New member: Ukisoma JF hata thread moja tu utake usitake utajiunga tu!

New member: Ukisoma JF hata thread moja tu utake usitake utajiunga tu!

Yes! Ni Mda mrefu mim pia hupata elimu zaidi kila nisachipo kupitia google, basi JF ni moja ya matokeo yaliyojitokeza na nilipata majibu ya nilichoulza google, ushauri pia humu JF. Juzi nmeamua kujiunga lasimi. Nadhani elimu ni pana ukiwa humu.
 
Habari zenu wakuu, wakubwa shikamoo, wadogo zangu mambo niaje
...

Kwa miezi ya hivi karibuni (sept,oct,nov,dec 2024) nimekuwa mfatiliaji mzuri tu wa majukwaa ya JF, ilianza kwa kusearch "Elimu Tanzania" kwenye opera mini na kiswaswadu changu haha, zikaja results za JF asee tokea siku hio imekuwa kama addiction I must open JF kila siku
...
Mwanzo sikujiunga ila leo nimejiunga niwe member rasmi, navutiwa na baadhi ya members kama:
Robert Heriel Mtibeli
Mshana Jr
raraa reree
patrickk
Evelyn Salt
Joanah
Na wengineo wengi
JF ni kisima cha maarifa mitandao mingine inabidi ifutwe haha(joking...)
Natumaini kupata karibu zenu asanteni sana
Karibu Mkuu
 
Back
Top Bottom