Mimi kwa ufahamu wangu sitachoma hii kitu nitazingatia taratibu zilizowekwa na WHO usafi,barakoa na social distance naamini hili wimbi likipita ugonjwa utaisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi kwa ufahamu wangu sitachoma hii kitu nitazingatia taratibu zilizowekwa na WHO usafi,barakoa na social distance naamini hili wimbi likipita ugonjwa utaisha
Watu wanachanjwa na wataendelea kuchanjwa and there is nothing you can do about it! Mpaka Hapo tu unapaswa ujione f.a.a.l.a!Hivi wewe ni lingumbalu la wapi wewe? Pumbvu kweli.
Wewe ni pumbavu. What do you know about research and long term impacts? Pumbavu ishia hapo kwa kuwa mimi si kiwango chako. Pumbvu sana.Watu wanachanjwa na wataendelea kuchanjwa and there is nothing you can do about it! Mpaka Hapo tu unapaswa ujione f.a.a.l.a!
Watu wanachanjwa na wataendelea kuchanjwa and there is nothing you can do about it! Mpaka Hapo tu unapaswa ujione f.a.a.l.a!
Jana ilikuwa siku mbaya sana kwako kusikia mzigo umetua Bongo na wataanza na ma.ma.ko si unajua aged ndiyo preference!Wewe ni pumbavu. What do you know about research and long term impacts? Pumbavu ishia hapo kwa kuwa mimi si kiwango chako. Pumbvu sana.
Wewe kula ukitaka unywe na si upumbvu wkao kutaka watu wote wafuate. Kwa akili zako zinaozishia kweney domo lako, you think , nothing I can to about it. Akili fupi sana. Wewe subiri uone mziki wake. Pumbavu.
Ungekua umesoma habari hiyo usingekuja na hiyo comment. Wanasema hivi kati yao hao 49 walikufa, 30 walikua kati ya miaka 80 na kuendelea, 13 walikua kati ya 65 hadi 79, na 6 walikua kati ya miaka 50 hadi 64.Usibadili agenda. Hoja siyo kufa. na hakuna chanjo ya kifo, na hawakuchanjwa ili wasife.
POINT NI HII.
"WOTE 50, WALICHANJWA FULL DOZE YA KINGA Y A CORONA, WAMEKUFA KWA CORONA"
Wewe unasemaje hapo?
Siwezi hata poteza Mda wangu kuchanja. Nitaishi na sitokufa na by the way siogopi hata kufa
Jana ilikuwa siku mbaya sana kwako kusikia mzigo umetua Bongo na wataanza na ma.ma.ko si unajua aged ndiyo preference!
TUKACHANJE. TUACHE PROPAGANDA DHAIFU.
Kwa ufahamu tu, sidhani kama ipo chanjo inayotoa ulinzi (protection) kwa asilimia 100.Huko New Jersey Marekani, watu 50 ambao wamepata chanjo yote ya Covid 19, yaani wamepata chanjo zote 2 wamefariki kwa Covid 19.
Hivyo kupata chanjo haina maana kua hautaugua covid 19 na haina maana kwamba hutafariki kwa Covid 19.
Ndio maana ukisoma ile form ya kupata chanjo ya serikali, serikali imejitoa kwa yoyote yatakayokukuta ukipewa chanjo usije kuilaumu wala kuishtaki.
Soma zaidi hapa.
![]()
New Jersey officials say nearly 50 fully vaccinated residents have died from COVID-19
New Jersey health officials say that almost 50 fully vaccinated people have died from COVID-19, according to data through July 12, NJ Advance Media reported on Wednesday.thehill.com
Acha kujifanya daktari bwana mkubwa!Chanjo zimesaidia sana kupunguza maambukizi ná vifo katika nchi nyingi za Magharibi. Pamoja ná hayo bado kwa wale wenye chronicle diseases ni lazima wajikinge vinginevyo watapata maambukizi ná kufa ukilinganisha ná wale wenye afya njema ná wamepata chanjo zote. Hawa hata wakipata maambukizi basi ni ugonjwa mdogo sana kwao hauhitaji kulazwa hata uwezekano wa kifo ni mdogo sana.
Hii source yako mbona haina tofauti na Tanzanite TV au CarrymaatoryHuko New Jersey Marekani, watu 50 ambao wamepata chanjo yote ya Covid 19, yaani wamepata chanjo zote 2 wamefariki kwa Covid 19.
Hivyo kupata chanjo haina maana kua hautaugua covid 19 na haina maana kwamba hutafariki kwa Covid 19.
Ndio maana ukisoma ile form ya kupata chanjo ya serikali, serikali imejitoa kwa yoyote yatakayokukuta ukipewa chanjo usije kuilaumu wala kuishtaki.
Soma zaidi hapa.
![]()
New Jersey officials say nearly 50 fully vaccinated residents have died from COVID-19
New Jersey health officials say that almost 50 fully vaccinated people have died from COVID-19, according to data through July 12, NJ Advance Media reported on Wednesday.thehill.com
Huna hata haja ya kuvaa barakoa.Mimi kwa ufahamu wangu sitachoma hii kitu nitazingatia taratibu zilizowekwa na WHO usafi,barakoa na social distance naamini hili wimbi likipita ugonjwa utaisha
Acha kujifanya daktari bwana mkubwa!
Ati chronicle diseases! Mbona hawakufa mwanzo!
Kujitia tia tu udaktarii.... YAAANIII...
Haya machanjo ni SUMU, na lazima watanzania waambiwe ukweli.
Ukweli MTUPU! Watu wengi wana magonjwa mbali mbali ya muda mrefu. Hivyo wao kupata chanjo haina maana waache kuchukua tahadhari zote za kujikinga kwani kutojikinga ni kukaribisha maambukizi na hatimaye vifo.
kama haitoshi wana dozi 1,000,000Serikali imefanya kuchanjwa kuwe optional lakini waziri jana anasema wanatarajia kuchanja 60% ya watanzania.
Maajabu
Mkuu BAK, ngoja nikuulize swali, wewe tokea ulipopata chanjo ya kifua kikuu (TB) ukiwa mdogo(BCG), je, uliambiwa itabidi utembee na barakoa na kuepuka mikusanyiko maisha yako yote ili kuepuka uwezekanao wa kupata maambukizi ya TB!?
Naomba unijibu.