toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
Bro huyu financial unamjua ? Maisha haya daaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro huyu financial unamjua ? Maisha haya daaah
Aisee nyie jamaa bwana haya banaUshapigwa na kitu kizito mdau?
We umeyaelewa ?Vipi mdau mbona kama hujayaelewa mapenzi yetu?
mlete France tumnunulie Jezi ya Mbappe na TruramKastaarabu sana!
wako wachache sana mjini...
Atasupport timu nitakazokuwa nasapoti.
Atapenda soka kwa ajili yangu.
Hata kama ni new couple on a beach⛱️ wewe pambana na hali yako.Very new couple mjini!!
Sio siri tena.
Baada yakuwa single kwa muda mrefu, imeamulika sasa.
Usingle tupa kule.
View attachment 2925343
My darling love financial services,
I want to declare to the world and whole JF community Nakupenda sana!
Ladies & Gentlemen its our time!
View attachment 2925354
My One and Only financial services.
I promise to Love and care for you to Infinity...
Am happy to have you my darling love.
Jamaa ana fantasy ya ajabu kajianzidhia relationship bila mwenyewe kukubali, aiseeMkuu mbona mrembo wako hajatokea kuja kuthibitisha huu upendo wenu? Hebu muite
Sasa tunataka financial services athibitishe ili tujue kuna mutual agreement, kwa ukongwe wako hatukuamini🤣🤣🤣Hakuna tabu!! Tutakuwa live hiyo siku
Nasubiri tamko mama shughuli nipo hapaMwendo wa kuzichanga tu tushone sare🥰💃💃... Kwani dada mwenyewe anasemaje
Hata hivo kwanini uficheNishawahi olewa mkuu,na kufichaficha huwa siwezi....huwa naongea ukweli nahisi ndiyo unaoniponza
Wasagia kunguni wameingia 😀😀financial services nimekutana nae jioni hii.
Tumeongea mambo kadha wa kadha.
Kwa ufupi tuu.
Kwanza amesikitika sana na kitendo hiki.
Pili amezidi kusisitiza kwamba jimbo bado liko wazi kwa wanaume ambao wako serious na watakaokidhi vigezo.
Mwisho amewatakia wiki njema katika kazi zenu.
Yeye binafsi amebanwa na majukumu ya kikazi na kifamilia.
Asanteni.
Am very very sure financial services hajafurahishwa na huu Uzi....thus why yupo kimya.....Sasa tunataka financial services athibitishe ili tujue kuna mutual agreement, kwa ukongwe wako hatukuamini🤣🤣🤣
Hata Mimi kaniambia the same kwenye simu😁financial services nimekutana nae jioni hii.
Tumeongea mambo kadha wa kadha.
Kwa ufupi tuu.
Kwanza amesikitika sana na kitendo hiki.
Pili amezidi kusisitiza kwamba jimbo bado liko wazi kwa wanaume ambao wako serious na watakaokidhi vigezo.
Mwisho amewatakia wiki njema katika kazi zenu.
Yeye binafsi amebanwa na majukumu ya kikazi na kifamilia.
Asanteni.
[emoji1]kweli eti..Wasagia kunguni wameingia [emoji3][emoji3]