New Book on Islam Published

Dr. Ali Gum'a wrote that the companions of the Prophet Muhammad would bless
themselves by drinking his urine, and described an incident of urine-drinking
from a hadith:"Umm Ayman drank the urine of the Prophet, and the prophet told
her:‘This stomach will not be dragged through the fire of Hell, because it
contains something of our Lord the Messenger of Allah...'
.
 
Last edited:
Ah ah ah ah ah....! So funny!
 


Hivi wewe, mh, jamani mtafutieni hicho kitabu huyu mlokole ili yaishe, ahk.
 
MaxShimba na X-Paster, majadiliano yenu haina akili wala faida yoyote. Ni kama watoto wawili wadogo wanaoshindana eti nani anaweza kukujoa mbali.

Mnatukana kwa kunakili sentensi ambazo ninyi wenyewe hamjui maana yake ni nini. X-Paster hana habari hata kidogo Biblia ni nini hata akipenda kukuroga maneno yake. Vilevile inaonekana MaxShimba hajui nachofanya akitoa sentensi hapa na pale katika mapokeo ya Kiislamu. Wote wawili hawana elimu katika yale wanachojadiliana ni bandia pande zote mbili.

Thread hii ni aibu kwa ajili ya jamiiformus!! Naomba sana: mpeane anwani zenu za barua pepe na muendelee kati yenu.
 

Nashukuru ndugu kwa ushauri wako.

Ila ungesoma tangia mwanzo wa hii thread ungetambua na kuelewa ni nini chanzo.

Ahsante mkuu, nitajitahidi kutafuta na kujifunza ili nipate kuelewa zaidi, Insha'Allah.
 
Last edited:


Kama hayo ndo maendeleo wanayo sema, basi ipo kazi mwaka huu.
 
Bwana Aswand Band - na wewe unaendela na uchafu huohuo! Kama una habari
a) juu ya uzito wa hadith hii katika mapokeo ya Kiislamu
b) kama unajua kitu juu ya tiba na madawa ya kienyeji ya Uarabuni ya Kale
c) kama umetafakari jinsi gani utamaduni wako na miiko yake zinalingana na utamaduni tofauti na jinsi gani unavyochukua tofauti hii#

basi onyesha ya kwamba una uwezo huu.

Menginevyo naomba unyamaze na wewe usirudie maneno ya chuki yaliyotupwa hapa kwa nia ya kutukana tu!
 


Hakuna ulicho sema, zaidi ya kuonyesha chuki na kutumia lugha chafu isiyo na maana wala sababu inayo ongozwa na jazba.

Wewe ndio ukae kimya, kwasababu hujuwi chochote. Umeweka maneno matupu bila ya ushaidi.

Kama kuna maneno yalisemwa na Max ni ya uongo, weka ushaidi hapa tuone na sio kuweka blah blah za kimadrasa.
 


You are suffering from immature thinking and reasoning.

Pole sana
 

Hakuna mkuu.
 

Kaka usisumbe nao, mtu mmoja ana ID kibao, anandika na kujijibu mwenyewe, na kujipongeza mwenyewe.
 
Kaka usisumbe nao, mtu mmoja ana ID kibao, anandika na kujijibu mwenyewe, na kujipongeza mwenyewe.


Kazi kweli kweli, hebu mpeni huyu jamaa jibu, na sio kuleta mastori ya hapa na pale.
 
Warabu ,warabu, ndo waje leo na ngozi ya kondoo!! Loh!
Hao hawana jipya unaweza kujiuliza kwanini kwao leo hakuna warabu weusi can u imagine?
Kinachotakiwa nikuruhusu ubongo wako ufikiri.
Kwanini mabinti wa kiarabu hawakubali kuolewa na vijana wetu weusi walijengewa toka mwanzo waafrika tunamioyo ya punda....
 

Aisee,
Hawa jamaa washukuru Ukristo kuwepo duniani vinginevyo kama wangekuwa kwenye ulimwengu wao peke yao (i.e waislamu watupu) sijui wangekuwa na hali gani. Maana hata hiyo middle East washukuru wana mafuta wangekuwa na hali mbaya sana. Dini iliyotengenezwa na marehemu Mwamedi ililenga kuwafanya wafuasi wake kuwa mbumbumbu wa kutupwa. Jamani waislamu okokeni njooni kwa YESU nanyi mtapata raha nafsini mwenu. YESU ndo mwanzo wa civilization dunia kote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…