komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Hhhhhh!!wewe na naniKwendeni kwanza mkachongeshe mengine,sisi ndio wakaguzi[emoji23][emoji23][emoji23].
Tunaongea jf viongozi kenya wanafuata,tuliyaponda na wao wameyakataa[emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhhhhh!!wewe na naniKwendeni kwanza mkachongeshe mengine,sisi ndio wakaguzi[emoji23][emoji23][emoji23].
Tunaongea jf viongozi kenya wanafuata,tuliyaponda na wao wameyakataa[emoji2]
Na wewe ungesoma vizuri usinge jipa matumaini ya kampuni zingine za ku unga unga mabus za Nai kupewa hiyo tenda. Wamesema gvt ina jiandaa ku import 100 buses, kubali ya ishe. Hamtoshani mseeKuna watu huwa hawasomi taarifa ya mada au kufatilia chanzo cha habari kwa umakini. Hamna popote waliposema mabasi hayo ni 'low quality' shida ni design yao ni tofauti na vigezo vilivoekwa na County ya Nairobi. Wakirekebisha sawa, wasiporekebisha kuna kampuni zingine nyingi hapa hapa Kenya ambazo zitachangamkia fursa yenyewe.
Hatutoshani na.....? Mbona huo mpango ulikuwa tangu awali tu? Unayaponda hayo mabasi ukisema ni ya kuunga unga wakati nchi yenu ya viwonder hamna hata assemby plant moja, angalau hata ya vits tu.Na wewe ungesoma vizuri usinge jipa matumaini ya kampuni zingine za ku unga unga mabus za Nai kupewa hiyo tenda. Wamesema gvt ina jiandaa ku import 100 buses, kubali ya ishe. Hamtoshani msee
Sasa kuwepo kwa Isuzu Kenya lakini serikali ina mpango wa kuagiza nje inamaanisha hata ninyi wenyewe hamuamini bidhaa zinazozalishwa nchini mwenu, hii inaonyesha ni kwa kiasi gani hamjui mlifanyalo hapa duniani.Hatutoshani na.....? Mbona huo mpango ulikuwa tangu awali tu? Unayaponda hayo mabasi ukisema ni ya kuunga unga wakati nchi yenu ya viwonder hamna hata assemby plant moja, angalau hata ya vits tu.
Hujui ulisemalo...Hatutoshani na.....? Mbona huo mpango ulikuwa tangu awali tu? Unayaponda hayo mabasi ukisema ni ya kuunga unga wakati nchi yenu ya viwonder hamna hata assemby plant moja, angalau hata ya vits tu.
Isuzu Made in Kenya zipo mabarabarani na mara kwa mara utaona msururu wa mabasi na truck zao zikielekea Namanga na Busia Border. Wewe umesikia high capacity bus yao ukajua hiyo ndio biashara yao tu. Unadhani wanapata faida mwaka nenda mwaka rudi kwenye biashara ya kuuza maandazi nini? Nakuelewa lakini, akili zako ni za abcd tu, na aeiou.Sasa kuwepo kwa Isuzu Kenya lakini serikali ina mpango wa kuagiza nje inamaanisha hata ninyi wenyewe hamuamini bidhaa zinazozalishwa nchini mwenu, hii inaonyesha ni kwa kiasi gani hamjui mlifanyalo hapa duniani.
Chizi wewe, nimesema kama serikali yenu imeamua kuagiza toka nje wakati wangeweza kutoa order na kutengenezewa hapo hapo Kenya ili kukuza uchumi wa nchi, hiyo ni dalili kwamba serikali yenyewe haesziamini.Isuzu Made in Kenya zipo mabarabarani na mara kwa mara utaona msururu wa mabasi na truck zao zikielekea Namanga na Busia Border. Wewe umesikia high capacity bus yao ukajua hiyo ndio biashara yao tu. Unadhani wanapata faida mwaka nenda mwaka rudi kwenye biashara ya kuuza maandazi nini? Nakuelewa lakini, akili zako ni za abcd tu, na aeiou.
life-threatening...do you even know the meaning of that word๐๐and yes those buses can work anywhere in the world...nina uhakika kuna mabasi kama haya kule new york...New York? hahahahaha......
Hiyo design unayosema hapa ni life threatening, na kama kitu ni life threatening ni bad quality. Kwanza Nairobi haiko tayari kwa BRT meaning infrastructure like bus stops and terminal are safe for passengers. Hizo basi hazikutakiwa kuwa na ngazi milamgon ili kuwezesha kila mtu hata mlemavu au mama mjamzito wanaweza kupanda. Vioo madirishani ni low quality maana gari ikipata ajali chakwanza kinachotokea ni abiria kuumizwa na vioo. Milango sio automatic (controled by driver) kuzuia watu kufunguwa wakati gari inakwenda mwendo wa kasi.
low quality pengine hicho kichwa chako...these buses are of high quality...design tu ndio shida...nimemaliza...
Mje tena Tanzania mjifunze mambo ya BRT hata nchi zilizo endelea public Trasport and platform are all in one level. Leo hii mtu akipanda hizo ngazi akakosa step na kuanguka na kufa, mtamlaumu nani? Wakenya, acheni huu ushamba wakujifanya wazungu kumbe bado wanya chang'aa. Tembeleni dunia mujionee mambo, we're in AI age for God sake.life-threatening...do you even know the meaning of that word๐๐
et tembeeni dunia....sasa wewe nyumbu fala umewahi kutoka hapo manzese ulipo kweli?Mje tena Tanzania mjifunze mambo ya BRT hata nchi zilizo endelea public Trasport and platform are all in one level. Leo hii mtu akipanda hizo ngazi akakosa step na kuanguka na kufa, mtamlaumu nani? Wakenya, acheni huu ushamba wakujifanya wazungu kumbe bado wanya chang'aa. Tembeleni dunia mujionee mambo, we're in AI ages for God sake.
Haha, hiyo Changaa leo sio mchezo mpaka unaona Kakamega ni London na Amsterdam. [emoji23][emoji23]et tembeeni dunia....sasa wewe nyumbu umewahi kutoka hapo manzese ulipo?View attachment 904230View attachment 904230na mabasi kama haya nimeziona london, amsterdam
wewe pimbi ndio unaona london na amsterdam kuwa ni big deal๐..yaani humo watu wanaingia na kutoka kama choo...nimesoma kule, dadangu ameolewa kule pia....toka manzese angalau uchanukeHaha, hiyo Changaa leo sio mchezo mpaka unaona Kakamega ni London na Amsterdam. [emoji23][emoji23]
Kama ungekuwa umeishi huko usingejiaibisha kwa kufananisha mabada ya kuku ya Nairobi BRT na usafiri wa nchi za Ulaya.wewe pimbi ndio unaona london na amsterdam kuwa ni big deal๐..yaani humo watu wanaingia na kutoka kama choo...nimesoma kule, dadangu ameolewa kule pia....toka manzese angalau uchanuke
smh...kule naingia kama choo..ila na prerfer kuishi nyumbani...anyway, debate finished..nimemalizaKama ungekuwa umeishi huko usingejiaibisha kwa kufananisha mabada ya kuku ya Nairobi BRT na usafiri wa nchi za Ulaya.
low quality pengine hicho kichwa chako...these buses are of high quality...design tu ndio shida...nimemaliza...