#COVID19 New Jersey Marekani: Watu 50 waliopata chanjo yote ya Covid 19 wafariki kwa Covid 19

Chanjo zimeletwa kwa mnaoamini, na watu wa vipato vya kati na vikubwa (wanaoishi kizungu) ....ila wananchi mfano wa kariakoo ama walioko kigoma leo kwenye mechi sisi ni nyungu na malimao tu
Sawa endeleeni kujifukiza.kila mtu na maisha yake tusipangiane.
 
Usibadili agenda. Hoja siyo kufa. na hakuna chanjo ya kifo, na hawakuchanjwa ili wasife.

POINT NI HII.

"WOTE 50, WALICHANJWA FULL DOZE YA KINGA Y A CORONA, WAMEKUFA KWA CORONA"

Wewe unasemaje hapo?
Nilivyoelewa mimi ni kwamba, wamefariki with COVID, siyo of COVID. ukisoma, wote hao walikuwa na pre-exisiting chronic conditions, and some walikuwa tayari terminally ill. Nikupe mfano: jamaa ametoka hospitali alivyopimwa akakutwa positivie na COVID. Wakati anarudi home akafariki kwa ajali ya gari. Huyo amekufa kwa nini? Ajali ya gari ama COVID?. Same logic with pre-existing chronic conditions
 
Ndio watu waelewe kuugua na kufa kuko palepale, ikiwa una magonjwa sugu, chanjo inapunguza kasi ya mashambulizi ya kirusi but haimanishi huwezi kufa,

Kunywa dawa baada ya kuumwa haimanishi huwezi kufa. Kwa mfano hao waliokufa, inaonesha walikua na hali mbaya ya kiafya tangu mwanzo, hivyo wangeachwa bila chanjo balaa, wamechanjwa bado imewaletea balaa
 
Bibafsi chanjo nimechoma na nitazidi kuchoma hizo boosters zikija. Faida ya chanjo ni kubwa kuliko hasara yake. Tena ni bora chanjo ya corona inaisha nguvu eventually na tutatakiwa kuchoma boosters. Hivo inaonyesha haina long term effect mwilini

Imagine chanjo ya yellow fever mtu unachoma leo inakukinga kwa miaka ishirini. Chanjo za hivo ndo za kuogopa. Utashangaa mjinga mmoja anaona chanjo ya yellow fever ni bora

Mwisho wa siku ni either unachoma chanjo zote ama unaachana na chanjo zote kwa ujumla wake. Huwezi kuwa katikati. Chanjo ni chanjo tu. Machanjo na madawa yote ni machemicals miilini mwetu na yana madhara

Chagua moja
 
Rudia kusoma uelewe, wamesema wamekufa kwa covid(died from covid 19).

Ama kweli kuna tofauti ya kusoma na kuelewa.

Mbona habari iko wazi, wewe hayo ya ajali yametoka wapi?

Ndio maana hii nchi haiendelei, sasa mtu kama wewe upewe nafasi si ndio yatakua haya haya ya Mwigulu? Vitu viko wazi lakini huelewi.
 
Chanjo ya Covid si chanjo ya kuzuia kifo.

Correlation is not causation.
 
Chanjo ya Covid si chanjo ya kuzuia kifo.

Correlation is not causation.
Hakuna aliezungumzia chanjo ya kuzuia kifo, tunazungumzia chanjo ya covid kukukinga wewe usife kwa covid, sababu nyingine za kifo ziko pale pale.
 
Mbowe ana lipi la kusema bado tuchanjwe kwa lazima au tusubir atoke kwnye kuta nne za mahabusu[emoji23]
 
Serikali imefanya kuchanjwa kuwe optional lakini waziri jana anasema wanatarajia kuchanja 60% ya watanzania.


Maajabu
Mkuu hakuna cha optional, kuna siku itakuwa lazima. Hii ni starter tuu mlo kamili unakuja. Leo rais wa ufaransa kawatangazia wafaransa asiyechanjwa hakuna kusafiri toka point a hadi b, hata supermarket huruhusiwi kuingia
 
No wa mwisho ntakua Mimi..na labda nitafutwe na jeshi zima...sifanyi upuuzi wa kutestiwa hypothesis zao
Kabisa mheshimiwa, sisi siyo pimbi, simbilisi wala panya wa maabara. Tena kuliwahi postiwa clip Biden anasema chanjo zilizozalishwa USA zote zimepelekwa nje kwa ajili ya majaribio na watarudishiwa data ya utendaji wa hizo chanjo
 
Mie nikipewa uongozi, wananchi watakula asali na maziwa kila siku. Yaani kwa raha zote
 
Your browser is not able to display this video.

Very sad watu wanaenda kufa kama kuku baada ya kuchanjwa 😰
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…