Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Badala ya kuweka Manual gear box kama defender wamekuja kuweka gear box za bmw.Ila i.esimama balaa kuliko hata 110 yenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badala ya kuweka Manual gear box kama defender wamekuja kuweka gear box za bmw.Ila i.esimama balaa kuliko hata 110 yenyewe
Hapo itakimbiwa kisa gharama za uendeshajiBadala ya kuweka Manual gear box kama defender wamekuja kuweka gear box za bmw.
Yes. Kila kitu kipo poa kasoro Kwenye transmission. Huwezi kuweka transmission ya bmw kwenye gari ya poriHapo itakimbiwa kisa gharama za uendeshaji
Production inaanza mwaka huu... Kuingia barabarani ni by 2022Huyo mwanaume ameshaingia bongo?
LR wanafeli, discovery zenyewe kwa mtu ambae si mfuatiliaji wa gari utasema ni range rover...yaani grenadier wametoa picha jinsi defender series ingetaikiwa iwe.
so sad land rover wana deviate kutoka kwenye line wanaelekea mwendo wa discovery.
Gari ya wanaume.... uongo mbaya kuna gari akiendesha mwanamke lazima umuangalie mara mbili mbili mfano 110...Achana na huo upuuzi wametupiga tu hii hapa Ineos grenadier the real defender replacement View attachment 1851575View attachment 1851576
Mkuu utakuwa unazungumzia gari moja toka Russia inaitwa Lada NivaBadala ya kuweka Manual gear box kama defender wamekuja kuweka gear box za bmw.
Hizi gari ukiendesha kuna image fulan ya masculinity unaonyesha mi napenda wanawake independent sana nikiona pisi ina push ndika kama hizi namuona hot sana.Gari ya wanaume.... uongo mbaya kuna gari akiendesha mwanamke lazima umuangalie mara mbili mbili mfano 110...
Hawa jamaa wamempiga MF Land Rover...
Sure!!!Hizi gari ukiendesha kuna image fulan ya masculinity unaonyesha mi napenda wanawake independent sana nikiona pisi ina push ndika kama hizi namuona hot sana.
Gari zipo mtaani we unasema production inaanza mwaka huu? Arusha nimekutana nazo 2 hizi.Production inaanza mwaka huu... Kuingia barabarani ni by 2022
Land Rover plans to remedy the cramped back seat by introducing the Land Rover Defender 130 by the end of 2022. The Land Rover Defender lineup is currently made up of the two door Defender 90 and the four door Defender 110, that offers an unrealistically small third row seat as an option.30 Mar 2021Gari zipo mtaani we unasema production inaanza mwaka huu? Arusha nimekutana nazo 2 hizi.
Nadhani hapo kwenye 130,90,110 alikuwa hajachanganua msamehe[emoji38]Land Rover plans to remedy the cramped back seat by introducing the Land Rover Defender 130 by the end of 2022. The Land Rover Defender lineup is currently made up of the two door Defender 90 and the four door Defender 110, that offers an unrealistically small third row seat as an option.30 Mar 2021
Hii gari mzee alirudigi nayo toka urusi😂Mkuu utakuwa unazungumzia gari moja toka Russia inaitwa Lada Niva
Haina air condition
Vioo unashusha manually
Haina airbags
Lakini ni roho ya paka kwa mujibu wa watumiaji...
![]()
Bila shaka bado ipo mkuu...Hii gari mzee alirudigi nayo toka urusi😂
Hahahaha alidampugi sijui wapi bana maana ilikuwa 80’s maza alipata nayo ajali!Bila shaka bado ipo mkuu...
Mkuu interest za magari umezitoa kwa mzee...Hahahaha alidampugi sijui wapi bana maana ilikuwa 80’s maza alipata nayo ajali!
Hahahah yeah gari hizi kitamboMkuu interest za magari umezitoa kwa mzee...
Miaka ya 80's kwa kijana kutoa gari urusi sio poa...
Mzee wako ana passion na magari pia i guess....