New member humu..nisome

Mkewane

Member
Joined
Dec 11, 2016
Posts
13
Reaction score
12
Nipokeeni member mpya..lakini ni mtumiaji wa jamii forum tangu 2010
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
 
Karibu Sana Ila usije ukaanza kutukana kaka zako, Mada kama hujailewa au mtu kakuuzi mtimbie pm mmalizane, nakusihi usilete ujuaji mkuu.
 
Mkuu mbona ulishajiunga 2016 jana unasema member mpya,
Cha ajabu ana trophy point chache sana! Sijui alikuwa anafanya nini muda wote! Hiyo account ingelikuwa yangu, ningelikuwa level ya wakina Bujibuji [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…