuwa ndani ya nafsi yako ila chuki dhidi ya Uislam na Waislam.
 
Kwanini yesu hakujua kama kuna dini itakuja ya kiislam yenyenguvu zaidi ulimwenguni katiika imani na munadai ameleza mambo yote yajayo?

Hamjioni kama ni waongo nyinyi?

Nguvu gani iliyo katika dini yenu enyi wanyenyekevu? Kufuga majini na kufanya uchawi ndo mnajivunia hicho?

Yesu alishawatabiri aliposema "Watawaua wakidhani wanamfanyia MUNGU ibada". Kwahiyo YESU alishaiona hiyo dini yenu ya terrorists. Wanajilipua na kuua watu wakidhani wanamfanyia MUNGU ibada.

Nilitaka kusahau kweli mna nguvu aliyopewa Mwamedi ya kuwa na nguvu ya kufanya tendo la ndoa sawa na wanaume 30. Lol, hii ni nguvu ya ajabu kwa kweli.
 
Kwanini yesu hakujua kama kuna dini itakuja ya kiislam yenyenguvu zaidi ulimwenguni katiika imani na munadai ameleza mambo yote yajayo?

Hamjioni kama ni waongo nyinyi?

Kama kweli dini ya Kiislam ina nguvu kama OsamaBin Laden anavyodai inakuwaje waumini wake wana "inferiority complex" na wanataharuki wakati dini hiyo ikisemwa? Salman Rashidie yuko mafichoni kwa kuandika kitabu cha riwaya tu! Ile Cartoon ya Denmark nayo ilileta tafrani isiyo ya msingi. Yule mtu wa Sinema na TV kule Uholanzi aliuwawa eti kwa kukashifu Uislam! Mbona dini ya katoliki inaandikwa sana na hawajateteleka? Hata hapa nchini ni yale yale. Why panic if you are strong? Ulishaona Simba anataharuki?
 
 
 

Kaazi kweli kweli
 

Exellent mkuu
 
Kuna point moja wakristo nawasikia sana wakiongea "et Uislamu ni dini ya waarabu!!" sasa hawa wakristo wa bongo ni na wana wa insraili, walihusiana wapi?.

Yani nyinyi munafanya cheo ya uungu ni sawa na yule papa wenu sio.Eti yesu ni mungu!!-yani mungu anakula stori hadi na walevi then anapata kipigo kutoka kwa waja wake!!"eti amesulubiwa" sasa kama binaadamu wanaweza kumpa kisago mungu, jee watenda makosa watapewa kisago na nani?.Chemsheni tena lakini hapo mumebugi step.
 
kwanini yesu hakujua kama kuna dini itakuja ya kiislam yenyenguvu zaidi ulimwenguni katiika imani na munadai ameleza mambo yote yajayo?

Hamjioni kama ni waongo nyinyi?

napenda nikusahihishe yesu alitabiri yote na alijua uislam utakuja ila aliuweka ktk kundi la imani potofu itakayoletwa na nabii wa uongo ndio maana litahadharisha juu ya kuibuka manabii wa uongo ambao watakuja kuibuka.waliibika uislam ukiwemo na wanazidi kuibuka.
Pia jenga mantiki biblia iliandikwa mara ya kwanza 1500 bc ikakamilika 100ad.ilichukua miaka 1600 kukamilika.wandishi ni tofauti,mazingira tofauti na miaka tofauti lakini ujumbe wao unaoana.quran imeibuka 600ad-mtoto mdogo sana kwa biblia.aliyewahii yuko sahihi kuliko aliyefuata.
 

Acha pumba weye. Hujuwi kitu.

Kama unabisha uislam si dini ya Maarabu, nieleze ni kwanini allah wenu anajuwa lugha moja tu, nayo ni KIMANGA? Kwanini Misikiti ya allah inaangalia UMANGANI? Mnavaa migauni kama MIARABU na kuwswali kwenye mikeka kama vile hakuna Mbao Bongo.
 

Tena si KISAGO tu! bali na KUMUUA KABISA!.yaan hata chizi ambae hana uwezo wa kurudisha kumbukumbu hawezi KUAMINI AKIAMBIWA ALIYE PEWA KIBANO KILE NA HA TIMAE KUFA NI MUNGU ALIYEUMBA DUNIA!ama kweli UJINGA MZIGO!
 
This is jf and u re reading great thikers comments on Education subforum .

Mi Naona comment nyingi wala haziendani mada husika. Muda si mrefu thread nzuri itahamishwa kwenye recycle bin (jukwaa la dini)

teh teh teh
 

We unayejua mbona UMESHINDWA kutambua tofauti kati ya MUNGU na BINADAMU mwingine kama wewe ipi! we ndo toa matope yako hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…