Chanjo zimesaidia sana kupunguza maambukizi ná vifo katika nchi nyingi za Magharibi. Pamoja ná hayo bado kwa wale wenye chronicle diseases ni lazima wajikinge vinginevyo watapata maambukizi ná kufa ukilinganisha ná wale wenye afya njema ná wamepata chanjo zote. Hawa hata wakipata maambukizi basi ni ugonjwa mdogo sana kwao hauhitaji kulazwa hata uwezekano wa kifo ni mdogo sana.
No wa mwisho ntakua Mimi..na labda nitafutwe na jeshi zima...sifanyi upuuzi wa kutestiwa hypothesis zaoHapa bongo wanachanja wahindi na wanasiasa Tu.....Mimi nitakuwa mtu wa mwisho duniani kuchanja
Mtu anaye anzisha uzi then akaanza kutoa comment ya aina hii, nafikiri hupoteza hata credibility ya uzi wake!Tumia akili ndogo uliyonayo.
Hao waliotoa hiyo taarifa wa Marekani wenyewe pia wanapiga propaganda?
Hivi kichwani una mavi ama uharo?
Usiyekuwa na akili ni wewe unayedhani chanjo imekuja kufuta kifo!
Uko nyuma ya keyboard ukidhani vihabari uchwara vyako vitazuia wenye hiyari ya kuchanjwa wasichanjwe! Pole sana!
Kwa hiyo?Huko New Jersey Marekani, watu 50 ambao wamepata chanjo yote ya Covid 19, yaani wamepata chanjo zote 2 wamefariki kwa Covid 19.
Hivyo kupata chanjo haina maana kua hautaugua covid 19 na haina maana kwamba hutafariki kwa Covid 19.
Ndio maana ukisoma ile form ya kupata chanjo ya serikali, serikali imejitoa kwa yoyote yatakayokukuta ukipewa chanjo usije kuilaumu wala kuishtaki.
Soma zaidi hapa.
New Jersey officials say nearly 50 fully vaccinated residents have died from COVID-19
New Jersey health officials say that almost 50 fully vaccinated people have died from COVID-19, according to data through July 12, NJ Advance Media reported on Wednesday.thehill.com
Bs ni sawa na wale waliokua hawana chanjo na waliugua na hawakupta madhara yoyote waliugua kama flu tu hata hospt hawakwenda
Majitu ni mabishi akili ya reasoning hawana...Namuelewa sana Magu
Hapana Iselamagazi . Achana na mwandishi, huyu hapa ni dalali. Ameweka link ya source ya habari yake. Unaweza kuisoma na kuielewa. Tuachane na huyu, tuende na hoja.Mtu anaye anzisha uzi then akaanza kutoa comment ya aina hii, nafikiri hupoteza hata credibility ya uzi wake!
Asome na kuelewa mheshimiwa sana brazajHuko New Jersey Marekani, watu 50 ambao wamepata chanjo yote ya Covid 19, yaani wamepata chanjo zote 2 wamefariki kwa Covid 19.
Hivyo kupata chanjo haina maana kua hautaugua covid 19 na haina maana kwamba hutafariki kwa Covid 19.
Ndio maana ukisoma ile form ya kupata chanjo ya serikali, serikali imejitoa kwa yoyote yatakayokukuta ukipewa chanjo usije kuilaumu wala kuishtaki.
Soma zaidi hapa.
New Jersey officials say nearly 50 fully vaccinated residents have died from COVID-19
New Jersey health officials say that almost 50 fully vaccinated people have died from COVID-19, according to data through July 12, NJ Advance Media reported on Wednesday.thehill.com
Majitu ni mabishi akili ya reasoning hawana...
hao jamaa walishindwa au wameshindwa kupata chanjo ya ukimwi,kansa ndio uje upate ya covid muda mfupi!!???
Ukisikia mtu mwenye kichwa mzigo usihangaike kujiuliza ni nani! Ni WEWE!Wewe hujui kusoma? Nani kasema New Jersey walichanjwa ili wasife? Kuna mtu anasema chanjo inazuia kufa?
Usikimbilia kuandika pumba bila kuelewa swali.
Kwa kiwahili ni hivi.
Watu wote 50, walichanjwa chanjo zote, kwa maana awamu moja, ya pili, ya tatu, ama hata ya tano kama inavyohitajika, ili wazuie kupata maambukizi ya Corona, wamekufa kwa Corona. Baada ya kuchanjwa huko.
Wewe unasemaje? Siyo kuharisha. Kama hujui sema hujui maana hata elimu tunatofautiana, hutalaumiwa lakini ukibsha kipumbavu, unapigwa bani.
Wewe ulichanjwa chanjo gani? Na hii iliyoletwa Tanzania inaitwa nini? Ebu wekeni wazi.Mie nimepata chanjo zote mbili toka February lakini bado navaa barakoa. Ni chaguo lako kwani huu ugonjwa umetengenezwa China na sijui kama bahati mbaya au maksudi umeletwA kutupunguza duniani.
Yule mzee kwa hapa hakuwa na mpinzani,tuliishi as if hakukuwa na kitu kinachoendelea huku duniani na kosa watu wanafanya ni kuamini Tanzania Covid 19/20 Vol 1 iliisha ile haikuisha hata Vol II haijaisha bali ni kule kuaminishwa na viongozi (of course ni wanasiasa) kwamba imeisha tukaamini hivyo tukapasua.Namuelewa sana Magu
Ukisikia mtu mwenye kichwa mzigo usihangaike kujiuliza ni nani! Ni WEWE
Ukisema waliopata chanjo hawawezi kufa huko ni kujidanganya! Mtu mwenye corona anaweza kuuwawa na malaria, kisukari, presha, njaa etc, ebu acheni kudanganya watu, nyie mlisha danganywa na jiweUsibadili agenda. Hoja siyo kufa. na hakuna chanjo ya kifo, na hawakuchanjwa ili wasife.
POINT NI HII.
"WOTE 50, WALICHANJWA FULL DOZE YA KINGA Y A CORONA, WAMEKUFA KWA CORONA"
Wewe unasemaje hapo?