soma title ya thread na cńtent alafu toa comment yakoKenya wapo juu sana tuache utani google haiwezi kukupa kila kitu!!!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
soma title ya thread na cńtent alafu toa comment yakoKenya wapo juu sana tuache utani google haiwezi kukupa kila kitu!!!!!!!
Zuku na DSTV, Tv za Uganda zipo, ila sijui kwanini za Tz hazipo. Hahaha, koti kubwa na tai huwa zinawafit tu nyinyi wasukuma. 😀Platform ipi unayo tumia wewe? kwenye kutangaza mimi nitakupinga labda sema hawana swagga zako za kuvaa makoti makubwa na tai
Wewe huna DSTV wala ZUKU. Wewe na Mwasiti mmezilisha leo kuwa EPL mnaiyangalizia bar au kwajilani. Wadau wenye DSTV msikilizeni huyu mkenya masikini😀😀😀Zuku na DSTV, Tv za Uganda zipo, ila sijui kwanini za Tz hazipo. Hahaha, koti kubwa na tai huwa zinawafit tu nyinyi wasukuma. 😀
Sinywi pombe kwa hivyo sifiki bar. Mimi kwenye raga ndio utanipata sio EPL. Sina jilani, nina jirani. Tv za Tz hazipatikani huku Kenya hata kwenye Dstv. EATV ipo sijui inakuwaje au hawakubali zitizamwe nje ya Tz? Ila kwa wengine wetu ambao wamezitizama na wanazijua, sio jambo la kunung'unika hata kidogo. Wanaotangaza na kuripoti kwenye Tv za Tz si wanahabari bali ni wakulima, tena wa maparachichi! 😀 Zero proffessionalism, very boring! Najua wewe mwenyewe huwa unatizama NTV, KTN, CITIZEN, K24 n.k., hongera zako.Wewe huna DSTV wala ZUKU. Wewe na Mwasiti mmezilisha leo kuwa EPL mnaiyangalizia bar au kwajilani. Wadau wenye DSTV msikilizeni huyu mkenya masikini😀😀😀
Huna DSTV. Unalipia package ipi ya DSTV??Sinywi pombe kwa hivyo sifiki bar. Mimi kwenye raga ndio utanipata sio EPL. Sina jilani, nina jirani. Tv za Tz hazipatikani huku Kenya hata kwenye Dstv. EATV ipo sijui inakuwaje au hawakubali zitizamwe nje ya Tz? Ila kwa wengine wetu ambao wamezitizama na wanazijua, sio jambo la kunung'unika hata kidogo. Wanaotangaza na kuripoti kwenye Tv za Tz si wanahabari bali ni wakulima, tena wa maparachichi! 😀 Zero proffessionalism, very boring! Najua wewe mwenyewe huwa unatizama NTV, KTN, CITIZEN, K24 n.k., hongera zako.
Anapitia bronchure za DSTV atakuja na jibu baada ya more than one hr..Huna DSTV. Unalipia package ipi ya DSTV??
Wenzako wana ona sasa sijui ww una DSTV ipi!!!Zuku na DSTV, Tv za Uganda zipo, ila sijui kwanini za Tz hazipo. Hahaha, koti kubwa na tai huwa zinawafit tu nyinyi wasukuma. 😀
Dah ndio nimeicheck check TBC. Aisee maigizo kama yale ya comedy show! Ngoja ntarudi na mrejesho kuhusu clouds soon.Wenzako wana ona sasa sijui ww una DSTV ipi!!!
Nawatamani sanaHivi these Kwese guys hawajafika Tanzania bado?
Penda chako waunge Azam TV mkono. Kwese anaonyesha match moja ya jumamosi jioni ambayo kwenye AzamTV rts wanarusha pia. Siyo epl yote wanaonyesha pia hiyo match zilikuwa zinaonyeshwa na TV 1 ambayo Kwese waliinunuaNawatamani sana
Angalia huyu na umbea wake. Uzaramo wako uwe unauacha huko kijijini. Nishakweleza hapo juu.Huna DSTV. Unalipia package ipi ya DSTV??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Penda chako waunge Azam TV mkono. Kwese anaonyesha match moja ya jumamosi jioni ambayo kwenye AzamTV rts wanarusha pia. Siyo epl yote wanaonyesha pia hiyo match zilikuwa zinaonyeshwa na TV 1 ambayo Kwese waliinunua
Kwese are trying. Although they have branched into other areas and new channels. Am still glued to their sport channels alot. Watched all type of sports when I would watching some nonsense or the other. All sports and they are all African too. That counts.Nawatamani sana
Umekimbilia kwa Jirani [emoji13] [emoji13] [emoji13] , njoo na feedback za ETV, ITV, EATV, Clouds, StartvDah ndio nimeicheck check TBC. Aisee maigizo kama yale ya comedy show! Ngoja ntarudi na mrejesho kuhusu clouds soon.
Sasa si ungekua mkweli toka mwanzo kuliko kuanza kuongea uongo kuhusu DSTVKwese are trying. Although they have branched into other areas Am still glued to their sport channels alot. All sports.
Sawa. Ila usingoje nije na mazuri, nazijua. Mimi ni mtu wa mikiki mikiki usitegemee nipoteze muda wangu bure nikipuliza gunia. Labda Clouds na kidogo Itv, hao wengine vioja tupu! You know its true. Stop lying to yourself! 😀Umekimbilia kwa Jirani [emoji13] [emoji13] [emoji13] , njoo na feedback za ETV, ITV, EATV, Clouds, Startv
Ndio maana nimewaacha tu wachape pumba zao. Eti Kenya ina sita. 😀 Alafu wapo very proud, Tanzania tuna 26! 😀 Unasema universities, kuna mashirika mengi sana, na parastatal kadhaa na wizara hapa Kenya kama ile ya Youth, Sports and Culture, ambazo zina Tv station zao! Aisee hadi na kanisa za walokole karibia zote. Tv za kisomali tu ni karibia ishirini. 😀 Orodha ya kweli wakiiona si watazimia? Yaani hata Bunge Live na Senate pia ni Tv stations kivyao with 24/7 coverage.
Mamaudaku. What a username! Natania. Unajifanya mgeni. Wewe siunatujua tu sisi manyang'au tulivyo? Hatujui kutulia. 😀 Karibu Kenya, ufanye revenge.Halafu wanavyokimbilia tz kutafuta kazi na vyeti vyao fake
Nyangau ni shidaMamaudaku. What a username! Natania. Unajifanya mgeni. Wewe siunatujua tu sisi manyang'au tulivyo? Hatujui kutulia. 😀 Karibu Kenya, ufanye revenge.
Sema huna hela msee!I use a satellite my my friend free of charge siatambui kina dstv,zuku kwese au hata hiyo Azam.