Tiba Lishe
Member
- Jan 17, 2020
- 11
- 12
Wakubwa zangu shikamooni, wengine wote za asubuhi.
Ndio mara yangu ya kwanza kupata ID ya JF nimeona niwasalimu na . Naombeni ushirikiano wenu, nimepata ID ila JF nimeijua tangu mwaka 2016 sema sikuwahi ona umuhimu wa kuwa na ID hivyo mimi ni mgeni mwenyeji
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mara yangu ya kwanza kupata ID ya JF nimeona niwasalimu na . Naombeni ushirikiano wenu, nimepata ID ila JF nimeijua tangu mwaka 2016 sema sikuwahi ona umuhimu wa kuwa na ID hivyo mimi ni mgeni mwenyeji
Sent using Jamii Forums mobile app