New English term:Kanumbarization

New English term:Kanumbarization

jamani mwogopeni Mungu, mwenzenu anajitahidi, ilaumuni hii nchi kwa mfumo mbaya wa elimu.
Leo nilikuwa naangalia evaluation form za walimu walizojaza baada ya workshop ni aibu jamani, hii nchi inahitaji maombi, hiyo lugha iliyoandikwa humo, nimebaki kusema , OMG sasa kama watoto ndo wanafundishwa na wlimu kama hawa, ni taifa gani tunajenga kwa kizazi hiki na utandawazi huu!


Na wewe ndo pumbafu kabisaaaaaaaaaa nani kakuambia elimu ni kujua kiingereza? wee ndo umefulia kabisa lione ndo maana hujui kusoma weye, sasa sisi tunaoongea kifaransa, kispanish na kiitaliano pamoja na hiyo kiingereza chako na hatujamaliza hata form four ndo tuonekane wasomi sana? Jiandae ndo utoe maoni
 
Daaaah!, Kaazi Kweli Kweli,

Happy_baby.gif


B.
 
Hapana ma super star wetu wanajisahau. Huyu hela anayopata angeenda British council angeshapa pata vocab kibao ya kuongea na kutongozea leo hii kaenda kuumbuka. Jamani dah! hivi waliomchaguawaliangalia sura au??

Kuna jamaa alitoa picha yake hapa tukamcrush, alikuwa na maana fulani du!
 
Nadhani Tatizo siyo Kanumba tu, tatizo ni mfumo mzima wa elimu ya Kitanzania. Kwani Wabongo tupo njia panda ndio maana hata Lugha za kiofisi ni mbili yaani Kiswahili na Ung'eng'e kama sijakosea, matokeo yake ni Kiswa-nglish. Vilevile, ni vizuri kukikuza Kiswahili lakini tufikirie vilevile tutakavyowasiliana na mataifa mengine. Watoto wengi wa Kitanzania walikuwa wanaandaliwa mazingira ya kufanyia kazi Tanzania, lakini sasa huu utandawazi umewaacha hoi.
 
Mugo you are right. ila ukishaona hali ngumu lazima ufanya jitihada mwenyewe. maana umri ndo umeshaenda yule huwezi kumshikia fimbo aende shule. Anatakiwa aone mwenyewe anahitaji nini.
 
Back
Top Bottom