Kwanza hakuna haja ya kutaka kukaribishwa humu, kwasababu wewe ni member wa zamani sana humu Jf na hapa naona umeamua kuja na I'd mpya....Mambo zenu wadau...nmekuwa msomaj mzur wa jf kwa kipindi kirefu!! Naomba kukaribishwaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok
Alikuw na post z aje mkuuJamani hivi huyu kaka Deo alipotelea wapi na posts zake zileee!!!
aiseeKwanza hakuna haja ya kutaka kukaribishwa humu, kwasababu wewe ni member wa zamani sana humu Jf na hapa naona umeamua kuja na I'd mpya....
Ukibisha sema nikuumbue hapahapa hadharani.....[emoji34] [emoji34] [emoji34] [emoji34]
Hii ndio jf aiseeeee....
Nmeskia makonda kaonesha vyeti..n kweli?!! HahahaaaHii ndio jf aiseeeee....
Na mimi ndio muhenga mfukua makaburi ya kale.....[emoji34] [emoji34]
Una laziada...!?
Huyu n mwenyej hapa JF amebadil ID tu anajarb kufosi ugen lakn haiwezekAn!!Hii ndio jf aiseeeee....
Na mimi ndio muhenga mfukua makaburi ya kale.....[emoji34] [emoji34]
Una laziada...!?
Utajua kifuatacho ITV
wewe KE au ME?