ndio lakini sikuwahi kupost kitu nlikua bado najifunza mazingiraKumbe uliingia tokea Novemba, 2017!!!
umejifunza nini tangu november hadi sasa?ndio lakini sikuwahi kupost kitu nlikua bado najifunza mazingira
Sidhani kama utapata jibu mkuu.umejifunza nini tangu november hadi sasa?
Kwa nini mkuuSidhani kama utapata jibu mkuu.
[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji1] [emoji3] [emoji3]Uliingia kimya kimya ili ufanye uchunguzi kisha ukatulipue uko!!..waaambie walokuwa wamekutuma kuwa tumebadili mbinu.
Nimemuona kama muongo ivi,Kwa nini mkuu
Mkuu uko vizuri kukaribisha wageniumejifunza nini tangu november hadi sasa?
eti eee..mwenyewe atujibie hebuu tuoneNimemuona kama muongo ivi,
Kawaida sana, hapa nimepunguza ungenikutA enzi zangu ni balaaMkuu uko vizuri kukaribisha wageni
Haya ngoja tuvute kiti cha subira mkuu.eti eee..mwenyewe atujibie hebuu tuone
sawa bossHaya ngoja tuvute kiti cha subira mkuu.
Pamoja boss wangu mpendwa.sawa boss
Hahahahah! Haya bwanaKawaida sana, hapa nimepunguza ungenikutA enzi zangu ni balaa